Nyota wa AC Milan, Zlatan Ibrahimovic amerejea mazoezini baada ya kufanya mazoezi peke yake kwa mdogo, sasa yuko ‘fiti’ kuanza kwenye mechi ya Ligi ya Europa dhidi ya Shamrock Rovers Jumapili.
Nyota huyu mwenye miaka 38 alikuwa akifanya mzaoezi peke yake bila wachezaji wenzake baada ya kupata jeraha mguu wake wa kushoto.
Ibrahimovic amekosa mechi za kirafiki dhidi ya Vicenza na Brescia. Kwa mujibu wa vyanzo kutoka ndani ya dimba la Millano, nyota huyu yuko fiti na tayari amesharejea mazoezini.
Ibra anatarajiwa kuwa tayari kuingia dimbani katika mechi ya awali ya Ligi ya Europa. Tayari ameshasaini mkataba wa kusalia klabuni hapo kwa msimu mzima huku akitarajia kutimiza miaka 30 mwezi oktoba.
SHINDA NA MERIDIANBET!
Tengeneza pesa kidijitali kwa kubashiri mbio za farasi hapa Meridianbet! Chagua nani ashinde, unakusanya mkwanja.
Janeflora malisa
Good
Adelta
Good news 👍@meridianbettz@meridianbettz
Fatuma kasomo
Safi
Lydia Emmanuel Magoti
Habari nzuri Sana kwàkiungo mzuri Zlatan kuludi milan
Rose kapinga
Safiii
Tatu
Ibrahimovic naona sasa atafanya vizuri
Salma ngende
Habari njema
Hopemwaikuka
It’s so gud
Shani
Zlatan makini sana kujiunga na wababe
Ernest
Ibrahimovic kibabu kizee kibishi sana
Caroline
Ibrahimovic pole kwa kupata. jeraha
felister
safi
Zeiyana
Licha ya humri wake kumtupa mkona lakini ibrahimovic yupo vizuri sana
Elika
Ibra yuko vizur sanaa
Rehema
Safi sana
Theonestina
Kila la kheri
Amiri Kayera
Habar nzur
aisha
Zlatan milan ni sehem aiocheza kwa muda mrefu sana na nisehem ambayo yupo komfotabo kucheza
Gabriel
Ibrahimovic kashazeeka
Issa
Zlatan ni mchezaj makini
Sabrina
Safi sana zaltan
Saupha mohamed
Safi sana
Genia Sikaluzwe
Habari njema
Theckla
Kila la kheri
Dorophina
Habari njema kwa Milan jembe anarudi uwanjani kuendelea kulisongesha ila Ibrahimovic mbishi sana
Sauda
Safi tu
Nasra
Imekaa poa kabisa
magdalena
pamoja na kuwa umri umemtupa mikono ila movic bado anatamba sana na anawika sana katika soka
Neema
Habari njema
Faraja molell
Good news
Povel
Nice
David Pere
Licha ya humri wake kumtupa mkona lakini ibrahimovic yupo vizuri sana