Makala nyingine
Makala mpya
Juventus Wako Kwenye Mazungumzo na Beki wa Real Antonio Rudiger
Gazeti la Tuttosport linaripoti kuwa Juventus wako kwenye mazungumzo na beki wa Real Madrid Antonio Rudiger, ambaye anapatikana kwa uhamisho wa bure huku mkataba wake ukitarajiwa kuisha mwezi Juni. Juventus …
Mpanzu Aeleza Sababu ya Kuongeza Mkataba na Simba SC
Mshambuliaji wa Simba SC, Elie Mpanzu, amefunguka hadharani kuhusu sababu iliyomshawishi kuongeza mkataba wa kuendelea kuitumikia klabu hiyo, akitaja upendo mkubwa kutoka kwa mashabiki kuwa ndio chachu kuu ya uamuzi …
Taifa Stars Yaelekea Rwanda kwa FIFA Series 2026, Msuva Akosekana
Kikosi cha Tanzania Taifa stars kimeanza safari kuelekea nchini Rwanda kwa ajili ya kushiriki michuano ya FIFA Series 2026 inayotarajiwa kuanza hivi karibuni, huku kikosi hicho kikiwa na matumaini makubwa …
Igor Tudor Yuko Mbioni Kuondoka Tottenham Hotspur
Tudor kuondoka Tottenham Hotspur kwani mpaka sasa hawajapata ushindi katika mechi 13 za Premier League kufuatia kipigo cha 3-0 nyumbani dhidi ya Nottingham Forest Jumapili. Igor Tudor anatarajiwa kuondoka Tottenham …
Manchester United Wanamlenga Alphonso Davies Katika Dirisha Kubwa la Usajili
Manchester United wanazingatia kufanya usajili wa nyota wa FC Bayern Munich, Alphonso Davies, wakijiandaa kurejea kwenye UEFA Champions League. Beki wa kushoto wa Bayern Munich, Davies, amekuwa akihusishwa na uhamisho wa …
Manchester United Hawajawasiliana na Makocha Wowote Wakati wa Kipindi cha Michael Carrick.
Manchester United hawana haraka kufanya uamuzi kuhusu kocha wao ajaye, licha ya mafanikio ambayo Michael Carrick ameonyesha hadi sasa. Kwa mujibu wa Sky Sports, Manchester United hawajawasiliana na wagombea wengine …
Olunga Aachwa Kikosi cha Kenya, McCarthy Atangaza Atangaza Kikosi kwaajili ya FIFA Series 2026
Nahodha wa timu ya taifa ya Kenya, Michael Olunga, ameondolewa katika kikosi cha mwisho kitakachoshiriki michuano ya FIFA Series 2026 itakayofanyika mjini Kigali kuanzia Machi 27. Kocha mkuu Benni McCarthy …
Osimhen Afanyiwa Upasuaji wa Baada ya Kuvunjika Mkono
Mshambuliaji wa kimataifa wa Nigeria na klabu ya Galatasaray, Victor Osimhen, amefanyiwa upasuaji kufuatia kuvunjika mkono wake wa kulia, klabu hiyo imethibitisha rasmi. Osimhen alipata jeraha hilo wakati wa mchezo …
Senegal Watinga Kambini Kwa Tabasamu Licha ya Kupokonywa Taji la AFCON 2025
Licha ya uamuzi uliotikisa ulimwengu wa soka uliotolewa na CAF wa kuwapokonya ubingwa wa AFCON 2025, kikosi cha timu ya taifa ya Senegal kimewasili kambini kikiwa na morali ya hali …
Brazil Watua Marekani kwa Mechi za Kirafiki za Kimataifa
Mabingwa wa dunia mara tano, timu ya taifa ya Brazil wamewasili rasmi jijini Orlando kuanza maandalizi ya mechi zao za kirafiki za kimataifa zitakazopigwa nchini Marekani. Kikosi hicho kimeweka kambi …


