LATEST NEWS
Rooney Kuifundisha MLS All-Star
Gwiji wa zamani wa klabu ya Manchester United Wayne Rooney anatarajwa kuifundisha timu ya mastaa wanaocheza ligi kuu nchini Marekani katika mchezo dhidi ya...
Tchouameni Hajakata Tamaa
Kiungo wa klabu ya Real Madrid na timu ya taifa ya Ufaransa Aurelien Tchouameni amekua akipitia kipindi kigumu kwenye klabu ya Real Madrid lakini...
ENGLISH PREMIER LEAGUE
Hodgson Arejea Crystal Palace Kwa Mara Nyingine kama Kocha Mkuu
Roy Hodgson ametoka kustaafu na kujaribu kuiokoa Crystal Palace dhidi ya kushuka daraja ambapo ametangazwa...
Ratcliffe Hatalipa ‘Bei za Ajabu’ kwa Man Utd kwani Tarehe ya Mwisho Inakaribia
Bilionea wa Uingereza Jim Ratcliffe anasisitiza kuwa hatalipa "bei za kijinga" kwa Manchester United huku...
Potter Bado Ana Muda wa Kumfanya Kante Awe Fiti
Graham Potter anafurahia kufanya kazi na N'Golo Kante wakati wa mapumziko ya kimataifa huku nyota...
SPORT NEWS
ALL NEWS
Tchouameni Hajakata Tamaa
Kiungo wa klabu ya Real Madrid na timu ya taifa ya Ufaransa Aurelien Tchouameni amekua akipitia kipindi kigumu kwenye klabu ya Real Madrid lakini...
Alonso Kwenye Rada za Real Madrid
Kocha wa klabu ya Bayern Leverkusen Xabi Alonso ameingia kwenye rada za klabu ya Real Madrid na kutajwa kama mrithi wa kocha wasasa wa...
Sampaoli Akalia Kuti Kavu Sevilla
Aliyekua kocha wa klabu ya Sevilla George Sampaoli ametimuliwa ndani ya klabu hiyo baada ya mabosi wa klabu hiyo kutoridhishwa na mwenendo wa kocha...
Mbappe Nahodha Mpya wa Ufaransa
Kylian Mbappe atakuwa nahodha mpya wa Ufaransa baada ya kupata bao kutoka kwa Didier Deschamps.
Mshambuliaji huyo wa Paris Saint-Germain alikuwa mgombea bora kuchukua nafasi...
Sevilla Yamtimua Sampaoli Baada ya Kuhudumu kwa Miezi 5 Pekee
Jorge Sampaoli ametimuliwa Sevilla baada ya mwenendo mbaya wa kiwango chake na kuwaacha pointi mbili tu juu ya eneo la kushushwa daraja kwenye LaLiga.
Kichapo...
SERIE A
Pengo la Inter kwa Napoli Linafedhehesha
Naibu mhariri wa La Gazzetta dello Sport Andrea Di Caro alikuwa na maneno makali kwa Simone Inzaghi na Inter baada ya kushindwa kwao Derby...
Inzaghi Akasirika Baada ya VAR Kuamua Ushindi Wenye Utata
Kocha mkuu wa Inter Simone Inzaghi anahisi kuwa timu yake walionyesha "kutokuwa na heshima" baada ya ukaguzi wa VAR kuamua kuruhusu ushindi wa utata...
MAKALA MPYA
Rooney Kuifundisha MLS All-Star
Gwiji wa zamani wa klabu ya Manchester United Wayne Rooney anatarajwa kuifundisha timu ya mastaa wanaocheza ligi kuu nchini Marekani katika mchezo dhidi ya klabu ya Arsenal unaotarajiwa kupigwa mwezi Julai.
Wayne Rooney amekua akifundisha klabu ya DC United ya...
Tchouameni Hajakata Tamaa
Kiungo wa klabu ya Real Madrid na timu ya taifa ya Ufaransa Aurelien Tchouameni amekua akipitia kipindi kigumu kwenye klabu ya Real Madrid lakini inaelezwa hajakata tamaa na ataendelea kupambana zaidi.
Tchouameni anaonekana kupoteza nafasi ndani ya kikosi cha Real...
Alonso Kwenye Rada za Real Madrid
Kocha wa klabu ya Bayern Leverkusen Xabi Alonso ameingia kwenye rada za klabu ya Real Madrid na kutajwa kama mrithi wa kocha wasasa wa klabu hiyo kocha Carlo Ancelotti ambaye anatajwa kuondolewa klabuni hapo.
Xabi Alonso amekua kwenye kiwango kizuri...
Sampaoli Akalia Kuti Kavu Sevilla
Aliyekua kocha wa klabu ya Sevilla George Sampaoli ametimuliwa ndani ya klabu hiyo baada ya mabosi wa klabu hiyo kutoridhishwa na mwenendo wa kocha huyo ndani ya timu hiyo.
Kocha huyo Sampaoli amekua kwenye wakati mgumu ndani ya timu hiyo...
Mbappe Nahodha Mpya wa Ufaransa
Kylian Mbappe atakuwa nahodha mpya wa Ufaransa baada ya kupata bao kutoka kwa Didier Deschamps.
Mshambuliaji huyo wa Paris Saint-Germain alikuwa mgombea bora kuchukua nafasi ya Hugo Lloris, ambaye alistaafu baada ya Kombe la Dunia. Mbappe inasemekana aliambiwa kuhusu kuteuliwa...
Sevilla Yamtimua Sampaoli Baada ya Kuhudumu kwa Miezi 5 Pekee
Jorge Sampaoli ametimuliwa Sevilla baada ya mwenendo mbaya wa kiwango chake na kuwaacha pointi mbili tu juu ya eneo la kushushwa daraja kwenye LaLiga.
Kichapo cha mabao 2-0 kutoka kwa wenzao Getafe wanaojitafuta siku ya Jumapili kilithibitisha matokeo ya mwisho...
United Wanamtazama Mitoma kwa Ajili ya Kujenga Upya Timu Majira ya Joto
Manchester United imetuma maskauti kumtazama Kaoru Mitoma wakati wakijiandaa kwaajili ya mapumziko chini ya Erik ten Hag.
Mitoma mwenye miaka 25, alicheza mechi yake ya kwanza kabisa akiwa na Brighton mwezi Agosti lakini anashamiri chini ya Roberto De Zerbi katika...
Haaland Ajiondoa Kwenye Kikosi cha Norway Baada ya Kupata Jeraha
Erling Haaland atarejea Manchester City kwa uchunguzi wa kufuatia jeraha la paja baada ya kujiondoa kwenye kikosi cha Norway kwa mechi zao mbili za kwanza za kufuzu Euro 2024.
Mshambuliaji huyo nyota alifunga hat-trick City ilipoichapa Burnley 6-0 katika robo-fainali...
Mshambuliaji wa Zamani wa Arsenal na City Adebayor Atundika Daluga
Mshambuliaji wa zamani wa Arsenal na Manchester City Emmanuel Adebayor ametangaza kustaafu akiwa na umri wa miaka 39.
Nyota huyo wa zamani wa kimataifa wa Togo pia aliwahi kucheza na Real Madrid, Tottenham na Crystal Palace wakati wa taaluma yake...
Hodgson Arejea Crystal Palace Kwa Mara Nyingine kama Kocha Mkuu
Roy Hodgson ametoka kustaafu na kujaribu kuiokoa Crystal Palace dhidi ya kushuka daraja ambapo ametangazwa hii leo kuwa kocha wa klabu hiyo tena mpaka mwisho wa msimu.
The Eagles wako kwenye nafasi isiyoshwaishi kwenye msimamo wa Ligi Kuu wakiwa wamevuna...