Klabu ya Fc Barcelona leo imedondosha alama tatu tena leo wakiwa nyumbani katika mchezo wa ligi kuu nchini Hispania dhidi ya klabu ya Las Palmas kwa mabao mawili kwa moja. …
Makala nyingine
Rais wa klabu ya Real Madrid Florentino Perez ameongea kauli ambayo imeakisi kabisa kua kiungo wa klabu ya Manchester City Rodri hakustahili tuzo ya Ballon D’or mbele ya mchezaji Vinicius …
Bundi anaendelea kuzunguka kwenye viunga vya Santiago Bernabeu ndio kauli ambayo unaweza kuitumia kwani klabu ya Real Madrid imekua ikiandamwa na majeraha kwa wachezaji wake haswa wachezaji waandamizi klabuni. Leo …
Klabu ya Real Madrid baada ya kupoteza michezo miwili mfululizo leo wamefanikiwa kupata matokeo ya ushindi katika mchezo wa ligi kuu ya Hispania wakiwa nyumbani dhidi ya klabu ya Osasuna. …
Kocha wa klabu ya Real Madrid Carlo Ancelotti ameonesha bado ana matumaini kurejea kwenye ubora wao kwenye michuano ya ligi ya mabingwa barani ulaya pamoja na ligi kuu nchini Hispani …
Kocha wa klabu ya Barcelona Hansi Flick ameweka wazi beki wa klabu hiyo raia wa kimataifa wa Uruguay Ronald Araujo anaendelea vizuri kwasasa, Hivo anaweza kurejea siku za hivi karibuni …
Kiungo wa kimataifa wa Ufaransa ambaye anakipiga ndani ya klabu ya Real Madrid Aurelien Tchouameni inaelezwa klabu hiyo ipo tayari kupokea ofa kumhusu kiungo ambaye anaonekana kupelea ndani ya klabu …
Hatimaye ile tarehe 26 iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu ikafika bhana ambapo kulikuwa na mchezo mkali sana kule LALIGA ambao ulikuwa ni EL Clasico kati ya Real Madrid vs Barcelona Yamal …
Kiungo wa klabu ya Barcelona Gavi inaelezwa yupo mbioni kurejea uwanjani baada ya kukaa nje ya uwanja kwa takribani mwaka mzima kutokana na majeraha ya goti ambayo yalipelekea kufanyiwa upasuaji. …
Klabu ya Real Madrid inaelezwa kupanga kuingia sokoni Januari kufanya usajili wa beki wa kulia ambapo inaonekana kutakua kuna pengo la muda mrefu la beki Dani Carvajal ambaye ataukosa msimu …
Mchezaji wa Real Madrid Éder Militão hataichezea Brazil mwezi huu kama Vinicious baada yakupata jeraha ambapo taarifa hiyo imetoka hii leo. Baada ya kufanyiwa vipimo vipya, mchezaji huyo amegundulika na …
Kiungo wa klabu ya Real Madrid Eduardo Camavinga yuko mbioni kurejea kwenye kikosi hicho baada ya kukaa nje ya uwanja kwa takribani mwezi mmoja na nusu baada ya kuumia mazoezini. …
Klabu ya Barcelona inaendelea ilipoishia kwani leo tena imefanikiwa kushinda mchezo wake wa nne mfululizo kwenye ligi kuu ya Hispania msimu huu baada ya kuichabanga Girona mabao manne kwa moja. …
Kiungo wa klabu ya Real Madrid na timu ya taifa ya Morocco Brahim Diaz inaelezwa anaweza kukaa nje ya uwanja kwa takribani miezi miwili baada ya kupata majeraha ya misuli …
Mkurugenzi wa klabu ya Barcelona na nyota wa zamani wa klabu hiyo Deco amesema hawajamsajili winga wa klabu ya Atletico Bilabo kwakua wana wachezaji wengi wenye ubora katika klabu hiyo. …
Rais wa klabu ya Barcelona Joan Laporta amezungumza juu ya muenendo wa kocha mpya ndani ya klabu hiyo Hans Flick raia wa kimataifa wa Ujerumani ambaye anaonekana kuanza vizuri. Laporta …
Kocha wa klabu ya Real Madrid Carlo Ancelotti ameweka wazi hawana mpango wa kusajili mchezaji yeyote kwenye kikosi hicho kuelekea siku za mwisho za dirisha kufungwa. Ilifikiriwa kua klabu ya …