Makala nyingine

Mchezo kati ya Geita Gold na KMC umemalizika kwa kutoshana nguvu ya sare ya magoli 1-1 huku magoli hayo yakifungwa na Ntibazonkiza kwa wachimba dhahabu huku vijana wa Kino boys …

Mfungaji Bora wa Ligi Kuu Bara msimu uliopita, George Mpole, ameibuka na kufunguka mengi makubwa yanayomuhusu mara baada ya kutoonekana kwa muda kikosini hapo. Hiyo ikiwa siku ni siku chache …

Straika wa Yanga Fiston Mayele amesema kuwa yeye hana tofauti yoyote na kiungo wa timu hiyo Stephen Azizi Ki kama ambavyo alikuwa anasikia baadhi ya minong’ono kwa baadhi ya mashabiki. …

Beki wa kati wa Yanga Dickson Job amefunguka kuwa kwa kuwa wamefanikiwa kutinga kutinga kwenye hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika, watafanya makubwa na watakwenda mbali zaidi na …

Mshambuliaji wa Yanga Fiston Mayele ameweka wazi kuwa kulikuwa na sababu nyingi sana ambazo zilipelekea wao kupambana na kupata bao la ugenini na la ushindi wakiwa Tunisia na kuwatoa Club …

Ukweli ni kwamba huu siyo wakati mzuri ambao klabu ya Simba unapitia kwani imekutana na matokeo yasiyoridhisha na sasa wameingia kwenye mlundikano wa kuwakosa wachezaji wao muhimu kwa sababu mbalimbali. …

Mchezo wa ligi kuu kati ya Polisi Tanzania dhidi ya Simba unaotarajiwa kuchezwa Novemba 27 mwaka huu utapigwa kwenye Uwanja wa Ushirika, Moshi. Polisi Tanzania kwa msimu huu wametumia viwanja …

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu amewapongeza Yanga kwa kutinga hatua ya makundi ya michuano ya Shirikisho barani Afrika. Yanga walitinga katika hatua hiyo jana jumatano …

Kocha Msaidizi wa Yanga, Cedric Kaze amewataka mashabiki wa timu hiyo kuwapa sapoti wachezaji na benchi la ufundi hata katika kipindi kigumu. Kaze amezungumza hayo baada ya timu hiyo kufanikiwa …

Nyota wa kikosi cha Yanga, Stephane Aziz Ki amewaomba mashabiki waendelee kuwapa sapoti na kuwaamini kwenye mchezo wa leo dhidi ya Club Africain. Mchezo huo wa marudiano wa kutafuta nafasi …

Uongozi wa Chama cha Soka mkoa wa Dar es Salaam (DRFA) umewatakia Yanga ushindi kwenye mchezo wa leo dhidi ya Club Africain. Mwenyekiti wa DRFA, Lameck Nyambaya amesema wao wanawatakia …

Simba Queens wanatarajia kushuka dimbani kesho Jumatano kucheza mechi ya nusu fainali na mabingwa watetezi wa Ligi ya Mabingwa Afrika msimu uliopita Mamelody Sundowns kutoka Kanda ya Cosafa na Afrika …

Kuanzia sasa Azam FC, ikiwa kwenye Uwanja wao wa nyumbani katika michezo ya ligi kuu viingilio ni jezi zao za msimu wowote. Kikosi hicho kilichosheheni nyota wengi wa kimataifa pamoja …

Straika wa Azam FC Prince Dube ametatua mjadala wa goli lilipi lilikuwa bora, kati ya lile alilowafunga Yanga msimu juzi kwa shuti kali kipa akiwa Mkenya Faruk Waza Shikalo na …

Mchezaji wa timu ya Namungo Jacob Massawe amefunguka kuwa mipango yao kwa msimu huu ni kuhakikisha timu yao msimu huu inamaliza kwenye nafasi za juu. Namungo leo inashuka katika dimba …

Kocha Mkuu wa kikosi cha Simba Queens, Charles Lukula amesema kuwa kwenye mchezo wa mwisho wa hatua ya makundi atabadilisha kikosi cha kwanza. Simba Queens walifanikiwa kupata ushindi wa kwanza …

Kocha Mkuu wa Simba Queens, Charles Lukula ameahidi kuwa timu hiyo leo itaibuka na ushindi wa kwanza kwenye michuano ya Ligi ya mabingwa Afrika. Simba bado hawajapata pointi yeyote hiyo …

Kocha Mkuu wa Kagera Sugar, Mecky Mexime amemshukuru kocha aliyepata wa timu hiyo, Francis Baraza kutokana na kuwajenga wachezaji. Mecky alikabidhiwa mikoba hiyo hivi karibuni baada ya kutimuliwa kwa Baraza …

1 2 3 4 5 13 14 15
Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.