KOCHA Mkuu wa Yanga Nasraddine Nabi ametoa malalamiko yake kuhusu Ratiba ya Ligi Kuu ya NBC kuwa ngumu sana, kutokana na michezo mfululizo kufuatana na kuwakosesha muda wa kupumzika na …
Makala nyingine
Mabingwa wa mara nyingi zaidi wa Tanzania, Yanga SC jioni ya leo watashuka kwenye dimba la Benjamin Mkapa kuliwakilisha taifa kwa mara nyingine tena kwenye mchezo wa mtoano wa kombe …
RAIS wa Yanga, Injinia Hersi Said amesema kuwa wanaimani ya timu hiyo kukamilisha mpango wa kufuzu hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika. Novemba 2,2022 Yanga inayonolewa na Kocha …
WINGA wa Simba SC mwenye kasi na ujuzi wa kukaa na mpira ambaye pia ni raia wa nchini Ghana, Agustine Okrah ametumia mtandao wake wa kijamii kuwashukuru mashabiki zake kwa …
Klabu ya Yanga imerejea Dar-Es-Salaam baada ya kutoka kuchukua pointi 3 muhimu dhidi ya Geita Gold kwenye mchezo wao wa Ligi kuu ya NBC uliofanyika huko Mwanza katika uwanja wa …
Kiungo mshambuliaji wa Yanga SC Bernard Morrison ambaye aliifungia timu yake goli la penati lililoipatia alama tatu muhimu dhidi ya Geita Gold kwenye dimba la CCM Kirumba Jijini Mwanza, ametolewa …
Yanga wanatarajia kuivaa Geita Gold kesho, wachezaji watatu wamejereshwa kwenye kikosi cha Yanga ambao ni Djuma Shaban, Fiston Mayele na Joyce Lomalisa. Nyota hao hawakuonekana kwenye mchezo uliopita wa ligi …
Baada ya Kufungiwa mechi tatu za Ligi Kuu , Mshambuliaji wa Yanga ambaye ni Raia wa Ghana Bernard Morrison hatimaye amemaliza kutumikia kifungo chake alichohukumiwa na bodi ya ligi baada …
Klabu ya Yanga imesafiri leo hii kuifuata Geita Gold ambapo wanatarajia kucheza mchezo wao wa Ligi kuu ya NBC hapo kesho majira ya saa 10:00 jioni katika uwanja wa CCM …
Kuelekea mchezo wa Kombe la Shirikisho kati ya Yanga dhidi ya Club Africain ya Tunisia, Yanga wameamua kugawa tiketi za mchezo takribani elfu 10 kwa mashabiki ambao watachanja. Siku …
Uongozi wa Pan African rasmi leo umevunja benchi la ufundi la timu hiyo likiongozwa na Kocha Mkuu, Twaha Beimbaya kutokana na matokeo yasiyoridhisha. Pan African tangu kuanza kwa msimu huu …
Uongozi wa KMC FC inayodhaminiwa na Meridian Bet umeingilia kati juu ya uwepo wa taarifa kuwa Yanga wameachana na makocha wao wawili, Nasreedin Nabi na msaidizi wake Cedric Kaze kwa …
Kocha wa Timu ya Taifa ya Uganda, raia wa Serbia Milutin Micho ambaye aliwahi kuinoa Yanga miaka ya nyuma amefunguka kuwa kwa hapa Tanzania klabu na uongozi wa Yanga ni …
Baada ya kutoka kwenye kibarua kizito wikiendi iliyomalizika dhidi ya Simba klabu ya Yanga kesho tena oktoba 26 itashuka dimbani na vijana kutoka Kinondoni jijini Dar-es-salaam KMC katika mchezo utakaopigwa …
MKUU wa Idara ya Maudhui ya Kidigitali wa Klabu ya Yanga SC Priva Abiud Shayo Maarufu kama Privadinho, amewataka mashabiki, wapenzi na wanachama wa klabu hiyo kupuuza taarifa zinazosambaa mitandaoni …
NABI: Wahenga walisema ‘lisemwalo lipo’, kama bado basi laja! huu ni msemo maarufu sana kwa mtu akitaka kujihakikishia jambo kuwa litatokea muda wowote kuanzia wakati huo. Hivyo ndivyo unavyoweza kusema …
Kocha Mkuu wa Yanga, Nassredine Nabi amefunguka kuwa sababu ya kuruhusu mabao ya kushambulia kwa kushtukiza ni mabeki wake kujisahau. Nabi aliongea hayo jana jumapili baada ya kumalizika kwa mchezo …
Kocha wa Timu ya Taifa ya Uganda, raia wa Serbia Milutin Micho ambaye aliwahi kuinoa Yanga miaka ya nyuma amefunguka kuwa mbali ya kuwa wachezaji wote wa Yanga walicheza vizuri …
MICHO: Jana wakati mchezo wa watani wa jadi Yanga dhidi ya Simba ulipokuwa ukiendelea, ulishuhudia watu wengi kutoka nchi tofauti wakihudhuria uwanjani kushuhudia mchezo huo wa historia. Miongoni mwa watu …
MCHEZAJI wa Simba Agustine Okrah ambaye ni raia wa Ghana, ametumia mtandao wake wa kijamii kufafanua suala la yeye kushindwa kutengeneza nafasi kwa wachezaji wenzake kwenye mechi ya watani wa …