Yanga SC Yafuta Kambi Arusha, Kusalia Dar.

 

Kabu ya Yanga SC, jana ilianza kazi rasmi ya mazoezi makali ni baada ya kufuta safari ya kwenda jijini Arusha kwa ajili ya kambi fupi wameamua kujiandaa na mechi za Ligi Kuu wakiwa jijini Dar es Salaam.

 

Nabi Apata Wasiwasi Juu ya Safu ya Ushambuliaji ya Yanga

Uongozi wa Yanga wameshtukia ratiba yao ya kambi wakiona ni kama watapoteza fedha na zaidi wakaamua kubaki palepale kambini Avic, huku jana wakianzia gym ili kuwapa m stamina wachezaji.

Klabu hiyo inajiandaa na mechi ya tatu ya Ligi Kuu Bara dhidi ya KMC itakayopigwa Uwanja wa Majimaji, Songea mkoani Ruvuma Oktoba 19.


SPACE SPIN NA MERIDIANBET.

Ni Mabingwa pekee Meridianbet wanakupa nafasi ya kushinda zaidi na mchezo wa Space Spin katika kasino bomba za meridianbet. Ni wakati wa kufurahia na kutengeza mkwanja bila kuwaza.

tetesi, Tetesi za Soka Barani Ulaya., Meridianbet

CHEZA SASA

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.