Liverpool Yazidi Kuwa na Hali Mbaya EPL

Klabu ya Liverpool chini ya kocha mkuu Arne Slot imezidi kupata mwendelezo mbaya wa matokeo kwenye ligi kuu baada ya kupoteza mechi yake ya 4 mfululizo wikendi hii dhidi ya Brentford.

Liverpool Yazidi Kuwa na Hali Mbaya EPL

Liverpool kabla ya mchezo huo wa Jumamosi ambao ulipigwa huko Gtech Community walikuwa wamepata ushindi mnono kabisa kwenye ligi ya mabingwa ambao ulifanya watu wengi waamini kuwa Jogoo huyo wa Anfield amerejea kwenye kiwango chake, kabla ya dakika 90 kukamilika kwa kupoteza mechi.

Ni Brentford ndio ambao walianza kupachika mabao kupitia kwa mchezaji wao Outtara ambapo Kerkez alikuja kuifungia Liver goli la kwanza baada ya Schade kufunga bao la pili huku wakienda mapumziko wakiwa nyuma kwa bao 1.

Kocha mkuu wa Liverpool licha ya kufanya mabadiliko ya wachezaji lakini bado walishindwa kuondoka na ushindi ugenini na kufanya kuwa mechi ya nne mfululizo bila ya ushindi kwenye EPL na hivyo kushuka hadi nafasi ya 7 kwenye msimamo wa ligi, wakati Nyuki wao wakipanda nafasi ya 11.

Liverpool Yazidi Kuwa na Hali Mbaya EPL

Bingwa huyo mtetezi wa ligi yupo nyuma pointi 7 dhidi ya kinara wa ligi Arsenal ambao wameweka nadhiri ya kuchukua ligi msimu huu baada ya miaka mingi kabisa.

Baada ya kupoteza mechi hiyo, Liverpool atakuwa nyumbani siku ya Jumatano kucheza dhidi ya Crystal Palace, huku Brentford yeye atakuwa ugenini siku ya Jumanne kucheza dhidi ya Grimsby. Je nani kuibuka mshindi?. ODDS KUBWA na machaguo zaidi ya1000 yapo Meridianbet. Ingia na ubashiri hapa.

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.