Ansu Fati Aumia Tena
Makala iliyopita
Ederson Kutimka Man City
Makala ijayo
PSG kwa Joao Neves ni Suala la Muda Tu
Mshambuliaji huyo amekua akisumbuliwa na majeraha mara kwa mara jambo ambalo limemfanya mpaka kutolewa kwa mkopo ndani ya klabu hiyo, Kwanin alikua ni mchezaji ambaye alitabiriwa makubwa ndani ya Barca mpaka kufikia kupewa jezi ya namba 10 ya Messi lakini majeraha yamekua adui mkubwa wa maendeleo yake ya mpira.