Nyota wa zamani wa klabu ya PSG Kylian Mbappe amefanikiwa kutambulishwa ndani ya klabu ya Real Madrid baada ya kusubiriwa kwa muda mrefu hatimae leo jambo hilo limetimia. Kylian Mbappe …
Makala nyingine
Klabu ya Barcelona macho yao yote yapo kwa winga wa Athletic Club raia wa kimataifa wa Hispania Nico Williams kuelekea msimu ujao wa mwaka 2024/25. Barcelona inaelezwa usajili ambao wanautolea …
Mshambuliaji wa timu ya taifa ya Ufaransa Kylian Mbappe ambaye kwasasa ni mchezaji wa klabu ya Real Madrid Kylian Mbappe kutambulishwa Jumanne ya tarehe 16 mwezi pale Santiago Bernabeu. Mbappe …
Mshambuliaji wa klabu ya Atletico Madrid na timu ya taifa ya Hispania Alvaro Moratta ameweka wazi ataendelea kusalia ndani ya viunga vya Wanda Metropolitano. Mshambuliaji Moratta alikua anahusishwa na moja …
Nahodha wa kikosi cha timu ya taifa ya Hispania na mshambuliaji wa klabu ya Atletico Madrid Alvaro Moratta ameweka wazi juu ya mustakabali wake na kusema bado hajajua kama atabaki …
Klabu ya Real Madrid mabingwa wa ulaya imeingia vitani na klabu ya Manchester United katika kumuwania beki kijana mwenye kipaji kikubwa raia wa kimataifa wa Ufaransa Leny Yoro. Leny Yoro …
Beki wa klabu ya Manchester City anayekipiga ndani ya klabu ya Barcelona kwa mkopo Joao Cancelo ameweka wazi anapendelea kubaki ndani ya klabu ya Barcelona kwa muda mrefu zaidi. Cancelo …
Kinda wa klabu ya Barcelona na timu ya taifa ya Hispania Lamine Yamal amezungumza juu ya mchezaji ambaye anatamani kucheza nae akimtaja winga wa klabu ya Atletic Bilbao Nico Williams. …
Beki wa kulia wa klabu ya Bayern Leverkusen mabingwa wa ligi kuu ya Ujerumani Jeremie Frimpong amesema hajui kuhusu taarifa ambazo zinamuhusisha na kujiunga na miamba ya soka kutoka nchini …
Klabu ya Real Madrid imeweka wazi kua haina mpango wa kumtoa kwa mkopo kinda wake raia wa kimataifa wa Uturuki mwenye kipaji kikubwa Arda Guler licha ya maombi ya vilabu …
Aliyekua kiungo wa klabu ya Real Madrid Toni Kroos anatarajiwa kufanya kazi na timu ya vijana ya klabu hiyo (Akademi) punde tu baada ya kutangaza kustaafu soka mwishoni mwa mwezi …
Mshambuliaji wa klabu ya Real Madrid Rodrygo Goes ameweka wazi kua hana mpango wa kutimka ndani ya klabu hiyo licha ya kuhusishwa kuondoka ndani ya timu hiyo. Baada ya kushinda …
Staa wa kimataifa wa Ufaransa Kylian Mbappe ni rasmi sasa ataichezea klabu ya Real Madrid msimu ujao baada ya kuthibitika staa huyo atakua mchezaji wa mabingwa hao wa ulaya. Mbappe …
Kiungo mkubwa ndani ya kikosi cha Real Madrid Luca Modric raia wa kimataifa wa Croatia inaelezwa amefikia makubaliano ya kuendelea kuitumikia klabu hiyo kwa msimu mwingine wa 2024/25. Mwanzoni ilielezwa …
Kocha wa klabu ya Real Madrid Carlo Ancelotti ameweka wazi klabu ya Real Madrid haitasajili kupata mbadala wa kiungo wa kimataifa wa Ujerumani Toni Kroos ambaye anastaafu mwishoni mwa msimu …
Kocha wa klabu ya Barcelona Xavi Hernandez kwenye hali ya kushangaza amewashtua mashabiki wa klabu hiyo baada ya kutangazwa kua ataendelea kusalia ndani ya viunga vya klabu hiyo vya Camp …
Kwa mujibu wa gazeti la Mundo Deportivo, Xavi alibadili uamuzi wake na atasalia Barcelona msimu ujao, hivyo basi kuwaletea madhara Milan na Roberto De Zerbi. Kocha huyo alikuwa ametangaza mapema …