Klabu ya Yanga imepanga kuwarejesha makocha wa timu hiyo Luc Eymael (Kocha Mkuu) na Riedoh Berdien (Kocha wa Viungo) ambao wapo nje ya nchi baada ya selikali kutangaza huenda ligi ikaruhusiwa kuendelea.
βTumepanga kuwakatia tiketi baada ya Rais kutangaza kuwa ndeg kutoka mataifa mengine zitaanza kuruhusiwa, kwa hiyo tunaangalia ndege gani itamfaa na kocha wetu anaweza kurejea ndani ya siku tatu (3) zijazo ili kuwa tayari kwa maandaliziβ-Hassan Bumbuli.
Kuhusu golikipa Farouk Shikhalo Bumbuli amesema klabu ya Yanga itafanya juhudi zote kuhakikisha anarejea kwa wakati licha ya Kenya kufunga mipaka ya baadhi ya mikoa yake.
Bumbuli anasema wachezaji wamepokea kwa furaha taarifa za kurejea tena kwa ligi.
βMwitikio wa wachezaji ni mkubwa kuhusu taarifa za kurejea kwa ligi. Nilizungumza na nahodha Papy Tshishimbi na nahodha msaidizi Juma Abdul, wote wanasema wame-miss kucheza. Bernard Mirrison naye amesema ame-miss kazi.β
Neema juma
Wanavyosema ni sahihi kabisa kwa maana ligi tumezimic
Mwanaidi
hahaha washaanza kujihami hao ila ni jambo la muhimu kuanda kikosi kabla ya mapambano hongera zao waendelee kujitahidi ligi inakaribia wasije wakambuka bure maana wenzao wanejipanga kisawasawa
sylvester
Bora ligi irudi ili Simba tuchukue ubingwa wetu kihalali#Meridianbettz
Tahiya
Ni kwer wanatakiwa kujipanga haswa mana walikuwa na hali mbaya ya kiuchumi mwanzo wa ligi
Theonestina
Waache waje tu sisi wenyekombe letu tunawasubir kwa hamu
Salma
Bora irudi maana kutangulia kutoka co ndo kuwahi kufika bg up yanga
Neema hassan
Habari njema kwa mashabik wa michezo
Warda
Haya twawasubilia #Meridianbettz
Rehema
Safi Sana tunasubiri
christopher
Bora irudi tuu ligi yetu maana hatuna sababu ya kuendelea kusubir
frank patrick
bongo naona tunaforce mambo
Kenani
Bongo wanaforce kwel Mana sijui Kama wataweza
Povel
Ni Jambo zuri itakuwah poa Kama wafanikiwah kuwaletah wote thanks meridian bet tz
mwakalosi
Baba jesca keshasema tarehe 1 mwezi 6 michezo ifunguliwe
Adelta
Bora ligi zirudi tumezimis sana
Theckla
Tunasubiri kwa hamu
Gabriel
Yanga oyeeee
Antony Luseno
Maombi yao ya ligi kufutwa yamegonga mwamba
Hamidu
Wazo zuri..Ila wenye ubingwa wao tuwape.
Ernest
Mimi naona swala la Afya lizingatiwe zaidi kama kwa wenzetu Ujerumani.
David pere
Wawarudishe ili timu ifanye vizuri
Zeiyana iddi
Daaah…!yanga wanavitisho hao
Magdalena
Waje tu baba zao tunawasubiri kwa hamu
Asia Abdy
Simba kama Simba tunataman hlo
Furahav
Rudi mtupe raha.
Carolyne
Irudi tu
Ester mmakasa
Habari za kufurahisha sana ,yanga juu.
Hope mwaikuka
Yanga yanga
Genia Sikaluzwe
Zirudi tu pate raha
Rehema Dickson
swala la Afya lizingatiwe zaidi kama kwa wenzetu Ujerumani.
isha
Tunangojea kwa hamu
farida ahmadi
Ngoja tujionee wenyewe