Makala nyingine
Makala mpya
Usyk Aweka Masharti Kuzichapa Tena Na FuryΒ
Pambano la tatu kati ya Oleksandr Usyk na Tyson Fury bado halijakatiwa tamaa, lakini sasa limewekewa masharti mazito. Baada ya kumpa Fury kipigo cha kwanza na cha pili mwaka 2024, …
Chivu: Arsenal ni Miongoni Mwa Timu 2 Bora Barani Ulaya, Lakini Inter Bado Hawajashindwa.
Kocha wa Inter, Cristian Chivu, amesema kuwa Arsenal na Bayern Munich kwa sasa ni timu mbili bora barani Ulaya, lakini amesisitiza kuwa Nerazzurri βhawajapoteza tayariβ dhidi ya The Gunners. Inter …
Djokovic Aianza Safari Ya Melbourne Kibabe
Novak Djokovic amefungua rasmi safari yake ya kutafuta taji la 11 la Australian Open na Grand Slam ya 25 kwa mtindo wa kuvutia jijini Melbourne. Mserbia huyo namba nne Duniani …
Ronaldo Aibuka Mshindi Kesi Dhidi Ya Juventus
Cristiano Ronaldo ameibuka mshindi katika kesi ya muda mrefu dhidi ya klabu yake ya zamani, Juventus, baada ya mahakama ya ajira ya Turin kuamua kuwa mreno huyo ana haki ya …
Allegri: “Lengo la Milan ni Kumaliza Ndani ya Nafasi 4 za Juu”
Max Allegri amesifu mchango wa Niclas Fullkrug kwa Milan, baada ya mshambuliaji huyo kuingia kutoka benchi na kufunga bao la ushindi dhidi ya Lecce, huku akiendelea kusisitiza kuwa lengo lao …
Infantino Atoa Onyo Kali Baada Ya Fainali Afcon
Rais wa FIFA, Gianni Infantino, amewapongeza Senegal kwa kutwaa ubingwa wa Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) baada ya ushindi wa 1-0 dhidi ya wenyeji Morocco, lakini pongezi hizo zimeambatana …
Senegal Hatarini Kupewa Adhabu Huku Uchunguzi Ukiendelea Kufuatia Maandamano Kwenye AFCON.
Senegal inakabiliwa na uwezekano wa kuwekewa adhabu na Shirikisho la Soka Afrika (CAF) baada ya timu yao kuzua utata kwa kuondoka uwanjani wakati wa fainali ya Kombe la Mataifa ya …
Simba SC Yampa Kwaheri Steven Mukwala
Simba SC imefikia maamuzi magumu lakini ya kimkakati kwa kumruhusu aliyekuwa mshambuliaji wake, Steven Desse Mukwala, kuondoka rasmi na kujiunga na Klabu ya Al Nasser inayoshiriki Ligi Kuu ya nchini …
Mane Akonga Nyoyo za Watu Wengi Jana Dhidi ya Morocco
Nahodha waΒ Senegal, Sadio Mane amesema kuwa aliamua kuwakataza wenzake kugomea mechi ya fainali ya AFCON 2025 dhidi ya Morocco jana kwa kuwa tukio hilo linaharibu taswira ya soka kwa …
Roma Wako Tayari Kumrudisha Kostas Tsimikas Liverpool.
Ripoti kutoka Italia zinadai kuwa Roma wako tayari kusitisha mkopo wa Kostas Tsimikas na wanatarajia kumbadilisha beki huyo anayemilikiwa na Liverpool kwa NiccolΓ² Fortini wa Fiorentina. Klabu hiyo tayari wamempa …


