Makala nyingine
Makala mpya
Atletico Madrid Wanamvizia Lee Kang-in wa Bayern
Idara ya michezo ya Atlético Madrid tayari imeanza kazi ya kutambua wachezaji wanaoweza kusajiliwa katika dirisha la usajili la majira ya kiangazi. Kuna mipango ya kuboresha maeneo kadhaa ndani ya …
Ibenge: Malengo yetu Yakuwania Ubingwa wa NBC Bado yapo Hai
Kocha Mkuu wa Azam FC, Florent Ibengé, amesema kuwa sare mbili mfululizo ambazo timu yake imezipata katika michezo ya ugenini hazijapunguza dhamira ya klabu hiyo kuendelea kupigania ubingwa wa Tanzania …
Kadi za Njano Sita Zamponza Guardiola
Kocha wa Manchester City, Pep Guardiola, amefungiwa mechi mbili na Chama cha Soka cha England FA baada ya kupokea kadi yake ya sita ya njano msimu huu wakati wa ushindi …
Trabzonspor Kumsajili Onana Huku United Wakitaka £43M Dirisha Kubwa la Usajili
André Onana alihamia kwa mkopo katika klabu ya Trabzonspor mwaka jana, lakini anatarajiwa kurejea katika klabu ya Manchester United mwishoni mwa msimu. Onana amekuwa akicheza mara kwa mara kwa Trabzonspor …
Aliyekuwa Kocha wa Taifa ya Kenya, Engin Firat, Afariki Dunia
Aliyekuwa Kocha Mkuu wa timu ya taifa ya Kenya Engin Firat, amefariki dunia baada ya kuripotiwa kupata mshtuko wa moyo katika uwanja wa Istanbul nchini Uturuki alipokuwa akisafiri kutoka Beirut …
Spurs Kumteau Kocha Mpya Baada ya Mwanzo Mbaya wa Tudor
Igor Tudor ameisimamia Tottenham Hot Spurs katika vipigo vitatu mfululizo tangu alipomrithi Thomas Frank kama kocha wa timu hiyo mwezi uliopita. Kocha huyo wa Croatia tayari anakabiliwa na presha kubwa ndani …
Joan Laporta Alikataa Lionel Messi Kurudi FC Barcelona
Aliyekuwa Kocha Mkuu wa FC Barcelona, Xavi Hernández, amefichua kuwa kulikuwa na mpango uliokaribia kukamilika wa kumrejesha nyota wa soka Lionel Messi katika klabu hiyo mara baada ya kumalizika kwa …
Luka Modrić Aendelea Kutoa Burudani ya Soka
Sahau kwanza juu ya ushindi wa AC Milan wa bao 1 -0 dhidi ya Inter Milan je, ulimuona yule babu pale katikati ya uwanja? Mtakatifu Luka kwenye kiwango bora dhidi …
Liverpool Wanajiandaa Kutoa Dau £70M Kwaajili ya Nyota wa Nottingham Murillo Santiago.
Liverpool wanatafakari kufanya uhamisho mkubwa wa pesa kwa beki wa kati wa Nottingham Forest Murillo Santiago Costa dos Santos, lakini wanakabiliwa na ushindani kutoka Chelsea. Murillo wa Nottingham Forest anavutiwa …
Simba Yaifuata Singida BS kwa ajili ya Mchezo wa Ligi ya NBC
Kikosi cha Simba sc kimesafari kuelekea Singida kwa ajili ya maandalizi ya mchezo wa ligi kuu ya NBC dhidi ya Singida Black Stars utakaochezwa Machi 11, 2026 katika uwanja wa …


