Mauricio Pochettino amewatetea wachezaji wake baada ya Gary Neville kuiita Chelsea “Timu ya bilioni lakini kazi za chupa” kufuatia kupoteza kwao fainali ya Kombe la Carabao dhidi ya Liverpool. Bao …
Makala nyingine
BAADA ya kukamilisha usajili wa nyota wapya ndani ya kikosi cha Simba Uongozi umeweka wazi kuwa wachezaji hao watafaya kazi kubwa kukamilisha majukumu yao ndani ya uwanja. Beti na Meridianbet …
Ripoti nyingi zinasema kwamba Roma wamepata makubaliano na Juventus juu ya mkataba wa mkopo wa beki wa miaka 18 Dean Huijsen hadi mwisho wa msimu wa 2023-24. Giallorossi wamekuwa …
Kocha wa klabu ya Real Madrid raia wa kimataifa wa Italia Carlo Ancelotti ameweka wazi ataendelea kusalia ndani ya klabu hiyo hata baada ya kumaliza kufundisha soka ndani ya klabu …
Wayne Rooney inasemekana amefutwa kazi kama kocha wa Birmingham baada ya kushinda michezo 15 tu, Uamuzi huo umeanya na Tom Brady pamoja na bodi ya timu hiyo wakichukua hatua thabiti. …
Mohamed Salah ataelekea kwenye michuano ya AFCON huko Ivory Coast mara baada ya kuonesha kiwango kikubwa kwenye mchezo dhidi ya NewCastle uliomalizika kwa Liverpool kupata ushindi mkubwa wa mabao 4-2, …
Scotland wataanza michuano ya Euro 2024 baada ya kupangwa kukutana na wenyeji wa michuano hiyo Ujerumani katika Kundi A. Kikosi cha Steve Clarke, ambacho kilifuzu kwa fainali hizo zikiwa …
Wakati Milan hawana mpango wa kumfukuza Stefano Pioli, wanaweka wazi chaguo zao na wameripotiwa kupewa nafasi ya kumwajiri Andriy Shevchenko. Shinikizo linaendelea kupanda kwa Pioli baada ya matokeo ya …
John McGinn yuko tayari kwa Euro 2024 baada ya Scotland kukamilisha kampeni ya kufuzu kwa sare ya 3-3 dhidi ya Norway. McGinn, ambaye ni nahodha wa Jeshi la Tartan …
Cole Palmer amekiri kuwa ilikuwa ajabu kukutana na klabu yake ya zamani ya Manchester City alipofunga penalti dakika za mwisho huko London Magharibi. Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka …
Kiungo wa klbu ya Real Madrid na timu ya taifa ya Uruguay Federico Valverde amefanikiwa kusaini kandarasi mpya ndani ya klabu hiyo itakayomueka ndani ya timu hiyo mpaka mwaka 2029. …
Kiungo wa kati wa Milan Ruben Loftus-Cheek amerejea mazoezini na wachezaji wengine wa kundi la kwanza jana, na kutoa nyongeza inayohitajika kwa Stefano Pioli huku orodha ya majeruhi ikiongezeka San …
Kocha wa klabu ya Real Madrid Carlo Ancelotti amesema kiungo kinda wa klabu hiyo Arda Guler atarejea uwanjani hivi karibuni baada ya kutoka kwenye majeraha ambayo aliyapata. Kinda Arda Guler …
Mshambuliaji wa zamani wa klabu ya Chelsea, Inter Milan, na Man United Romelu Lukaku ni kama amezaliwa upya akiwa na klabu ya As Roma kwani anaonesha ubora mkubwa akiwa ndani …
Klabu ya Bayern Leverkusen chini ya kocha Xabi Alonso wanaendelea kukiwasha kunako ligi kuu ya Ujerumani Bundesliga baada ya leo kushinda mchezo wao tena dhidi ya Fc Cologne. Xabi Alonso …
IMELEEZWA kuwa mshambuliaji wa Yanga, Hafidh Konkoni huenda akaukosa mchezo wa marudiano wa Hatua ya Kwanza ya Ligi ya Mabingwa Afrika watakaocheza dhidi ya Al Merrikh ya Sudan. Una nafasi …
Mabeki wa klabu ya Manchester United Luke Shaw na Aaron Wan Bissaka wanatarajiwa kuendelea kukaa nje ya uwanja kwa muda zaidi baada ya kupata majeraha. Luke Shaw ambaye aliumia kabla …