Makala nyingine
Makala mpya
Enzo Fernandez Aipeleka Chelsea Fainali ya FA Cup Baada ya Kuifunga Leeds
Kiungo wa Enzo Fernandez amefunga bao pekee kwa kichwa lililoipa Chelsea ushindi wa 1-0 dhidi ya Leeds United na kufuzu fainali ya FA Cup kwenye Uwanja wa Wembley Stadium. Huu …
Inter Milan Yapoteza Pointi Dhidi ya Torino, Dimarco Aandika Historia Serie A
Vinara wa Ligi Kuu Italia, Inter Milan, walishindwa kulinda uongozi wa mabao mawili na kulazimishwa sare ya 2-2 dhidi ya Torino, matokeo yaliyowaweka karibu zaidi na ubingwa wa Serie A …
AC Milan na Juventus Wagawana Pointi Baada ya Sare Tasa San Siro
AC Milan na Juventus waligawana pointi kufuatia sare ya bila kufungana katika mchezo wa Ligi Kuu Italia (Serie A) uliopigwa kwenye dimba la San Siro. Hii ilikuwa ni sare ya …
John Stones Akaribia Kuondoka Manchester City, Aatajwa Kurejea Everton
Beki wa John Stones anakabiliwa na uamuzi mgumu kuhusu mustakabali wake, akitafakari uwezekano wa kurejea katika klabu yake ya zamani Everton au kujiunga na moja ya vilabu vikubwa barani Ulaya …
Arsenal Wanatazamia Dili la €60m Kumsajili Karim Adeyemi Anayehusishwa na Man United Pia
Arsenal wanatafakari chaguo zao za ushambuliaji kuelekea dirisha la usajili la majira ya joto. Mabingwa hao wa EPL wanaendelea kumfuatilia mshambuliaji wa Borussia Dortmund. Arsenal wanazingatia kufanya jaribio la kumsajili …
Xavi Simons Aumia Vibaya, Huenda Kulikosa Kombe la Dunia 2026
Kiungo wa Xavi Simons wa klabu ya Tottenham Hotspur amethibitisha kuwa ataukosa msimu uliosalia pamoja na FIFA World Cup 2026 baada ya kupata jeraha kubwa la goti (ACL). Simons alipata …
Kariakoo Dabi Yahamishiwa Uwanja wa Mej. Jenerali Isamuhyo
Bodi ya Ligi Kuu Tanzania TPLB imetangaza rasmi mabadiliko ya uwanja wa mchezo namba 169 wa Ligi Kuu ya NBC msimu wa 2025/2026, utakaozikutanisha klabu kongwe za Simba SC na …
Manchester City Yaongeza Nguvu Kumsajili Anderson wa Nottingaham Forest
Mabingwa wa Ligi Kuu ya England Manchester City wanaripotiwa kuwa mbele katika mbio za kuwania saini ya kiungo wa Nottingham Forest, Elliot Anderson, huku wakizishinda klabu pinzani kama Manchester United …
Trafford Akiri Kuwa na Wakati Mgumu Ndani ya Manchester City
Kipa wa Manchester City, James Trafford, amesema kurejea kwake klabuni hapo msimu huu kumekuwa na changamoto baada ya kupata muda mchache wa kucheza kutokana na ushindani mkubwa wa nafasi ya …
Felipe Luis Ahusishwa na Nafasi ya Ukocha Chelsea Baada ya Kufukuzwa Flamengo
Aliyekuwa kocha wa CR Flamengo, Felipe Luis, anaripotiwa kuwa miongoni mwa makocha wanaowania kuchukua nafasi ya ukocha katika Chelsea FC kufuatia kufutwa kazi kwake mapema mwezi Machi. Luis mwenye umri …


