Makala nyingine
Makala mpya
Griezmann Aitaka Atletico Kuongeza Makali Dhidi ya Arsenal Mchezo wa Marudiano
Mshambuliaji wa Atletico Madrid, Antoine Griezmann, ameitaka timu yake kubeba kiwango bora walichoonyesha kipindi cha pili kuelekea mchezo wa marudiano wa nusu fainali ya UEFA Champions League dhidi ya Arsenal. …
Inter Milan Bado Wana Matumaini ya Kumpata Nico Paz Licha ya Real Madrid Kumrejesha
Kulingana na Corriere dello Sport, Inter Milan bado wana nia ya kumsajili kipaji wa Como Nico Paz, ambaye anatarajiwa kurejea Real Madrid majira ya joto, lakini atabaki Santiago Bernabéu Stadium …
Ashley Young Atangaza Kustafu Soka Mwishoni Mwa Msimu Huu
Aliyekuwa nahodha wa Manchester United na mchezaji wa zamani wa timu ya taifa ya, Ashley Young ametangaza rasmi kuwa atastaafu soka mwishoni mwa msimu huu. Beki huyo wa pembeni mwenye …
Liverpool Wanamuwania Beki wa Napoli Anayeheshimika Sana na Arne Slot.
Mabingwa watetezi wa EPL Liverpool wanaripotiwa kuvutiwa na beki wa kati wa Napoli Sam Beukema, ambaye anaheshimiwa sana na kocha wa Reds Arne Slot. Liverpool wameweka macho yao kwa beki wa …
Man City Wanapima Uwezekano wa Kumsajili Rafael Leao Huku Nathan Ake Akifikiria Kuondoka.
Manchester City wanachunguza uwezekano wa kufanya dili la pauni milioni 60 kwa ajili ya Rafael Leao, huku Nathan Ake akifikiria kuondoka kutokana na kukosa dakika za kutosha za kucheza. City pia …
Joan Garcia Anakabiliwa na Changamoto Kubwa Katika Harakati za Kutwaa Tuzo ya Binafsi ya La Liga.
Kulingana na SPORT, kipa wa FC Barcelona Joan García anatarajiwa kupanda moja kwa moja kileleni mwa msimamo wa tuzo ya Zamora Trophy Jumamosi hii, endapo atacheza dhidi ya CA Osasuna. …
Mikel Arteta Alaani Maamuzi ya VAR Kukataa Penati UCL Dhidi ya Atletico
Kocha wa Arsenal, Mikel Arteta, ameonyesha hasira kali kufuatia uamuzi wa kubatilisha penati iliyotolewa kwa timu yake katika sare ya 1-1 dhidi ya Atletico Madrid kwenye mkondo wa kwanza wa …
Liverpool Yathibitisha Jeraha la Salah ni Dogo na Sio Kali Kama ilivyohofiwa
Mshambuliaji wa Liverpool, Mohamed Salah, anatarajiwa kurejea uwanjani kabla ya mwisho wa msimu huu baada ya klabu hiyo kuthibitisha kuwa jeraha lake si kubwa kama ilivyodhaniwa awali. Salah alitolewa nje …
Unai Emery Ataka Kuandika Historia Mpya Ulaya Europa League
Kocha wa Aston Villa, Unai Emery, amesema anataka kuandika “ukurasa mpya” wa mafanikio barani Ulaya wakati kikosi chake kikijiandaa kukutana na Nottingham Forest katika nusu fainali ya UEFA Europa League. …
Chelsea Walifanya Kimyakimya Uamuzi Kuhusu Mykhailo Mudryk Kabla ya Tangazo la Kufungiwa
Chelsea tayari walikuwa wamechukua uamuzi muhimu kuhusu mustakabali wa karibu wa Mykhailo Mudryk kabla hajakata rufaa dhidi ya adhabu yake ya matumizi ya dawa zilizopigwa marufuku. Vyanzo mbalimbali viliripoti Jumatano …


