Timu ya taifa ya Cameroon itashuka dimbani usiku huu kutafuta nafasi kufuzu hatua ya 16 bora dhidi ya timu ya taifa ya Brazil ambao tayari wameshafuzu hatua hiyo baada ya …
Makala nyingine
Timu ya taifa ya Korea Kusini imefanikiwa kufuzu hatua ya 16 bora baada ya kufanikiwa kuifunga timu ya taifa ya Ureno kwa mabao mawili kwa moja katika mchezo wa mwisho …
Joshua Kimmich ameelezea kuondoshwa kwa Ujerumani katika Kombe la Dunia kama siku mbaya zaidi ya maisha yake na alikiri anaogopa ataanguka kwenye shimo la lawama baadaye. Kuelekea mechi yao …
Christian Pulisic amewapa nguvu mashabiki wa Marekani na timu yake ya taifa kabla ya mechi yake ya hatua ya 16 bora dhidi ya Uholanzi Jumamosi asubuhi. Pulisic alifunga bao …
Mchanganuo wa ODDS kubwa za Meridianbet| Ni siku nyingine tena ya kushuhudia mbungi ikipigwa kwenye viwanja mbalimbali Qatar, ni mechi za kufunga mwezi Novemba na kuukaribisha mwezi wa Sikukuu Desemba. …
Cristiano Ronaldo hakuguswa na mpira kwenye bao la kwanza la Ureno katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Uruguay, kulingana na data “sahihi sana” iliyochukuliwa kutoka kwenye sensa ndani ya mpira …
Siku ni Jumatatu na Jumanne wakati ambao wengi wanakuwa kwenye mihangaiko ya kutafuta chochote kitu, ili mkono uende kinywani, sikia mdau! Meridianbet hawakuachi ukateseka, msimu huu wa kombe la dunia …
Timu ya taifa ya Morocco imefanikiwa kupata ushindi dhidi ya timu ya taifa ya Ubelgiji katika mchezo wa pili wa kundi F katika michuano ya kombe la dunia. Ubelgiji imeshangazwa …
Casemiro ana imani kuwa Brazil inaweza kushinda bila Neymar kwa sasa kwani alimuunga mkono mchezaji huyo ili kuwa fiti kwa wakati kwa ajili ya Kombe la Dunia. Jeraha la …
Timu ya taifa ya Costa Rica imefanikiwa kupata ushindi wake wa kwanza kwenye mochuano ya kombe la dunia mwaka huu baada ya kuifunga timu ya taifa ya Japan mapema leo. …
Nahodha wa timu ya taifa ya Argentina Lionel Messi amefikia rekodi ya gwiji wa zamani wa taifa hilo Diego Maradonna kwenye michuano ya kombe la dunia. Hiyo ni baada ya …
Nyota wa timu ya taifa ya Ufaransa, Kylian Mbappe akiwa katika picha ya pamoja na binti wa Donald Trump, Ivanka na mume wake Jared Kushner na watoto wao kufuatia ushindi …
Timu ya taifa ya Argentina chini ya Nahodha Lionel Messi hatma yao itajulikana leo itakaposhuka dimbani kumenyana na timu ya taifa ya Mexico katika mchezo wa pili wa kombe la …
Mshambuliaji wa timu ya taifa ya Brazil Neymar Jr atakosekana kwenye michezo iliobakia ya hatua ya makundi kwenye michuano ya kombe la dunia baada ya kupata majeraha. Staa huyo alipata …
Timu ya taifa ya Senegal imeanza kuonesha makali katika michuano yta kombe la dunia nchini Qatar baada ya kuwafunga wenyeji wa michuano hiyo timu ya taifa ya Qatar kwa mabao …
Upasuaji wa beki Yasser Al Shahrani wa timu ya taifa ya Saudia Arabia umefanikiwa salama siku ya leo taarifa rasmi kutoka kambi ya timu hiyo imesema. Beki huyo ambaye aligongana …
Timu ya taifa ya Cameroon imeanza vibaya katika michuano ya kombe la dunia baada ya kukubali kipigo cha bao moja kwa sifuri dhidi ya timu ya taifa ya Uswisi katika …
Kocha wa timu ya taifa ya Canada John Herdman amesema amefurahishwa na kiwango bora cha timu yake licha ya kupoteza katika mchezo wao wa ufunguzi dhidi ya Ubelgiji hapo jana. …
Nyota wa timu ya taifa ya Ureno Cristiano Ronaldo leo atakua dimbani kuiwakilisha timu yake ya taifa katika michuano ya kombe la dunia dhidi ya timu ya taifa ya Ghana …
Michuano ya kombe la dunia imeendelea kuwashangaza watu baada ya leo timu ya taifa ya Japan kuweza kuifunga timu ya taifa ya Ujerumani katika mchezo wa kwanza wa kundi E …