Makala mpya
Nicolas Jackson Kurejea Chelsea FC, Bayern Munich Wamkataa
Mshambuliaji wa kimataifa wa Senegal, Nicolas Jackson, anatarajiwa kurejea Chelsea majira ya kiangazi baada ya Bayern Munich kuamua kutotumia kipengele cha kumnunua moja kwa moja kilichopo kwenye mkataba wake wa …
Mourinho Afunguka Tetesi za Kurejea Real Madrid
Kocha wa SL Benfica, Jose Mourinho, anajiandaa kwa mchezo mkubwa wa mchujo wa Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Real Madrid, katika mechi inayobeba hisia kali kwake binafsi. Huku jina …
Saha Amuonya Bruno Fernandes Mustakabali Wake Man United
Mshambuliaji wa zamani wa Manchester United, Louis Saha, ametoa onyo kali kwa nahodha Bruno Fernandes, akimtaka kutafakari kwa makini mustakabali wake Old Trafford huku kukiwa na hali ya sintofahamu chini …
Girona FC Waichapa FC Barcelona 2-1, Ubingwa Wabaki Hatihati
Girona wameibua mshtuko mkubwa katika mbio za ubingwa wa La Liga baada ya kuifunga Barcelona mabao 2-1 katika dimba la Montilivi, hapo jana usiku. Matokeo hayo yamewaumiza Wacatalunya katika vita …
McKennie: “Tunatumai Galatasaray Hawatawazomea Juventus Kwasababu ya Yildiz”
Weston McKennie ameweka mawazo yake kabla ya mechi ya raundi ya play-off ya Ligi ya Mabingwa dhidi ya Galatasaray, ametoa maoni kuhusu mkataba wake na kuongea kwa utani kwamba anatumai …
Liverpool Wanaongoza Mbio za Kumsajili Nyota wa Newcastle, Anthony Gordon,
Liverpool wameibuka kama viongozi katika mbio za kumsajili Anthony Gordon kutoka Newcastle, kulingana na ripoti ya Caught Offside. Liverpool ya Merseyside tayari walihusishwa na mchezaji huyo wa taifa la England …
Chelsea Wapanga Dau la Pauni 50M kwa Nyota wa Nottingham Forest Murillo
Chelsea wanatafakari uwezekano wa kumsajili beki wa kati wa Nottingham Forest, Murillo, huku wakilenga kuimarisha safu yao ya ulinzi majira haya ya kiangazi, kwa mujibu wa TEAMtalk. The Blues wamekuwa …
Chelsea na Tottenham Wamuweka Machoni Beki wa Kati wa Bayern Munich Kim Min-jae
Chelsea na Tottenham wanaendelea kumfuatilia beki wa kati wa Bayern Munich, Kim Min-jae, kwa mujibu wa CFBayern. Vilabu hivyo viwili vya London vinatarajiwa kutafuta beki mpya mwishoni mwa msimu huu …
Enzo Maresca Aibuka Kidedea Nafasi ya Kumrithi Pep Guardiola Man City
Enzo Maresca bado anaonekana kuwa mmoja wa wagombea wakuu kumrithi Pep Guardiola kama kocha wa Manchester City licha ya kuhusishwa pia na Tottenham kama mbadala wa Thomas Frank, kwa mujibu …
Arsenal Wamuweka Castello Lukeba Kwenye Orodha ya Malengo Yao
Arsenal wanatarajia kuimarisha zaidi safu yao ya ulinzi huku wakimfuatilia beki wa kati wa RB Leipzig, Castello Lukeba, kwa mujibu wa Sports Boom. The Gunners waliimarisha safu yao ya ulinzi …


