Klabu ya Napoli imeanza harakati za mapema kumsaka winga wa Manchester United, Jadon Sancho, kwa kufanya mawasiliano ya awali na wakala wake. Hatua hiyo inaashiria dhamira ya Napoli kutaka kuimarisha …
Makala nyingine
Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) linaendelea na maboresho ya Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo ikiwa ni maandalizi ya derby kubwa ya Kariakoo kati ya Simba SC na Yanga SC inayotarajiwa …
Nyota wa zamani wa Tottenham Hotspur, Erik Lamela, amezungumzia hali yake baada ya kufanyiwa upasuaji wa nyonga kufuatia kustaafu soka akiwa na umri wa miaka 33. Lamela alilazimika kutundika daruga …
Kocha wa Benfica, Jose Mourinho amesema hakuna mawasiliano yoyote kati yake na Real Madrid licha ya tetesi zinazoendelea kumhusisha na kurejea katika klabu hiyo ya Hispania msimu ujao. Mourinho, ambaye …
Kocha wa Arsenal, Mikel Arteta amewataka wachezaji wake kurejea kwenye malengo yao ya ubingwa wa Premier League wanapojiandaa kuikaribisha Fulham siku ya Jumamosi. Hii inakuja siku chache baada ya sare …
Kocha wa Manchester United, Michael Carrick amesema kuwa mchezo dhidi ya Liverpool unabaki kuwa wa kipekee licha ya timu hizo kutokuwa kwenye mbio za ubingwa wa Premier League msimu huu. …
Kocha wa Spurs Roberto De Zerbi wa amesema anataka kuondoa kabisa mawazo hasi ndani ya kikosi chake wakati timu hiyo ikiendelea kupambana kujinusuru kushuka daraja katika Premier League. Spurs kwa …
Mshambuliaji wa Atletico Madrid, Antoine Griezmann, ameitaka timu yake kubeba kiwango bora walichoonyesha kipindi cha pili kuelekea mchezo wa marudiano wa nusu fainali ya UEFA Champions League dhidi ya Arsenal. …
Aliyekuwa nahodha wa Manchester United na mchezaji wa zamani wa timu ya taifa ya, Ashley Young ametangaza rasmi kuwa atastaafu soka mwishoni mwa msimu huu. Beki huyo wa pembeni mwenye …
Kocha wa Arsenal, Mikel Arteta, ameonyesha hasira kali kufuatia uamuzi wa kubatilisha penati iliyotolewa kwa timu yake katika sare ya 1-1 dhidi ya Atletico Madrid kwenye mkondo wa kwanza wa …
Mshambuliaji wa Liverpool, Mohamed Salah, anatarajiwa kurejea uwanjani kabla ya mwisho wa msimu huu baada ya klabu hiyo kuthibitisha kuwa jeraha lake si kubwa kama ilivyodhaniwa awali. Salah alitolewa nje …
Beki wa kulia wa Paris Saint-Germain, Achraf Hakimi, atakosekana katika mchezo wa mkondo wa pili wa nusu fainali ya UEFA Champions League dhidi ya Bayern Munich baada ya kupata jeraha …
Kocha Vincent Kompany amesema timu yake ya Bayern Munich iko tayari kufanya makubwa zaidi katika mchezo wa marudiano wa nusu fainali ya UEFA Champions League dhidi ya Paris Saint-Germain, kufuatia …
Klabu ya Newcastle United imeanza kufikiria kumuuza mshambuliaji Yoane Wissa katika dirisha lijalo la majira ya kiangazi, huku Aston Villa, Tottenham Hotspur na Nottingham Forest zikiwa miongoni mwa klabu zinazofuatilia …
Kocha wa Mikel Arteta amesema ni “heshima kubwa” kwa Arsenal kucheza nusu fainali ya UEFA Champions League kwa msimu wa pili mfululizo, huku akisisitiza kuwa timu yake iko tayari kutumia …
Mshambuliaji wa Harry Kane amesema ana imani kubwa kuwa Bayern Munich wanaweza kufuzu fainali ya UEFA Champions League licha ya kupoteza kwa mabao 5-4 dhidi ya Paris Saint-Germain katika mchezo …
Beki wa Manchester United, Harry Maguire, amemsifu kocha Michael Carrick kwa kuibadilisha timu hiyo na kuirejesha kwenye ushindani, kufuatia ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Brentford F.C. Ushindi huo umeifanya …

