Makala mpya

Hummels Anukia Bologna
Serie A

Aliyekua beki kisiki wa klabu ya Borussia Dortmund Matts Hummels raia wa kimataifa wa Ujerumani inasemekana anawindwa kwa karibu na klabu ya Bologna ya nchini Italia. Bologna wanaelezwa kumshawishibeki Hummels …

Soma zaidi
Juventus Wanamtaka Todibo kwa Mkopo
Serie A

Klabu ya Juventus inaelezwa inamuhitaji beki wa klabu ya OGC Nice Jean Clair Todibo kwa mkopo ambao una kipengele cha kumnunua kuelekea msimu ujao. Juventus wamekua wakimfukuzia Todibo kwa takribani …

Soma zaidi
Maguire Asisitiza Bado Yupo Sana Man United
Daily News

Beki wa kati wa klabu ya Manchester United raia wa kimataifa wa Uingereza Harry Maguire ameweka wazi kua bado yupo sana ndani ya klabu hiyo licha ya tetesi mbalimbali zinazoendelea. …

Soma zaidi
Uwayezu Francois Regis CEO Mpya Simba.
SOKA LA BONGO

KLABU ya Simba imemtangaza Uwayezu Francois Regis raia wa Rwanda kuwa Ofisa Mtendaji Mkuu wa klabu hiyo, akichukuwa nafasi ya Imani Kajula anayejiandaa kumaliza mkataba mwishoni mwa mwezi huu. Jisajili …

Soma zaidi
Gamondi Kuhusu Dube na Baleke Atoa Neno.
SOKA LA BONGO

KOCHA Mkuu wa Yanga Miguel Gamondi anashindwa kujizuia na kuchekelea kimtindo namna washambuliaji wapya wa timu, Prince Dube na Jean Baleke walivyoanza maisha ndani ya timu hiyo, akisema namna bora …

Soma zaidi
Yanga Yazidiwa Mbinu na Simba.
SOKA LA BONGO

BAADA ya watani wa jadi kugombania saini ya kiungo wa JKT Queens, Amina Bilal hatimaye Simba Queens imefanikiwa kuizidi akili Yanga Princess na kumnasa mchezaji huyo kwa mkataba wa mwaka …

Soma zaidi
Milioni 600 Kumpeleka Mpanzu Simba.
SOKA LA BONGO

MABOSI wa Simba wamerudi tena na nguvu kubwa wakifosi zaidi kuinasa ya mchezaji wa AS Vita Elie Mpanzu. Jisajili hapa kuwa wa kwanza kushinda Mamilioni ya Meridianbet kila siku. Simba …

Soma zaidi
West Ham Wanamtaka Duran
Daily News

Klabu ya West Ham ipo kwenye mchakato wa kumsajili mshambuliaji wa klabu ya Aston Villa Jhon Duran kwajili kukiboresha kikosi chao kuelekea msimu wa 2024/25. West Ham imepanga kuboresha ofa …

Soma zaidi
Simba Yarudi kwa Elia Mpanzu
Daily News

Klabu ya Simba imerejea kwenye mbio za kumuwania winga wa klabu ya As Vita kutoka nchini Congo Elia Mpanzu ambaye amekua akifukuziwa kwa muda mrefu na klabu hiyo. Simba imefanikiwa …

Soma zaidi
Inter Milan na Man United kubadilishana Wachezaji
Serie A

Klabu ya Inter Milan ipo kwenye mazungumzo na klabu ya Manchester United kwajili ya kuangalia uwezekano wa kubadilishana wachezaji ambao ni Denzel Dumfries na Aaron Wan Bissaka. Klabu ya Mnachester …

Soma zaidi
1 2 3 4 2,101 2,102 2,103