Kocha Mkuu wa Simba Zoran Maki ameweka wazi kuwa anaamini kwamba watapata matokeo kwenye mchezo wao dhidi ya Yanga kutokana na maandalizi na hana hofu na mechi hiyo. Maki ambaye …
Makala nyingine
Kocha mkuu wa Yanga Nasreddine Nabi amesema kuwa kupoteza mchezo wa kimataifa dhidi ya Vipers SC ni njia kwake kuweza kushinda ngao ya jamii dhidi ya Simba. Agosti 6,2022 yanga …
Kocha mshahuri na aliyewai kuvifundisha vilabu vikubwa barani Afrika Pitso Mosimane leo ametoa shukrani zake kwa klabu ya Yanga kwa kumwalika kwenye siku ya wananchi. Pitso Mosimane ameshawai kufundisha timu …
Mchezaji wa kimataifa wa Uganda anayecheza kwenye klabu ya Yanga Khalid Aucho ameahidi kuwa kuelekea msimu ujao wanatarajia kufanya vizuri kwenye ligi na michuano ya kimataifa. Aucho kwenye msimu uliopita …
KIRAKA wa Yanga, Mkongomani, Yannick Bangala, baada ya kuongeza mkataba wa kuendelea kuitumikia timu hiyo, inaelezwa kwamba thamani ya mkataba huo ni shilingi milioni 400. Bangala aliyefanikiwa kutwaa Tuzo ya …
Kambi ya Yanga imezidi kuongezea morale baada ya wachezaji wake waliokuwa kwenye majukumu ya timu ya taifa ya Tanzania kujumiaka na kikosi cha kwanza kwenye viwanja vya Avic Town kigamboni …
KOCHA Mkuu wa Yanga, Nasredine Mohammed Nabi amelilalamikia Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) na Bodi ya Ligi kutokana na ratiba yao ya Ligi kuwabana wachezaji kiasi cha kukosa muda wa …
KUELEKEA siku ya kilele cha wiki ya Mwananchi, Uongozi wa Yanga umetembelea shule ya Sekondari ya wasichana Jangwani na kukabidhi zawadi mbalimbali. Hiyo ni moja kati ya ratiba zilizopo ikiwa …
Rais Hersi Said ameweka wazi kuwa mahitaji yao ni kuweza kuwa kwenye mwendelezo wa kuwa na rekodi bora kwa msimu wa 2022/23 kama walivyofanya msimu uliopita wa 2021/22. Msimu wa …
Mtangazaji wa kituo cha redio cha EFM Jemedari Said leo amemchambua aliyekuwa mkurugenzi wa klabu ya Yanga aliyemaliza muda wake raia wa Afrika kusini Senzo mbatha mazingiza kuwa ameshindwa kufanikiwa …
Mchezaji wa kimataifa kutoka nchini Congo Yannick Bangala leo ameongeza kandarasi yake ya kuitumikia klabu ya Yanga SC hadi mwaka 2024 na kukata mzizi wa fitina kuhusu hatma yake kwenye …
Mkurugenzi mwendeshaji wa klabu ya Yanga Senzo Mbatha Mazingiza leo ndio siku yake ya mwisho kuhusu kwa nafasi hiyo kwenye klabu ya Yanga na ameomba kutoongezewa muda wa kuendelea kkufanya …
OFISA habari wa Yanga, Hassan Bumbuli ameweka wazi kuwa wanajivunia ubora wa mastaa wapya waliosajiliwa ndani ya kikosi hicho kuelekea msimu ujao wa 2022/23 na kuweka wazi kuwa, hawana haja …
Wachezaji nyota wa klabu ya yanga Mayele na Aucho ambao walikuwa mapumzikoni wamerejea rasmi kwenye kikosi cha timu hiyo ambacho kimeweka kambi kigamboni Avic Town kwa ajiri ya maandalizi ya …
UWANJA wa Mkapa mchezo wa kuwania kufuzu CHAN, timu ya Taifa ya Tanzania,Taifa Stars imefanikiwa kuibuka na ushindi mbele ya Somalia. Ubao wa Uwanja wa Mkapa umesoma Somalia 0-1 Tanzania …
UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa hesabu kubwa ambayo watakwenda nayo msimu ujao ni kukusanya mataji yote matatu iliyotwaa kwa msimu wa 2021/22. Mataji hayo ni Ngao ya Jamii,Ligi Kuu …
Kamati ya maadili ya Shirikisho la Soka nchini (TFF) limemfungia Ofisa mhamasishaji wa Yanga, Haji Manara kwa miaka miwili pamoja na faini ya Milioni 20 kwa kosa la kumtishia na …
Usajiri unaoendelea ndani ya kikosi cha Azam FC unawapa jeuri wachezaji wa klabu hiyo kiasi cha kubeza usajili ambao unafanywa na klabu zingine hususan Simba na Yanga ambao wamekuwa wakisajili …
Mshambuliaji nyota wa klabu ya Yanga Fiston Mayele, je huu ndio msimu wake wa mwisho na mabingwa wa Tanzania bara wa NBC Premier League? Awali kulikuwa na taarifa kuwa mshambuliaji …
Klabu ya Yanga SC imempitisha Eng Hersi Said kuwa mgombea pekee wa nafasi ya urais ambaye amepita bila kupingwa kutokana na kutokuwepo mgombea mwengine ambaye aliomba kugombea kiti cha urais. …