Raisi wa Shirikisho la soka Duniani (FIFA) Gianni Infantino jumatano ya wiki hii alifanya ziara nchini Qatar kujionea maandalizi ya kombe la Dunia mwaka 2022 ambayo yatafanyikia nchini humo. “Kama …
Makala nyingine
Mataifa ya Uhispania na Ureno yameingia mkataba maalumu wa kuunda muungano wa kujipigia chapuo kuandaa michuano ya kombe la dunia (FIFA WORLD CUP) mwaka 2030. Awali katika muungano huo pia …
UNAKUBALI KUWA ASILI YA SOKA NI CHINA? Mchoro wa mchezo wa kandanda katika makumbusho ya Linzi Kufika sasa ni dhahiri kuwa China ilikuwa na vilabu vya soka, sheria, na …
ULIANZIA WAPI HASA? Kwa zaidi ya miaka 2000, Wachina wamekuwa wakicheza mpira wa cuju au zuqiu, ambao hutamkwa tsoo-joo unaohusu upigaji mpira shuti kwa kutumia mguu kwa Kiingereza “kickball”. Neno hilo hutumika kumaanisha kandanda hadi …
Sandro Tonali ameeleza kwamba uhamisho wake wa kwenda AC Milan ni kama ndoto yake imekuwa kweli baada ya timu aliyokuwa akichezea Brescia kushuka daraja. Milan walitangaza usajili huo wa Tonali …
Louis van Gaal au Bert van Marwijk watatakiwa kuwa wagombea wakuu kumbadili Ronald Koeman kama kocha wa timu ya taifa ya Netherland hii ni kwa mujibu wa Robin van Verpise. …
Ipi hukumu kubwa zaidi kuwahi kutolewa duniani? Hakuna anayejua jibu sahihi. Ila ipo moja tunayoweza kuitumia kama mfano, japo sina hakika kama ndiyo hukumu ya kikatili zaidi kuwahi kutolewa katika …
JUMLA ya mechi nne zitasakatwa kila siku katika hatua ya makundi wakati wa fainali zijazo za Kombe la Dunia nchini Qatar mnamo Novemba – Disemba 2022. Haya ni kwa mujibu …
Kylian Mbappe anaweza kutakiwa kuihama timu yake ya Paris Saint Germain kukidhi haja ya kiushindani hii nikwa mujibu wa nyota wa Real Madrid, Luka Modric. Mbappe mwenye umri …
Cristiano Ronaldo tangu atue katika timu amekuwa na msaada mkubwa , hii ni kwa mujibu wa mchezaji mwenzake Giorgio Chiellini. Ronaldo tayari amekwisha funga mabao 53 katiaka mechi 76 alizocheza …
Si unakumbuka Giovanni Van Broickhoist alivyoisimamisha Afrika Kusini ile 2010. Wahuni wa Soweto wakakubali kuzima misokoto, wakasimama kutazama matusi yasiyokera ya ‘m-dutch’. Lile bao, hadi madaktari walisahau kuwasikiliza wagonjwa wao. …
Unajua Pakistan ndio mzalishaji mkubwa wa mpira wa miguu wenye ubora wa hali ya juu wa kufumwa na mkono, unaotengenezwa kwa bei nafuu na kuuzwa ghali. Pakistan ndio muuzaji mkubwa wa …
Manchester City imeatoa maamuzi ya kuto kata mishahara ya wafanya kazi wake wa ambao hawachezi mpira (wahudumu wa uwanja na timu) hii ni kutokana na kuibuka kwagonja la Korona (Covid19) …