Makala mpya
Ligi Kuu ya NBC Tanzania Yapanda Chati za Dunia
Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara, imeendelea kuthibitisha hadhi yake barani Afrika baada ya kutajwa rasmi miongoni mwa Ligi 10 Bora kwa mujibu wa Shirikisho la Kimataifa la Historia na …
Azam Wanamtaka Mmoja Kutoka Singida
Mabosi wa Azam wanaangalia uwezekano wa kumsajili kiungo mshambuliaji wa Singida Black Stars raia wa Ivory Coast, Idriss Diomande, baada ya nyota huyo aliyehusishwa pia kuhitajika na Simba katika dirisha …
Chama Ana Imani Kubwa Na Simba Yake
Ikiwa ni masaa machache yamepita tangu urejeo wa kipenzi cha wanasimba, Clatous Chama, mwenyewe ameibuka na kauli nzito na yenye kutia Imani kwa mashabiki alipozungumza mara ya kwanza baada ya …
Alisha Lehmann Kurudi WSL, Aonekana Mazoezini Leicester City
Nyota wa kimataifa wa Uswisi, Alisha Lehmann, yuko mbioni kurejea rasmi kwenye Ligi Kuu ya Wanawake England (WSL) baada ya kuonekana akifanya mazoezi na Leicester City siku ya Jumatano. Mshambuliaji …
Guiffredi Amuwashia Moto Vikali Antonio Conte
Wakala wa wachezaji, Mario Guiffredi, amemshambulia vikali kocha Antonio Conte akimtuhumu kukosa ujasiri wa kutumia vipaji vijana na kuwafanya kuwa kama mateka ndani ya kikosi. Kauli hiyo kali imekuja baada …
Simba Yamnasa Loemba kwa Mkataba wa Miaka Miwili
Klabu ya Simba SC imeendelea kuimarisha kikosi chake kuelekea nusu ya pili ya msimu baada ya kufikia makubaliano ya kumsajili kiungo mshambuliaji IΓ±no Jospin Loemba kutoka Colombe Sportive du Dja …
Nwaneri Afichua Siri ya Kuchagua Marseille, Saliba Ahusika
Mchezaji chipukizi wa Arsenal, Ethan Nwaneri, amefichua jina la mchezaji aliyemshawishi kujiunga na Marseille kwa mkopo hadi mwisho wa msimu. Kiungo huyo kijana amewasili kusini mwa Ufaransa kukamilisha dili hilo …
Lewandowski Aingia Klabu Maalum Mabingwa wa Mabao Ulaya
Robert Lewandowski ameandika historia mpya barani Ulaya baada ya kujiunga na klabu adimu ya washambuliaji waliovuka mabao 20 ya Ligi ya Mabingwa Ulaya wakiwa na zaidi ya klabu moja. Mshambuliaji …
UEFA Yatoa Burudani Kubwa Vigogo Wakichapana
Mashindano ya UEFA jana usiku yalileta burudani ya kiwango cha juu, yakishuhudia mabao, ushindani mkali na matokeo yaliyoacha gumzo barani Ulaya. Kuanzia mapambano ya vigogo wa soka hadi ushindi wa …
Iraola Atazamiwa Kuvaa Viatu vya Oliver Glasner Crystal Palace
Baada ya Oliver Glasner kuthibitisha kuaga mwishoni mwa msimu, rada za Crystal Palace zinaonyesha jina moja la Andoni Iraola wa Bournemouth. Taarifa kutoka vyanzo vya karibu zinaeleza kuwa Palace wamepiga …


