Fowadi wa Crystal Palace na timu ya taifa ya Ivory Coast, Wilfried Zaha, amewataka waajiri wake wa sasa wamwachilie ili ajiunge na Everton ambao wamefichua azma ya kumsajili.
Kocha Roy Hodgson wa Palace amethibitisha kwamba nyota huyo wa zamani wa Manchester United tayari amewasilisha ombi la kutaka kujiengua ugani Selhurst Park kufikia Oktoba 5, 2020, ambayo ni siku ya mwisho ya uhamisho wa wachezaji.
Zaha, 27, alifunga bao la pekee lililowasaidia Palace kuwalaza Southampton 1-0 katika mchuano wao wa kwanza katika Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) msimu huu.
Hadi kufikia mwisho wa msimu uliopita wa 2019-20, Zaha alikuwa akihusishwa na uwezekano mkubwa wa kusajiliwa na Arsenal ambao badala yake walishawishika kumtwaa nyota Nicolas Pepe wa Ivory Coast.
Kushindikana kwa uhamisho wa Zaha hadi Arsenal ni jambo ambalo kocha Hodgson alisema kwamba liliathiri pakubwa matokeo ya mchezaji huyo msimu uliopita wa 2019-20.
“Wilfred hajatulia tangu uhamisho hadi Arsenal utibuke. Hata hivyo, tunajitahidi kumsadikisha aendelee kuwa mchezaji wetu. Tusubiri tuone yatakayotokea kati ya sasa na Oktoba 5,” akasema Hodgson ambaye ni kocha wa zamani wa timu ya taifa ya Uingereza.
SHINDA NA MERIDIANBET!
Tengeneza pesa kidijitali kwa kubashiri mbio za farasi hapa Meridianbet! Chagua nani ashinde, unakusanya mkwanja.
Ernest
Itakuwa pouwa sana kwa Zaha, Ngoja tumuone kivingine huenda akawa mwiba zaidi
Caroline
Ila Everton timu kubwa
Janeflora malisa
Ni vzr san
Hopemwaikuka
Uamuz ni wako
felister
Jambo jema
Lydia Emmanuel Magoti
Itakuwa vizuri kwasababu ana weza hakawa juu zaidi kwasababu uwamuzi ni wakwake yeye kwenda kokote kule
Mwanahamisi
itakuwa powa sana
Shani
Zaha imefika wakati kutafuta changamoto
Huko everton
farida ahmadi
Maamuzi yake binafsi Luis zaha
Rose kapinga
Kambi popote
kabogoro
zaha ana uwezo sana kiukwel
Elika
Ni vizuri aende anapopataka
Hidaya
Bora mkono uende kinywani
Adelta
Everton imefanya vizuri @ meridianbettz
Tatu
Ni vizuri aende
Theonestina
Safiii
Rehema
Ajafanya vibaya
Venerose
Safi sana
Amiri Kayera
Ni mchezaj mkubw San wa palac
Khadija
Karibu Evarton chama la wana#meridianbettz
aisha
Badili mazingira zaha
Sabrina
Itapendeza sn ukibadirisha upepo
Issa
Zaha inabid atafute mazingira mengine hapo kashatumikia vya kutosha
Mariam mtandama
Vizur
Gabriel
Zaha imefika wakati kutafuta changamoto
Tumaini kasalile
Vita kokote wacha tungoje uhamisho wake kwenda huko anakohisi kutakuwa kuzuri
Saupha mohamed
Safi sana
Theckla
Sio mbaya
marry
nice
Genia Sikaluzwe
Ni mchezaj mkubw San wa palac
Emmy cleopa
Iko vizuri sana
Dorophina
Maamuzi yake zaha yapo sahihi
Sauda
Everton big team
Nasra
Timu kubwaa
Zeiyana
Zaha yupo vizuri sana ndio maana kila clabu zimekua zikimtolea macho
magdalena
yeye anaangalia penye mkwanja mnono
Neema
Kambi popote
jullie
good news
Povel
Zaha co mchezaj wakuchez hata everton angetafut timu ya hadhi ya kiwango chake co everton
Mwajumah
Kambi popote
Samiah
Kambi popote
David Pere
Itakuwa pouwa sana kwa Zaha, Ngoja tumuone kivingine huenda akawa mwiba zaidi