Ukisikia ile kauli ya “usiyempenda kaja” ndio kilichotokea. Mashabiki wa Man United kwa kiasi kikubwa hawamkubali Mkurugenzi wa timu hiyo – Ed Woodward, na amekuja na habari ambayo pengine itawaumiza baadhi ya wakereketwa wa Man United.
Ed Woodward amenukuliwa akisisitiza “Man United itaendelea kufanya kazi na Ole Gunnar Solskjaer“. Licha ya kuanza msimu huu vibaya kwenye EPL, uongozi wa timu hiyo bado unaimani kubwa na Ole na itaendelea kufanya naye kazi.
Hii imekuja baada ya ripoti yenye taarifa za kifedha za timu hiyo kuchapishwa kimakosa siku ya Alhamisi.
Kwa ufupi, ripoti hiyo ilipangwa kutoka Ijumaa mchana lakini kulitokea tatizo la kiufundi wakati wa kufanya majaribio ya kuchapisha ripoti hiyo mtandaoni. Mapato ya United ni pauni milioni 109 ambayo ni pungufu ya 19.5% ikilinganishwa na ripoti ya mwaka jana kwa miezi mitatu.
“Wakati ambapo COVID19 inaendelea kuleta changamoto, tunaamini kwamba wakati wa kujiandaa zaidi na kurudi katika hali ya kawaida unakaribia.
“Uwezo wa klabu kustahimili na ukomavu katika biashara unaendelea kuweka misingi imara na inatupa nguvu ya kuyaona malengo yetu ya muda mrefu hata baada ya COVID19 – ndani na nje ya uwanja.” alisema Woodward.
Jaribu sasa hapa Meridianbet. Ukiacha ukweli kuwa itakupa burudani maridadi, bado inakuhakikishia ushindi mkubwa. Kazi kwako kukusanya ushindi!
Sadick
Nadhani Man U inahitaji kufanya ilichofanya Aston Villa kwa kumuondoa John Terry aliyekuwa Kocha msaidizi na kumuleta mtu mwingine anamufanya Dean aonekane bonge la Kocha. Ole Gunner anahitaji kuongezewa mtu bench la ufundi
Lydia Emmanuel Magoti
Man U wanaitaji kupata kitu Bora na kufanya msimamo wao wamwenendo wakumpata mtu mwenye kuindesha kikosi hicho kwaio kwaman bado Kuna kupishana kauli frani kwakumtaka mtu hatae hindesha kipasavyo Man U
Mwajumah
Asante kwa makala
Shani
Safi sana wood ward united inakuamin
Rahma
Shukrani kwa makalq
Fatina mfingi
Safi Hy ndo maneno ya kutumbi cc mashabiki wenu
Adelta
Manchester united kazi ipo
Tatu
Man u wanatakiwa kubadilisha kocha ili wasonge mbele
magdalena
united anaechangia kwa kiasi kikubwa kuteketea ni uyu kivuruge ed wood na ndo anaeiharibu timu kwa mambo yake ya ajabu anayoyafanya
Zeiyana
Mashabiki wa man united wawe na subra tu
Hopemwaikuka
Cjapenda kabsaa hii
Khadija
Asante kwa makala
Elika
Dah hapo kazi kweli ipo
Dorophina
Uongozi wa man u unayumba ole anayumbisha timu kwa mifumo yake mibovu watakuja kukumbuka shuka kumesha kucha
Saupha mohamed
Good news
ester jackson
Sisi mashabiki tunawaachia wafanye uwamuzi wao mambo yakienda kombo ndio wataelewa zaidi
Povel
Ole na Ed woord wamekuwah na wakati mgumu co hvy hata ed wood bado anawsi wasi na kiti chake ndani Red devil
Issa
Wood ward amekua mtu ambae kama sababu ya united kufanya vibaya kwa kutotoa pesa za usajil kwa kocha
Sabrina
Duuh inabidi mashabiki wa man u wawe wapole
Fatuma kasomo
Gud news
Latifa juma mohamed
Man U wanaitaji kupata kitu Bora na kufanya msimamo wao wamwenendo wakumpata mtu mwenye kuindesha kikosi hicho.
Sauda
Kazi ipo
Angelina
Goodupdate
aisha
Woodward amekua chanzo cha timu kupoteza uelekeo na knatakiwa atoe pesa za usajili kwa kocha