Mchezaji wa zamani wa Barcelona na timu ya taifa ya Spain Xavi Hernandez, amethibitisha kupona maradhi yaliyokuwa yana mkabili na amerudi katika shughuli yake ya kuifundisha timu ya Al Sadd.
Xavi mwenye umri wa miaka 40 alithibitika kupata maambukizi ya Virusi vya Corona na alijitenga kwa muda ili asisambaze kwa wengine.
Hii inamaanisha alikosa mchezo dhidi ya Al Khor na nafasi yake ilichukuliwa na kocha msaidizi na Al Sadd walishinda mchezo huo 2-1 kwenye michuano ya Qatar Stars League, lakini Xavi yupo vizuri tena alisema kupitia Instagram.
Kiungo huyo wa zamani amekuwa akihusishwa na kuhamia kunako ligi ya LaLiga katika timu yake ya zamani ya Barcelona, aliweka picha yake mwenyewe akiwa nyumbani na watoto wake.
Katika chapisho alililoweka siku ya Jumatano, Xavi aliwashukuru watu wanaomfuatilia katika akaunti yake ya Instagram kwa kumjulia hali na kumuonesha kujali tangu atangaze amepata maambukizi ya COVID-19.
“Nataka kujumuika nanyi kwamba nimepona na narudi nyumbani kuiona familia yangu na kisha nitaungana na timu yangu @alsaddsc”.
Katika posti tofauti tofauti Al Sadd pia walionesha Xavi akiwa katika mjukumu yake katika klabu akiwa amevaa barakoa na kumkaribisha mchezaji mpya aliye sajiliwa Rodrigo Tabata.
Nini kinachokupa raha kama michezo ya kasino ya mtandaoni? Hasa unapojua kuwa kuna ushindi, jackpot na mizunguko kibao ya bure.
Ungana na bwana Meridian kupata ushindi na burudani.
Rose kapinga
Mungu ni mwema!!!
Furahav
Hongera kwa kupona.
Dorophina
Habari njema sana hii mungu mkubwa
Magdalena
Pole kwa kuumwa na hongera kwa kupona welcome again champion
Antony Luseno
Jambo la matumaini na hili linaondoa hofu kwa wengine
Caroline
Asante Mungu..
felister
pole na matatizo karibu tena mchezoni
aisha
tunashukuru mungu
Adelta
Mungu Ni mkubwa
Sadick
Ni siku chache ilipotangazwa kwamba anaugua Corona,nashangazwa kwamba amepona haraka kiasi hicho#meridianbettz
Lydia Emmanuel Magoti
Safii akika mungu katenda
Devotha
Hongera sana kwako Mungu ni mwema
farida ahmadi
Habari njema Sana kwa mashabiki pole xavi Mungu yu mwema
Ernest
Habari nzuri sana kwa timu ya Al Sadd kuendelea kunolewa na kocha wao mkuu, Tunamuombea Xavi afya njema zaidi na zaidi
Povel
Habar njema kwa mashabik na wapenz wa all sadd
Khadija
Mungu mwema sana ni jambo la kusema ahsante mungu#meridianbettz
Neema juma
Hakika Mungu alikuwa upande wake
Fatina mfingi
Makal nzur
Samiah
Asanteee mungu
Flomena
Good news
Christa
Mungu mwema. Karibu tena mpirani
Gabriel
Habar njema
Leonard
Vizuri
Johnmary joel
Habari nzuri hizi mungu azidi kuimarisha afya yake#meridianbett
Amiri Kayera
Ni jambo zur
Theonestina
Mungu amempigania amepona hongera yake
Janeflora malisa
Mungu ni mwem kila wakt
Theckla
Binafsi niseme mungu ni mwema
Rehema
Asante kwa taarifa
Latifa juma mohamed
Asante taarifa njema
Salma ngende
Habari nzuri
Frank Patrick
Mara hii kashapona
Mwanahamisi
Ni Jambo nzuri
Fatuma kasomo
Jambo zuri
Shafii
Mungu ashukuriwe Sana.
Tatu
Habari njema
Isaya massawe
Jambo jema kupona na kurejea kwake kazin
Zeiyana
Kikubwa ni kuomba mungu tu hatuepushe na janga hili la kolona
Issa
Safi kwake
Hope mwaikuka
Mungu ni mwema sana
Saupha mohamed
Safiii
Genia Sikaluzwe
Ni habari njema Sana
David Pere
Ni Jambo zuri kwa timu take na family take maana huu ugonjwa ni hatari sanaa
Omary lukumbi
Habar njema kwa sad kurudi kwa kocha wao xavi harnandez
warda
Ime kaa poa sana