Wakati dunia nzima ikitangaza kusitisha michezo ya aina zote kutokana na janga la korona, UFC wakapitia kipindi cha kuwa ndio watu wa kwanza kuendesha Pambano kubwa la kimataifa lililo fanyika Alfajili ya kuamkia juma pili walilolipo jina la UFC 249 lililo fanyika Jackvile Florida nchini marekani.
Kazi ya kulitangaza na kulifanikisha pambano hilo haikua ndogo kutokana na hali ilivyo kwa sasa na ukingingatia pambano hilo lilitakiwa kufanyika bila mashabiki, ila mwisho wa siku zoezi hilo lilifanikiwa na ni lazima kusema kua lilifanikiwa kwa kiasi kikubwa mno na limekua pambano halitaweza kudahau lika kwa urahisi.
Mpambano huo ulipangwa kufanyika mwezi wa nne tarehe 18 huko Brooklyn, na lilikua na kila kitu ambalo shabiki yoyote angetamani kuona kwenye pambano hilo. Tumeona mpambano mzuri sana ambako bingwa mpya wa uzito wa kati alifanya makubwa ndani ya dakika 25 tu za pambano hilo.
Pambano hilo lilisha kwa Justine Gaethje kumtwanga Ferguson kwa knock out, kitu ambacho Ferguson hakutegemea kwa maana watarajio ya wengi ilikua Justine Gaethje kupigwa tena kwa round za mapema sana au angekutwa na K.O kutoka kwa Ferguson, Badala yake amewaziba midomo watu walio amini angepokea kichappo.
safi .sante meridianbet kwa kutupa taarifa nzuri.
ngumi mchezo wa wazi , ni nzuri kuangalia
Asante Sana meridian kwa taarifa
Mchezo wa ngumi mzuri sana
Meridani kumekucha na taarifa mototo asante meridian
Justin Yuko vizur Sana Asante Sana meridianbet kwa kutujuza taarifa za michezo
Apambano mengine awe anaangalia Nina ya kupigana
Awe anaangaliaga mapambano mengine,asiwe na tamaa ya pesa
furguson alitamba na kujiamini sana alisahau kama kila mmoja kajiandaa kakipata alichostahili maana Justine najua anachokifanya kwa upande mwingine Justin kupitia meridianbet wamevuna mpunga
Asante meridian kwa taarifa
Asante kwa tarifa meridianbet
Asante meridian kwatarifa
Wengi waliweka mzigo kwa ferguson haha kakaa
Asante kwa mlejesho
Meridianbet siyamchezo mchezo
Ubashiri wangu ulikua sahihi acha nikachukue mpunga wangu
Thanks for always giving us a good news
Nlikuwa npo sahihi
justin yuko vzur kweny masumbwi
Duuuh kachakazwa kisawa sawa asante meridianbet kwa taarifa maana wengi hatukuangalia hili pambano
Vizur meridian kwataarifa
Great
Kutokana na janga la corona pia ni vizuri pambano hilo liendelee kufanyika bila mashabiki tu
Ngumi si za kitoto
Pambano zur sana kuangaliah Asante meridiana kwa habar Moto moto
duh co kwa k/o izo
Lilikuwa bonge la pambano. Asante# meridianbettz
Welldone Justin Bieber Gaethje
Justin noma.
duuh ili pambano sio la kitoto kweli hongereni sana meridianbet
Kama vipi warudie kuzipiga Tena.
Mpambano ulikuwa si wa kitoto sio kwa kuchakazwa huko noma sn
Tony Ferguson hyu naye kila mechi kwake ngumu
sikufanikiwa kulitazama ila asante kwa taarifa
Ahsante sana meridian kwa taarifa
Asanteh kwa taarifa
Mambano hii lilikuwa noma sn shukurani meridianbet kwa habari mzur sana
Yan kwa alieangalia pambano tony kapigwa vibaya mnooo
Hakuna Kama meridianbet Kila kinachoendelea khs ligi mnatujulisha..
Meridian michezo mingi sanaaaa hongereni
Mpambono ulikuwa mzuri na wakusisimua anacho takiwa ni kuwa makini katika mpambano ametuangusha mashabiki zake
Asante kwa taarifa meridianbet
Me nilijua tu maana Justin yuko vzur anamapambano meng ya ufc ameshinda
Asante kwa kutujuza
Jamaa Ana makonde mazito Sana
Justin mbabe