Licha ya kuwa kwenye wakati mgumu na kibarua chake kikionekana kuwa mashakani, kocha wa Real Madrid – Zinedine Zidane anasema hanashaka, anasapoti ya klabu.
Klabu ya Real Madrid wameshinda mchezo 1 katika michezo 5 waliyocheza kwa siku za karibuni kwenye michuano yote.
Zilianza kusambaa taarifa kuwa Zidane anamichezo miwili tu ya kuamua hatma yake ndani ya Real Madrid. Mchezo wa kwanza ni dhidi ya Sevilla utakaochezwa leo (Jumamosi).
Zizou amenukuliwa akisema ” Ndio, ninasapotiwa kwa kila kitu na klabu. Siwezi kuridhika tunapopoteza mchezo lakini tunajua wapi tulipo. Tunabahati kubwa ya kuweza kuendelea kupambana na kujitoa kwa hii klabu. Hicho ndicho nitakachokifanya mpaka mwisho wangu.
“Wachezaji wanataka kuendelea kupambania makombe na wamenionesha hilo. Tunafahamu kwa pamoja, tutalishinda hili. Mambo yanapokuwa hayaendi sawa, wao (wachezaji) ndio wanaokuwa wa kwanza kukosa furaha.
“Kwenye nyakati ngumu, tunapaswa kuwa wamoja na kuwa na muelekeo mmoja. Tutayashinda haya.”
Mauricio Pochettino na Raul Gonzalez wanatajwa kama watu wanaowania kuchukua kiti cha Zizou Real Madrid.
Mchezo wa Astro Legend unakupatia burudani ya muziki kupitia kasino ya mtandaoni ya Meridianbet. Utaburudika huku ukiendelea kutengeza mkwanja mrefu, jiunge sasa na uwe miongoni mwa mabingwa!!




Hopemwaikuka
Pambana tu zidane
Isaya massawe
Apambane
Rahma
Pambana tu
Mwanahamisi
Azidi kupambana
Shakila mrope
Du aongezee bidii
Khadija
Aongeze bidii
Sadick
Hata kama Zidane atatimuliwa hakuna Kocha mwenye majibu kwa aina ya wachezaji ilionao Madrid kwa sasa. Inakiwa kusajiri world class players na majeruhi wapone ndio muarobaini kuleta ufanisi na kuanza kushinda tena
Lydia Emmanuel Magoti
Vizuri Kama kaliona hilo ndio apo inabidi haongeze judi
Caroline
Zidane usijali.
Issa
Zidane airudishe madrid kweny hali yake
Magdalena
Ayo ndo Maputo yake
lombo
mmh
Neema
Jitihada za nguvu zinahitajika kwake
Dorophina
Yani hapo jitihada za ziada zinatakiwa kuisaidia madrid
Saupha mohamed
Zidane ajitaidi
neema hassan
Kocha mahiri endlea kupambana
felister
apambane
Sauda
Kaza buti kijana
Tatu
Jitahid utafikia malengo
Sabrina
Kaza baba
aisha
Madrid imepotea sana airudishe
warda
Jamani Zidane kapoteza michezo mingi sana ila atakaa sawa tu