Kiungo wa kati wa Arsenal, Granit Xhaka ameiambia klabu ya Inter Milan kuwa waachane na mpango wa kumsajili kwani kwasasa hana mpango wa kuondoka Arsenal.
Intern Milan walikua na imani watafanikisha usajili wa xhaka katika dirisha dogo la usajili wakati wa majira ya baridi mwezi Januari mwakani.
Mchezaji huyo amemwambia kocha wake Mikel Arteta yupo tayari kupambana kupata nafasi katika kikosi cha kwanza.
Arsenal inayoshika nafasi ya 12 katika msimamo wa EPL, kwasasa ipo katika mipango ya kuimarisha kikosi kwaajili ya michuano ya ulaya, huku wakitarajia kuingia sokoni katika majira haya ya baridi.
Hauhitaji kuwaza linapokuja suala la ubashiri na odds kubwa. Bashiri na Meridianbet ukiwa popote ufurahie ushindi mkubwa katika michezo mbalimbali na hadi milioni 16 kwenye michezo ya kasino.
Ester jackson
Uwamuzi ni wako kubaki hapo arsenal
felister
uamuzi anao yeye
Angelina
Nice update
Adelta
Maamuzi ni yako mwenyewe
Sauda
Kazi kwake muamuzi.
Fatina mfingi
Fanya maamuzi sahihi!!
Shakila mrope
Kazi anayo muamuzi
Amani
Me naona Bora abadilishe upepo
Lydia Emmanuel Magoti
Vizuri Sana uwamuzi wake kautendea vizuri
Caroline
Xhaka ni mchezaji wa Arsenal.msijisumbue
Sarah
Uamuzi anao yeye
Sania
Uamuzi ni wa mchezaji mwenyewe
Hopemwaikuka
Fresh tu
Rahma
Nice
Fatuma kasomo
Maamuzi niyake
aisha
Duuh kazi ni kwako ubaki au uondoke
samiah
Nice
Nasra
Gud
Rehema
Nice
Povel
Xhaka grant ana staili kubak zen gunner anamsaada mkubwa Sana katika timu kama hatamuah kubak atakuwah amefany maamuz sahihi kwa kipind hichi
Asia Abdy
Hapo kazi ni kwake
Janeflora malisa
Safi
Saupha mohamed
Maamuzi ni yake
Mwajumah
Uamuzi anao yeye
magdalena
abaki apo apo arsenal panamfaa zaidi
Tatu
Uwamuzi anao yy
Mariam mtandama
Safi
Issa
Roho ya arteta kuondoka ni ngumu
warda
Xhaka ni mzito kuhama