Ligi kuu ya Hispania mechi ya kiporo kati ya FC Barcelona vs CA Osasuna itapigwa hii leo majira ya saa 5:00 usiku huku vijana hao wa Hans Flick wakiwa ndiyo …
Makala nyingine
Kocha wa klabu ya Real Madrid Carlo Ancelotti raia wa kimataifa wa Italia Carlo Ancelotti amesema hababaishwi na wanaosema hatoi nafasi kwa vijana wadogo kwenye kikosi hicho kwakua sio jambo …
Beki wa klabu ya Fc Barcelona raia wa kimataifa wa Uruguay Ronald Araujo inaelezwa amerejea mazoezini baada ya kusumbuliwa na majeraha ya muda mrefu yaliyomuweka nje kuanzia mwezi wa saba …
Beki wa kushoto wa klabu ya Barcelona Alejandro Balde amepata majeraha katika mchezo wa ligi kuu ya Hispania leo na kushindwa kuendelea na mchezo huo ambao Barcelona wamepokea kichapo. Beki …
Klabu ya Fc Barcelona leo imedondosha alama tatu tena leo wakiwa nyumbani katika mchezo wa ligi kuu nchini Hispania dhidi ya klabu ya Las Palmas kwa mabao mawili kwa moja. …
Rais wa klabu ya Real Madrid Florentino Perez ameongea kauli ambayo imeakisi kabisa kua kiungo wa klabu ya Manchester City Rodri hakustahili tuzo ya Ballon D’or mbele ya mchezaji Vinicius …
Bundi anaendelea kuzunguka kwenye viunga vya Santiago Bernabeu ndio kauli ambayo unaweza kuitumia kwani klabu ya Real Madrid imekua ikiandamwa na majeraha kwa wachezaji wake haswa wachezaji waandamizi klabuni. Leo …
Klabu ya Real Madrid baada ya kupoteza michezo miwili mfululizo leo wamefanikiwa kupata matokeo ya ushindi katika mchezo wa ligi kuu ya Hispania wakiwa nyumbani dhidi ya klabu ya Osasuna. …
Kocha wa klabu ya Real Madrid Carlo Ancelotti ameonesha bado ana matumaini kurejea kwenye ubora wao kwenye michuano ya ligi ya mabingwa barani ulaya pamoja na ligi kuu nchini Hispani …
Kocha wa klabu ya Barcelona Hansi Flick ameweka wazi beki wa klabu hiyo raia wa kimataifa wa Uruguay Ronald Araujo anaendelea vizuri kwasasa, Hivo anaweza kurejea siku za hivi karibuni …
Kiungo wa kimataifa wa Ufaransa ambaye anakipiga ndani ya klabu ya Real Madrid Aurelien Tchouameni inaelezwa klabu hiyo ipo tayari kupokea ofa kumhusu kiungo ambaye anaonekana kupelea ndani ya klabu …
Hatimaye ile tarehe 26 iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu ikafika bhana ambapo kulikuwa na mchezo mkali sana kule LALIGA ambao ulikuwa ni EL Clasico kati ya Real Madrid vs Barcelona Yamal …
Kiungo wa klabu ya Barcelona Gavi inaelezwa yupo mbioni kurejea uwanjani baada ya kukaa nje ya uwanja kwa takribani mwaka mzima kutokana na majeraha ya goti ambayo yalipelekea kufanyiwa upasuaji. …
Klabu ya Real Madrid inaelezwa kupanga kuingia sokoni Januari kufanya usajili wa beki wa kulia ambapo inaonekana kutakua kuna pengo la muda mrefu la beki Dani Carvajal ambaye ataukosa msimu …
Mchezaji wa Real Madrid Éder Militão hataichezea Brazil mwezi huu kama Vinicious baada yakupata jeraha ambapo taarifa hiyo imetoka hii leo. Baada ya kufanyiwa vipimo vipya, mchezaji huyo amegundulika na …
Kiungo wa klabu ya Real Madrid Eduardo Camavinga yuko mbioni kurejea kwenye kikosi hicho baada ya kukaa nje ya uwanja kwa takribani mwezi mmoja na nusu baada ya kuumia mazoezini. …
Klabu ya Barcelona inaendelea ilipoishia kwani leo tena imefanikiwa kushinda mchezo wake wa nne mfululizo kwenye ligi kuu ya Hispania msimu huu baada ya kuichabanga Girona mabao manne kwa moja. …

