Makala mpya

SIMBA IMEPIGWA BAO HAPA NA YANGA
Daily News

Kwenye vita ya kuwania ubingwa ndani ya ligi kuu bara inayodhaminiwa na NBC ngoma bado ni mbichi huku Simba ikipigwa bao mazima na Yanga kwenye eneo la kucheka na nyavu. …

Soma zaidi
WAKALI WAKUCHEKA NA NYAVU YANGA
Daily News

Katika suala la kucheka na nyavu ndani ya Ligi Kuu Tanzania Bara ambayo ni ligi namba nne kwa ubora Afrika, Yanga hawana utani wakiwa ni namba moja kwenye eneo hili …

Soma zaidi
Chiesa Afunga Goli, Lakini Tonali Ashinda Kombe la EFL Akiwa na Newcastle
Carabao Cup

Federico Chiesa aliifungia Liverpool, lakini Newcastle ya Sandro Tonali ilishinda Kombe la EFL kwenye Uwanja wa Wembley, na kupata ushindi wa 2-1 dhidi ya Reds. Mchezaji wa kimataifa wa Italia …

Soma zaidi
Thiago Motta Agoma Kujiuzulu
Serie A

Thiago Motta anathibitisha kuwa hatajiuzulu baada ya Juventus kupoteza 3-0 dhidi ya Fiorentina akisema kuwa ‘itakuwa rahisi sana.’ Bianconeri walipata kipigo cha pili mfululizo kwenye Uwanja wa Stadio Franchi siku …

Soma zaidi
Gasperini Alia na Refa
Serie A

Gian Piero Gasperini anasisitiza kuwa Atalanta “haijapungua kiwango” kwa kipigo cha 2-0 kutoka kwa Inter, akidai kuwa wao ni moja ya timu bora barani Ulaya, lakini anaelekeza lawama kwa waamuzi …

Soma zaidi
Inzaghi Awachakaza Atalanta Kwao
Serie A

Simone Inzaghi alijibu kwa wanaoishuku Inter baada ya ushindi wa 2-0 ugenini dhidi ya Atalanta, akirejelea mara kwa mara mijadala kwenye televisheni na vyombo vya habari.  Nerazzurri wamekuwa na changamoto …

Soma zaidi
KIBU DENIS AZINDUKA TOKA KUZIMU, SIMBA IKITAKATA MWENGE
Daily News

Ni Kama kazinduka kutoka kuzimu nyota Simba Kibu Denis ambaye jana alifunga kwa mara ya kwanza ndani ya ligi kuu baada ya kumaliza siku takribani 380 bila kuona bao. Lakini …

Soma zaidi
AZİZİ KI KUONDOKA YANGA
Daily News

Inatajwa kuwa kiungo wa kazi ndani ya kikosi cha Yanga Azizi Ki huenda akasepa baada ya msimu wa 2024/25 kugota mwisho kwa kuwa amepata timu ambayo inahitaji huduma yake kutokana …

Soma zaidi
ALI KAMWE AWAPA NENO COASTAL UNION
Daily News

Ali Kamwe, Ofisa Habari wa Yanga amesema kuwa wapinzani wao Coastal Union wanahitaji pongezi kwa kuwa sio jambo rahisi kupeleka timu kukabiliana na Yanga. Ujumbe huo ni kama dongo kimtindo …

Soma zaidi
KAPOMBE AFUNGUKA ISHU YA KUWATOA TMA
Daily News

Shomari Kapombe beki wa Simba amesema kuwa walikutana na ushindani mkubwa kutoka kwa wapinzani wao TMA Stars katika mchezo wa hatua ya 32 bora CRDB Federation Cup uliochezwa Uwanja wa …

Soma zaidi
1 2 3 4 2,155 2,156 2,157