Kocha wa klabu ya Barcelona Xavi Hernandez ameweka wazi kua klabu hiyo haina mpango wa kusajili mchezaji yeyote katika dirisha dogo la mwezi Januari licha ya majeraha ambayo wamekua wakiyapata. …
Makala nyingine
Klabu ya Real Madrid hawana mpango wa kusajili mchezaji yeyote katika dirisha dogo la mwezi Januari, Hili limethibitishwa na kocha wa klabu hiyo Carlo Ancelotti leo akiongea na waandishi wa …
Winga wa klabu ya Real Madrid raia wa kimataifa wa Brazil Vinicius Jr na kiungo Arda Guler wametajwa kurejea katika kikosi hicho baada ya kua nje ya uwanja kwa majeraha. …
Kocha wa klabu ya Real Madrid raia wa kimataifa wa Italia Carlo Ancelotti ameweka wazi ataendelea kusalia ndani ya klabu hiyo hata baada ya kumaliza kufundisha soka ndani ya klabu …
Klabu ya Barcelona mabingwa watetezi wa ligi kuu nchini Hispania maarufu kama La Liga hawaeleweki chini ya kocha wao Xavi Hernandez. Hii imekuja kutokana na matokeo ya kusuasua wanayopata klabu …
Kocha wa klabu ya Atletico Madrid raia wa kimataifa wa Argentina Diego Simeone amesema anafurahia kuendelea kuitumikia klabu hiyo na kuendelea kuwepo klabuni hapo kwa muda mrefu zaidi. Simeone ameweka …
Mshambuliaji wa klabu ya Atletico Madrid ya nchini Hispania Antoinne Griezmann ameweka wazi kua barani ulaya anataka klabu hiyo ndio iwe klabu yake ya mwisho kucheza. Griezmann ameeleza kua anataka …
Kocha mkuu wa Real Madrid Carlo Ancelotti bado ana imani kuwa Jude Bellingham anaimarika kila siku kutokana na tatizo lake la bega lakini anahisi upasuaji hauwezi kuamuliwa iwapo suala hilo …
Kocha wa klabu ya Real Madrid Carlo Ancelotti ameweka wazi viungo wake wawili Aurelien Tchouameni na Arda Guler wako mbioni kurejea ndani ya klabu hiyo. Kocha Ancelotti amezungumza na wanahabari …
Kiungo wa kati wa Real Madrid na timu ya taifa ya Uingereza Jude Bellingham ametawazwa rasmi kuwa mshindi wa tuzo ya Golden Boy kwa 2023. Tuzo hiyo ya kila …
Leo pale nchini Hispania moto utawaka sana kwenye ligi kuu nchini humo klabu ya Barcelona watakua nyumbani kuwakaribisha klabu ya Atletico de Madrid. Barcelona mabingwa watetezi wa ligi hiyo ambao …
Kiungo wa klabu ya Real Madrid na timu ya taifa ya Hispania Brahim Diaz anatarajiwa kufanyiwa upasuaji wa bega kutoka na majeraha aliyoyapata siku kadhaa zilizopita. Kiungo huyo anaongeza orodha …
Klabu ya Barcelona wako kwenye mchakato wa kumuongezea mkataba beki wake raia wa kimataifa wa Uruguay Ronald Araujo akiwa amepewa kipaumbele kikubwa zaidi. Beki Ronald Araujo amekua moja ya wachezaji …
Kocha wa klabu ya Real Madrid Carlo Ancelotti amegoma kuzungumzia mustakabali wake juu ya kuendelea kusalia ndani ya klabu hiyo kuelekea msimu ujao. Mkataba wa kocha Carlo Ancelotti unamalizika mwishoni …
Kiungo na nahodha wa klabu ya Atletico Madrid Koke yuko njia panda ndani ya klabu hiyo kuelekea mwishoni mwa msimu huu ambao ndio utakua ukomo wa mkataba wake. Kiungo huyo …
Klabu ya Barcelona imeweka wazi haitaingia sokoni katika diriaha dogo la mwezi Januari kwajili ya kuzipa pengo la kiungo wake Gavi ambaye amepata majeraha ya muda mrefu. Rais wa klabu …
Mshambuliaji wa klabu ya Atletico Madrid na timu ya taifa ya Ufaransa Antoine Griezmann inaelezwa hana mpango wa kutimka ndani ya klabu hiyo baada ya kuhusishwa na kujiunga na Man …