Makala nyingine
Makala mpya
Barcelona Yakaribia Kumsainisha Mkataba Mpya Hansi Flick
Utawala wa kocha Hansi Flick ndani ya klabu ya FC Barcelona unatarajiwa kuendelea baada ya pande zote mbili kufikia makubaliano ya mdomo ya kuongeza mkataba wa mwaka mmoja zaidi, hatua …
Real Madrid Yaanza Mikakati Yakumpata Kocha Mpya Baada ya Kutolewa UCL
Klabu ya Real Madrid imeanza mchakato wa kusaka kocha mpya baada ya kutolewa katika michuano ya UEFA Champions League kufuatia kipigo cha mabao 4-3 (jumla 6-4) dhidi ya Bayern Munich …
Ibenge Asema Maandalizi Yamekamilika Kabla ya Mtanange wa JKT Tanzania
Kocha wa Azam FC, Florent Ibenge, amesema maandalizi ya timu yake kuelekea mchezo wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya JKT Tanzania yameenda vizuri, huku akisisitiza kuwa wanatarajia upinzani mkali …
Arteta Aweka Historia, Arsenal Yatinga Nusu Fainali UCL Misimu Miwili Mfululizo
Kocha wa Arsenal FC, Mikel Arteta, ameweka rekodi ya kihistoria baada ya kuwa kocha wa kwanza katika klabu hiyo kuifikisha timu hiyo hatua ya nusu fainali ya UEFA Champions League …
Kompany Asema Bayern Ilistahili Ushindi Baada ya Kupambana Kiakili na Real madrid
Kocha wa Bayern Munich, Vincent Kompany, amewapongeza wachezaji wake kufuatia ushindi wa kusisimua dhidi ya Real Madrid katika mchezo wa mkondo wa pili wa robo fainali ya UEFA Champions League …
Inter Milan Yapanga Kumrudisha Diego Simeone San Siro Kuwa Kocha
Mabingwa wa Italia, Inter Milan, wanaripotiwa kuanza mchakato wa kumtaka kocha wa Atletico Madrid, Diego Simeone, kuwa meneja wao mpya katika msimu ujao wa mashindano ya soka Ulaya. Kwa mujibu …
Kane Ampongeza Diaz Baada ya Bayern Kuiondoa Real Madrid Kwenye UCL
Mshambuliaji wa Bayern Harry Kane amempongeza Luis Diaz baada ya mchango wake mkubwa uliosaidia klabu hiyo kuiondoa Real Madrid na kutinga hatua ya nusu fainali ya UEFA Champions League. Bayern …
Rice: Kufika Nusu Fainali Mara Mbili Mfululizo ni Mafanikio Makubwa
Kiungo wa Arsenal FC, Declan Rice, amewajibu wakosoaji baada ya timu yake kufanikiwa kutinga hatua ya nusu fainali ya UEFA Champions League, akieleza kuwa ni “mafanikio makubwa” licha ya sare …
Juventus Yakaribia Makubaliano ya Kuongeza Mkataba wa Manuel Locatelli Hadi Mwaka 2030
Juventus wanatarajiwa kuhakikisha mustakabali wa muda mrefu wa kiungo Manuel Locatelli, baada ya kufikia makubaliano ya kuongeza mkataba wake hadi mwaka 2030. Mkataba wake wa sasa, ambao ulitarajiwa kuisha mwaka …
Majeruhi ya Ekitike Yalazimisha Liverpool Kubadili Mkakati wa Usajili
Klabu ya Liverpool FC inalazimika kufanya mabadiliko ya haraka kwenye mipango yake ya usajili wa majira ya joto kufuatia taarifa za majeruhi makubwa ya mshambuliaji Hugo Ekitike. Nyota huyo wa …


