Makala nyingine

Kocha Mkuu wa Dodoma Jiji, raia wa Marekani, Melis Medo ameahidi kuwa mpaka kufikia mwisho wa msimu huu timu hiyo itakuwa nafasi ya sita au ya saba kwenye msimamo wa …

Mbombo wa Azam Anatisha

Straika wa Azam FC, Idriss Mbombo ameonekana kuwa mtambo wa mabao ndani ya klabu hiyo baada ya kufunga bao la sita. Bao hilo pekee lilifungwa jana jumanne kwenye mchezo wa …

Kocha Mkuu wa Ruvu Shooting, Boniface Mkwasa amelalamikia pelnati ya mchezo wao dhidi ya Azam FC uliopigwa kwenye Uwanja wa Azam Complex. Mchezo huo ulipigwa jana jumanne ambapo Azam waliibuka …

Kiungo mshambuliaji wa Simba, Peter Banda atakuwa nje ya kikosi hicho kwa wiki mbili kwa ajili ya kuuguza jeraha lake la mguu. Ofisa Habari wa Simba, Ahmed Ally amesema kikosi …

Kikosi cha Pan African kesho jumatano kinatarajia kuondoka kuelekea Mwanza kwa ajili ya mchezo wao dhidi ya Copco. Pan inayonolewa na Kocha Mkuu, Iddy Cheche kinacheza mchezo huo wakiwa na …

Uongozi wa Azam FC umefunguka kuwa haufikirii ubingwa wa ligi kuu licha ya kushika nafasi ya pili kwenye msimamo wa ligi. Azam leo watashuka katika dimba la Azam Complex kuchuana …

Dakika ya 8, 18 Seif Abdallah Kalihe anaiandikia Dodoma Jiji bao la kwanza na la pili. Kwa kichwa akipokea pasi kutoka kwa Paul peter, dakika ya 48 ya mchezo Wazir …

Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi wa klabu ya Simba, Boniface Lihamwike ameweka wazi kuwa uchaguzi mkuu wa klabu hiyo utafanyika Januari mwaka 2023 na siyo mwaka huu tena kama ambavyo …

Uongozi wa Klabu ya Simba umesema kuwa hawatakuwa na kocha Suleiman Matola kwa muda wa mwaka mmoja kwa kuwa anakwenda kusoma na baada ya kumaliza masomo yake ndipo viongozi watajua …

Kocha wa Makipa wa Klabu ya Simba, Muharami Said Sultan amekamatwa na madawa ya kulevya aina ya Heroine. Hii ni kwa mujibu wa taarifa kutoka Jeshi la Polisi Tanzania. Taarifa …

Clement Mziza ndiyo mchezaji aliyepeleka kilio kwa Kagera Sugar wilkiendi iliyopita wakati Yanga Sc walipoilaza Kagera Sugar kwa baoa 1-0 kwenye mchezo uliochezwa kwenye uwanja wa CCM Kirumba. Mziza, amefunguka …

Stori nyingine inayozungumzwa na wachambuzi wengi wa michezo nchini ni juu ya uwezo wa kawaida wa magolikipa wakigeni ambao wanacheza kwenye klabu za ligi kuu. Kipa wa zamani wa Yanga …

Kocha Mkuu wa Ihefu, Juma Mwambusi amesema kuwa kwa sasa ameendelea kufanya maboresho katika kikosi chao ili kupunguza mapungufu kadhaa. Akizungumzia maandalizi yao Mwambusi alisema: “Kikosi kimerejea mazoezini kwa ajili …

Benchi la ufundi la Yanga likiongozwa na Kocha Mkuu, Nassredine Nabi limewaomba msamaha mashabiki wa klabu hiyo kutokana na timu kutoonyesha kiwango bora kwenye mchezo dhidi ya Kagera Sugar. Yanga …

Kocha Msaidizi wa Tanzania Prisons, Shaban Mtupa amefunguka kuwa sababu ya kupoteza mchezo dhidi ya Coastal Union ni majeruhi pamoja na kadi. Mtupa alisema kuwa sababu kubwa ya matokeo hayo …

Klabu ya Simba Queens watashuka tena uwanjani kesho Jumamosi nchini Morocco kucheza mchezo wa kusaka mshindi wa tatu dhidi ya Bayelsa Queens kutoka Nigeria. Kocha wa timu hiyo Charles Aex …

1 2 3 4 13 14 15