Xavi Apona Corona Arejea Kazini.

Mchezaji wa zamani wa Barcelona na timu ya taifa ya Spain Xavi Hernandez, amethibitisha kupona maradhi yaliyokuwa yana mkabili na amerudi katika shughuli yake ya kuifundisha timu ya Al Sadd.

Xavi mwenye umri wa miaka 40 alithibitika kupata maambukizi ya Virusi vya Corona na alijitenga kwa muda ili asisambaze kwa wengine.

Hii inamaanisha alikosa mchezo dhidi ya Al Khor na nafasi yake ilichukuliwa na kocha msaidizi na Al Sadd walishinda mchezo huo 2-1 kwenye michuano ya Qatar Stars League, lakini Xavi yupo vizuri tena alisema kupitia Instagram.

Kiungo huyo wa zamani amekuwa akihusishwa na kuhamia kunako ligi ya LaLiga katika timu yake ya zamani ya Barcelona, aliweka picha yake mwenyewe akiwa nyumbani na watoto wake.

Katika chapisho alililoweka siku ya Jumatano, Xavi aliwashukuru watu wanaomfuatilia katika akaunti yake ya Instagram kwa kumjulia hali na kumuonesha kujali tangu atangaze amepata maambukizi ya COVID-19.

“Nataka kujumuika nanyi kwamba nimepona na narudi nyumbani kuiona familia yangu na kisha nitaungana na timu yangu @alsaddsc”.

Katika posti tofauti tofauti Al Sadd pia walionesha Xavi akiwa katika mjukumu yake katika klabu akiwa amevaa barakoa na kumkaribisha mchezaji mpya aliye sajiliwa Rodrigo Tabata.


Nini kinachokupa raha kama michezo ya kasino ya mtandaoni? Hasa unapojua kuwa kuna ushindi, jackpot na mizunguko kibao ya bure.
Ungana na bwana Meridian kupata ushindi na burudani.

Cheza hapa sasa

45 Komentara

    Mungu ni mwema!!!

    Jibu

    Hongera kwa kupona.

    Jibu

    Habari njema sana hii mungu mkubwa

    Jibu

    Pole kwa kuumwa na hongera kwa kupona welcome again champion

    Jibu

    Jambo la matumaini na hili linaondoa hofu kwa wengine

    Jibu

    Asante Mungu..

    Jibu

    pole na matatizo karibu tena mchezoni

    Jibu

    tunashukuru mungu

    Jibu

    Mungu Ni mkubwa

    Jibu

    Ni siku chache ilipotangazwa kwamba anaugua Corona,nashangazwa kwamba amepona haraka kiasi hicho#meridianbettz

    Jibu

    Safii akika mungu katenda

    Jibu

    Hongera sana kwako Mungu ni mwema

    Jibu

    Habari njema Sana kwa mashabiki pole xavi Mungu yu mwema

    Jibu

    Habari nzuri sana kwa timu ya Al Sadd kuendelea kunolewa na kocha wao mkuu, Tunamuombea Xavi afya njema zaidi na zaidi

    Jibu

    Habar njema kwa mashabik na wapenz wa all sadd

    Jibu

    Mungu mwema sana ni jambo la kusema ahsante mungu#meridianbettz

    Jibu

    Hakika Mungu alikuwa upande wake

    Jibu

    Makal nzur

    Jibu

    Asanteee mungu

    Jibu

    Good news

    Jibu

    Mungu mwema. Karibu tena mpirani

    Jibu

    Habar njema

    Jibu

    Vizuri

    Jibu

    Habari nzuri hizi mungu azidi kuimarisha afya yake#meridianbett

    Jibu

    Ni jambo zur

    Jibu

    Mungu amempigania amepona hongera yake

    Jibu

    Mungu ni mwem kila wakt

    Jibu

    Binafsi niseme mungu ni mwema

    Jibu

    Asante kwa taarifa

    Jibu

    Asante taarifa njema

    Jibu

    Habari nzuri

    Jibu

    Mara hii kashapona

    Jibu

    Ni Jambo nzuri

    Jibu

    Jambo zuri

    Jibu

    Mungu ashukuriwe Sana.

    Jibu

    Habari njema

    Jibu

    Jambo jema kupona na kurejea kwake kazin

    Jibu

    Kikubwa ni kuomba mungu tu hatuepushe na janga hili la kolona

    Jibu

    Safi kwake

    Jibu

    Mungu ni mwema sana

    Jibu

    Safiii

    Jibu

    Ni habari njema Sana

    Jibu

    Ni Jambo zuri kwa timu take na family take maana huu ugonjwa ni hatari sanaa

    Jibu

    Habar njema kwa sad kurudi kwa kocha wao xavi harnandez

    Jibu

    Ime kaa poa sana

    Jibu

Acha ujumbe