Makala nyingine

Mshambuliaji wa Yanga Fiston Mayele ameweka wazi kuwa kulikuwa na sababu nyingi sana ambazo zilipelekea wao kupambana na kupata bao la ugenini na la ushindi wakiwa Tunisia na kuwatoa Club …

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu amewapongeza Yanga kwa kutinga hatua ya makundi ya michuano ya Shirikisho barani Afrika. Yanga walitinga katika hatua hiyo jana jumatano …

Kocha Msaidizi wa Yanga, Cedric Kaze amewataka mashabiki wa timu hiyo kuwapa sapoti wachezaji na benchi la ufundi hata katika kipindi kigumu. Kaze amezungumza hayo baada ya timu hiyo kufanikiwa …

Kocha Mkuu wa Simba Queens, Charles Lukula amesema kuwa licha ya kufungwa na Mamelodi Sundowns lakini anawapongeza wachezaji wake kutokana na viwango walivyoonyesha. Simba Queens walipoteza mchezo wao wa hatua …

Nyota wa kikosi cha Yanga, Stephane Aziz Ki amewaomba mashabiki waendelee kuwapa sapoti na kuwaamini kwenye mchezo wa leo dhidi ya Club Africain. Mchezo huo wa marudiano wa kutafuta nafasi …

MCHEZAJI wa Yanga aliyerejesha furaha kwa wananchi siku ya derby ya Kariakoo kwa Shuti kali la mpira wa kutenga Stephen Aziz KI, amewataka mashabiki wa timu hiyo kuiamini timu yao …

YANGA SC iliyoweka kambi yao kwenye mji wa Sousse nchini Tunisia, imewafuata Club Africain mapema sana kwenye mji wao wa Tunis kwaajili ya mchezo wa marudiano mkondo wa pili, kufuzu …

Yanga Yasepa Tunis

Baada ya kuweka kambi kwenye mji wa Sousse nchini Tunisia, kikosi cha Yanga leo kimeondoka kuelekea Tunis kwa ajili ya mchezo wao wa michuano ya Shirikisho barani Afrika. Yanga kabla …

Kocha Mkuu wa Yanga Nasraddine Nabi amewaficha Yanga kwenye mji aliozaliwa ambao unaitwa Sousse nchini Tunisia, kambi ya yanga ilianza tangu walivyowasiri nchini humo na kuanza kufanya mazoezi ya kujiandaa …

Mabingwa mara 28 wa Tanzania na wawakilishi pekee kwenye Mashindano ya Kombe la Shirikisho Barani Afrika Yanga SC, ni kama wanasafari kubwa na ngumu ya kuupanda mlima mrefu mithili ya …

Mabingwa wa muda wote Tanzania na wawakilishi pekee wa Tanzania kwenye Mashindano ya Kombe la Shirikisho Barani Afrika Yanga SC, Jana Novemba 04, 2022 walikwea mwewe kuwafuata waarabu wa Tunisia, …

KIKOSI cha Yanga SC kimeondoka mapema leo kuelekea Tunisia kwa ajili ya mchezo wa marudiano wa mtoano wa michuano ya Kombe la Shirikisho barani Afrika dhidi ya Club Africain ya …

KOCHA Mkuu wa Yanga Nasraddine Nabi ametoa malalamiko yake kuhusu Ratiba ya Ligi Kuu ya NBC kuwa ngumu sana, kutokana na michezo mfululizo kufuatana na kuwakosesha muda wa kupumzika na …

1 2 3 4 6 7 8