Makala nyingine
Makala mpya
Ruben Loftus-Cheek Alazwa Hospitali Baada ya Kuvunjika Taya
Ruben Loftus-Cheek alilazimika kutolewa uwanjani kwa machela baada ya kupata pigo usoni wakati wa kipigo cha AC Milan dhidi ya Parma jana. Kiungo huyo wa kimataifa wa Uingereza anatarajiwa kufanyiwa …
Kenan Yıldız Hatarini Kukosa Mechi Muhimu ya Maamuzi Dhidi ya Galatasaray
Juventus wamejikuta katikati ya kipindi kibaya cha matokeo, na sasa Luciano Spalletti huenda akalazimika kucheza bila mshambuliaji wake nyota, Kenan Yıldız, katika mechi ya maamuzi ya mchujo wa UEFA Champions …
Tottenham Hotspur na Newcastle United Wanamuwania Darwin Núñez
Vilabu vya EPL, Tottenham Hotspur na Newcastle United, vinatafakari kufanya uhamisho wa majira ya joto kwa mshambuliaji wa zamani wa Liverpool, Darwin Núñez, kwa mujibu wa TEAMtalk. Núñez aliondoka Liverpool …
Crystal Palace Wanamuwania Gareth Southgate Kuwa Kocha wa Muda
Crystal Palace wanajaribu kumshawishi Gareth Southgate achukue nafasi ya kocha wa muda hadi mwisho wa msimu huku hatma ya Oliver Glasner ikiwa mashakani, kwa mujibu wa Football Insider. Glasner ataondoka …
Roma Wanashindana na Juventus Kumpata Beki wa Bournemouth, Federico Senesi.
Corriere dello Sport inaripoti kuwa Roma wako tayari kushindana na Juventus ili kumsajili beki wa AFC Bournemouth, Marcos Senesi, kama mchezaji huru mwezi Juni. Beki huyo wa Bournemouth amevutia vilabu …
Lautaro Huenda Akakosa Dabi ya Milan Baada ya Inter Kuthibitisha Ukubwa wa Jeraha Lake.
Lautaro Martínez amepata majeraha ya kuvuta msuli (muscle strain) katika misuli ya soleus ya mguu wake wa kushoto. Jeraha hilo linatarajiwa kumuweka nje ya uwanja kwa takribani mwezi mmoja na …
Como Itawakosa Wachezaji 3 Muhimu Katika Safari Yao ya Ugenini Dhidi ya Juventus.
Como wamethibitisha kikosi chao kwa ajili ya mechi ya Serie A ya Jumamosi dhidi ya Juventus, huku kocha Cesc Fàbregas akitarajiwa kuwakosa wachezaji watatu muhimu katika safari hiyo ya kwenda …
Rosenior Asimama na Vinicius Junior Kufuatia Tuhuma za Ubaguzi
Kocha mkuu wa Chelsea FC, Liam Rosenior, ameibuka hadharani kumtetea winga wa Real Madrid, Vinicius Jr, kufuatia madai ya kufanyiwa ubaguzi wa rangi katika mchezo wa mchujo wa UEFA Champions …
Courtois Awekeza Hisa Kwenye Klabu Ya Le Mans FC
Kipa wa Real Madrid, Thibaut Courtois, ametangazwa rasmi kuwa mmoja wa wanahisa wapya wa klabu ya Le Mans inayoshiriki Ligue 2 nchini Ufaransa. Taarifa hiyo imetolewa na klabu hiyo Alhamisi, …
Coutinho Aachana na CR Vasco da Gama Baada ya Miezi 6
Kiungo mshambuliaji Philippe Coutinho ameondoka rasmi katika klabu yake ya utotoni, Vasco da Gama, miezi sita tu baada ya kusaini mkataba wa kudumu kufuatia kipindi cha mkopo. Uamuzi huo unakuja …


