Makala nyingine
Makala mpya
Chelsea Wanataka Kumsajili Douglas Luiz Kwa Mkopo Kutoka Nottingham Forest
Chelsea wanazingatia kumsajili Douglas Luiz, ambaye yupo kwa mkopo Nottingham Forest akitokea Juventus, ili kuongeza chaguo lao la viungo wa kati. Mchezaji huyo wa kimataifa wa Brazil yupo Forest kwa …
Yanga Ugenini Leo Dhidi ya Al Ahly Ligi ya Mabingwa
Ligi ya mabingwa barani Afrika (CAF) hatua ya makundi inatarajiwa kuendelea leo ambapo Al Ahly atamkaribisha Yanga katika dimba la Borg El Arab majira ya saa 1:00 usiku. Yanga na …
Namungo FC Kumkaribisha Coastal Union Leo
Mtanange mwingine ni huu wa Namungo FC dhidi ya Coastal Union ya kule Tanga, mchezo ambao utapigwa karika dimba la Majaliwa majira ya saa 1:00 usiku. Coastal Union hadi sasa …
TRA United Kukipiga Dhidi ya KMC
Ligi kuu ya NBC Tanzania, inatarajiwa kuendelea siku ya leo kwa michezo miwili ambapo mchezo wa kwanza ni huu wa TRA United vs KMC ambao msimu huu umekuwa mbovu kwao. …
Ligi Kuu ya NBC Tanzania Yapanda Chati za Dunia
Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara, imeendelea kuthibitisha hadhi yake barani Afrika baada ya kutajwa rasmi miongoni mwa Ligi 10 Bora kwa mujibu wa Shirikisho la Kimataifa la Historia na …
Azam Wanamtaka Mmoja Kutoka Singida
Mabosi wa Azam wanaangalia uwezekano wa kumsajili kiungo mshambuliaji wa Singida Black Stars raia wa Ivory Coast, Idriss Diomande, baada ya nyota huyo aliyehusishwa pia kuhitajika na Simba katika dirisha …
Chama Ana Imani Kubwa Na Simba Yake
Ikiwa ni masaa machache yamepita tangu urejeo wa kipenzi cha wanasimba, Clatous Chama, mwenyewe ameibuka na kauli nzito na yenye kutia Imani kwa mashabiki alipozungumza mara ya kwanza baada ya …
Alisha Lehmann Kurudi WSL, Aonekana Mazoezini Leicester City
Nyota wa kimataifa wa Uswisi, Alisha Lehmann, yuko mbioni kurejea rasmi kwenye Ligi Kuu ya Wanawake England (WSL) baada ya kuonekana akifanya mazoezi na Leicester City siku ya Jumatano. Mshambuliaji …
Guiffredi Amuwashia Moto Vikali Antonio Conte
Wakala wa wachezaji, Mario Guiffredi, amemshambulia vikali kocha Antonio Conte akimtuhumu kukosa ujasiri wa kutumia vipaji vijana na kuwafanya kuwa kama mateka ndani ya kikosi. Kauli hiyo kali imekuja baada …
Simba Yamnasa Loemba kwa Mkataba wa Miaka Miwili
Klabu ya Simba SC imeendelea kuimarisha kikosi chake kuelekea nusu ya pili ya msimu baada ya kufikia makubaliano ya kumsajili kiungo mshambuliaji Iñno Jospin Loemba kutoka Colombe Sportive du Dja …


