Ahmed Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba amebainisha kuwa ikiwa watani zao wa jadi, Yanga watahama Uwanja wa Azam Complex na kuchagua Uwanja wa KMC, Mwenge basi watakutana na kitu Kizito kutokana na utawala walionao hapo.
Taarifa zimekuwa zikieleza kuwa Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Miguel Gamondi ipo kwenye mpango wa kubadili uwanja wa Azam Complex kwenye mechi zao za nyumbani huku Uwanja wa KMC Mwenge ukitajwa.
Bila kusahau meridianbet ndio wakali wa ODDS KUBWA, Machaguo zaidi ya 1000 na kila kitu ukitakacho. Bashiri kijanja hapa.