Makala nyingine
Makala mpya
TFF Yachukua Hatua Kali Dhidi ya Utovu wa Nidhamu NBC Premier League
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania TFF limetangaza adhabu mbalimbali kwa klabu na wachezaji wa NBC Premier League kutokana na matukio ya utovu wa nidhamu yaliyotokea katika michezo tofauti msimu …
Simba SC na TRA United Zaadhibiwa kwa Vurugu za Uwanjani Arusha
Klabu ya Simba SC pamoja na TRA United zote mbili zimepigwa faini ya Shilingi milioni 5 kila moja kutokana na tukio la vurugu lililohusisha walinzi wa klabu hizo (stewards) baada …
Rosenior Aendelea Kuaminiwa na Chelsea Licha ya Kipigo Mfululizo
Kocha wa Chelsea, Liam Rosenior, amesema bado anaungwa mkono kwa asilimia 100 na wamiliki wa klabu hiyo licha ya mwenendo mbaya wa matokeo katika Premier League. Chelsea wamepoteza mechi nne …
Arbeloa Amtetea Kylian Mbappe Baada ya Lawama za UCL
Kocha wa Real Madrid, Alvaro Arbeloa, amejitokeza hadharani kumtetea mshambuliaji nyota Kylian Mbappe kufuatia lawama zilizomkumba baada ya kichapo cha UEFA Champions League dhidi ya Bayern Munich. Real Madrid waliondoshwa …
Ryan Giggs Anaunga Mkono Man United Kumrudisha Højlund Ili Apambane na Benjamin Sesko.
Ryan Giggs ambaye ni nguli wa Manchester United anaunga mkono klabu hiyo kumrudisha Højlund ili aweze “kupambania nafasi” kikosini pamoja na Benjamin Sesko. United wameendelea kuimarika chini ya Michael Carrick, …
Bao la Toney Laitoa Kobe, Al Ahli Yatinga Fainali ya AFC Champions League
Klabu ya Al Ahli imefanikiwa kutinga fainali ya AFC Champions League Elite baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Vissel Kobe katika mchezo wa nusu fainali uliochezwa …
Wolves Washuka Rasmi Daraja Baada ya Matokeo ya West Ham
Klabu ya Wolve imethibitishwa rasmi kushuka daraja kutoka Premier League baada ya matokeo ya sare ya bila kufungana kati ya West Ham United na Crystal Palace. Matokeo hayo yameiacha Wolves …
Manchester United wanamfikiria kumsajili Aurelien Tchouameni
Manchester United wanatarajiwa kuweka kipaumbele kwenye safu ya kiungo msimu huu wa joto, huku Aurélien Tchouameni akitajwa kama moja ya malengo ya klabu hiyo ya EPL. Tchouaméni huenda akaondoka Real …
Sare ya Bila Kufungana Yaiweka West Ham United Mbele ya Tottenham Hotspur
Klabu ya West Ham United imeendelea kujiongezea matumaini ya kubaki ndani ya Premier League baada ya kulazimisha sare ya bila kufungana dhidi ya Crystal Palace katika dabi ya London iliyopigwa …
Arsenal na Chelsea Wanamfuatilia Nyota wa Tottenham Lucas Bergvall
Kiungo wa Tottenham Hotspur, Lucas Bergvall, anahusishwa na uwezekano wa kuhamia majira ya joto kwenda kwa wapinzani wao Arsenal na Chelsea, kwa mujibu wa CaughtOffside. Spurs wanaona kuwa mchezaji huyo …


