Kulikuwa na wasi wasi mkubwa juu ya kurejea dimbani mapema kwa mshambuliaji wa AC Milan, Zlatan Ibrahimovic, baada ya kuripotiwa kupata jeraha la enka katika ripoti za awali Jumatatu.
Hata hivyo, Zlatan anaripotiwa kuwa atalazimika kusubiri kurejea uwanjani baada ya vipimo kuonesha kuwa ana majeraha ya misuli.
Nyota huyu alihofiwa kuwa huenda angekuwa ameumia zaidi, lakini taarifa za vipimo vyake zilirejesha matumaini kuwa hakuwa ameumia enka.
Ripota wa kituo kimoja cha habari aliripoti kuwa nyota huyu mwenye miaka 38, alipata jeraha wakati wa mazoezi Jumatatu, na atatakiwa kufanyiwa vipimo baada ya siku 10 zaidi kuona maendeleo yake.
Kama mambo yakienda kama inavyotarajiwa basi staa huyu atarejea dimbani ndani ya mwezi mmoja kutoka leo. Hatakuwa amechelewa kuwasaidia Milan kupambana kumalizia kibarua walicho nacho.
Mshambuliaji huyu wa zamani wa Swiden alipata jeraha kama hili mwaka uliopita na kujikuta akikosa mechi za mapema Januari na Februari
Ernest
Get well soon Zlatan Ibrahimovic!!!
Carolyne
Pole yake
Kenani
Dah noma sana
Mwajuma
Pole kwake
Emmy cleopa
Ahsante kwa taarifa
David pere
Atapona lakini kwa muda mrefu Sana sababu umri umeenda sana
Ester mmakasa
Ni sawa kwa sababu hayuko sawa.
Mwanaidi
mungu atamsaidia atarudi kama zamani dimbani
Povel
Get well soon 🙏🙏 🙏🙏🙏 thnks kwa gud news
Tahiya
Ni bahati mbaya kwake
aisha
Duuh pole sana
Magdalena
Pole Sana kwake soon atarudi dimban
Salma
Atakuwa sawa
Juliana
Duh thanks kwa gud news
Furahav
Daaah pole
Antony Luseno
Kwa msimu huu ukiisha ni bora astaafu
mwakalosi
asanteni meridian kwa habari nzuri
Rehema Dickson
Hatar na nusu
Lydia Emmanuel Magoti
Daah noma sana
Latifa juma mohamed
Kwanza pole Sana zlatn kurejea dimbani kutokan na majeraha vzr aendelee kuchek afya muhimu
Daniel
One of the best ever who has performed in every league he has gone too. #meridianbettz
Samira
Get well soon champ
Hamidu
Asante kwa taarifa#meridianbettz
Rehema
Asante meridianbet kwa habari njema
SADICK
Namutakia apone haraka kuja kutuonyesha vitu vya kiutu uzima#meridianbettz
Isaya massawe
Mungu atamfanyia wepesi apone baraka sana#meridiabettz
Ester
Pole sanaa
Evaluziga
Atapona lakini atachukua muda kwa kuwa umri umeenda
Gabriel
MUNGU amsaidie Ibrahimovic# meridianBetTZ
Samiah
Pole sanaaa
Tatu
Good news
Agness
Duuh ninoma
dorophina
Pole yake
Hope mwaikuka
U will be fine champ
Elika
Tunampa pole sana
Neema hassan
Mungu amponye#meridianbettz
Mwanaidi
Atarudi tu na atakuwa imara kwa uwezo wa mungu
frank patrick
umri nao ushaanza kumtupa mkono
Devotha
Pole yake
Mariam mtandama
Asante meridianbet #kwa taarifa
Zeiyana iddi
Duuuh..!ibrahimovic hanamiaka 18 kweli sura na mri tofauti..!pole sana mpambanaji utapona tu na utarudi kwenye ali yako
Aziza mushi
Pole yake
Hidaya Mohammed
InshaAllah mwenyezi mungu atamuafu
Neema juma
Mwili wa mazoezii huo ajiamini hata chukua mda atapona haraka. Pole yake
Lombo
gud newz asante meridianbet
Salma
Habari mbaya kwake
Lydia Emmanuel Magoti
Daa pole yake
felister
get well soon