Makala nyingine
Makala mpya
Mateta Yuko Tayari Kwenda Fiorentina Baada ya Uhamisho wa Milan Kushindikana
Ripoti za leo zinaonyesha kuwa Crystal Palace watampa nafasi ya kuanza mshambuliaji Jean-Philippe Mateta katika mchezo wa kwanza wa robo fainali ya Conference League dhidi ya Fiorentina utakaochezwa leo zaidi …
Mwamuzi Kovács Hatarini Kufungiwa Baadaya Kadi Nyekundu ya Cubarsí
Mwamuzi kutoka Romania, István Kovács, yupo hatarini kufungiwa kuchezesha mashindano yote ya UEFA hadi mwisho wa msimu huu kufuatia malalamiko makubwa yaliyoibuka baada ya mchezo wa robo fainali ya UEFA …
Jonathan Sowah Aomba Kuvunja Mkataba na Simba SC
Mshambuliaji wa kimataifa wa Ghana, Jonathan Sowah, ameripotiwa kuandika barua rasmi ya kuomba kuvunja mkataba wake na klabu ya Simba SC kufuatia kutoridhishwa na tuhuma zilizotolewa dhidi yake ambazo zilipelekea …
Thierry Henry Asema, Aitaja Manchester United Bora Kuliko Liverpool FC Ulaya
Gwiji wa soka na mshambuliaji wa zamani wa Arsenal FC, Thierry Henry, amezua mjadala mkubwa baada ya kudai kuwa Manchester United ni bora zaidi katika soka la Ulaya kuliko wapinzani …
Motsepe Atoa Matumaini kwa Mataifa ya Afrika Kuelekea Kombe la Dunia 2026
Rais wa Shirikisho la Soka Afrika, Patrice Motsepe, ametoa ujumbe mzito wa matumaini kwa mataifa ya Afrika kuelekea FIFA World Cup 2026, akisisitiza imani yake kuwa bara hilo lina uwezo …
Yanga Yarejea Dar kwa Kishindo, Yajipanga na Kombe la Shirikisho
Kikosi cha Yanga kimewasili salama jijini Dar es Salaam mchana wa leo kikitokea jijini Mwanza, kikiwa na furaha baada ya kupata ushindi mnono wa mabao 3-0 dhidi ya Pamba Jiji …
Barcelona Wana Nia ya Kumsajili Leoa Lakini Inategemea Mustakabali wa Rashford
Jina la Rafael Leão limeibuka tena kwa mara nyingine katika rada za Barcelona, huku gazeti la Hispania la Sport likiripoti kuwa kuna nia mpya kutoka kwa klabu hiyo ya Catalonia, …
Juventus Wanaweza Kutangaza Kuongeza Mkataba wa Spalletti Katika Siku Zijazo
Ripoti kutoka Italia zinaonyesha kuwa Juventus huenda wako siku chache tu mbali na kutangaza kuongeza mkataba wa kocha mkuu Luciano Spalletti, jambo ambalo linaweza kutangazwa kabla ya mchezo wa Serie …
Emery: “Tunawaheshimu Sana Bologna”
Kocha mkuu wa Aston Villa, Unai Emery, na beki Matty Cash walikabiliana na vyombo vya habari siku ya jana kabla ya mchezo wa kwanza wa robo fainali ya Europa League …
Inter Milan Wana Mpango wa Kumuongeza Mkataba Chivu
Inter wana jambo muhimu la kumalizia kuhusu ubingwa wa Serie A kabla ya mwisho wa msimu wa 2025-26, lakini ripoti kutoka Italia zinaonyesha kuwa mipango tayari imeandaliwa kuelekea msimu wa …


