MAKALA MPYA

sandro tonali

Eddie Howe: Tuwe Wavumilivu kwa Tonali

0
Kocha wa klabu ya Newcastle United Eddie Howe amewataka mashabiki wa klabu hiyo kua wavumilivu kwa kiungo mpya aliyesajiliwa klabuni hapo dirisha kubwa lililopita Sandro Tonali raia wa kimataifa wa Italia. Kocha Eddie Howe anaamini kwenye ubora wa Sandro Tonali...
ten hag

Ten Hag Akanusha Kuwepo kwa Tofauti ndani ya Timu

0
Kocha wa klabu ya Manchester United Erik Ten Hag amekanusha taarifa zinazoeleza kuwepo na tofauti katika vyumba vya kubadilishia ngo vya klabu hiyo kama ambavyo vyanzo mbalimbali vinaeleza. Ten Hag ameweka wazi kua hakuna chochote kinachoendelea tofauti ndani ya vyumba...
de gea

De Gea Kustaafu Akikosa Timu

0
Aliyekua golikipa wa klabu ya Manchester United David De Gea huenda akastaafu soka endapo atakosa timu ya kucheza kama golikipa namba moja katika klabu ya daraja la juu. De Gea ambaye mkataba wake ulimalizika ndani ya Man United mwezi Juni...
AZAM FC

Yusuf Dabo: Awataja Feisal na Prince Dube Azam FC Ikijiandaa Kukusanya Alama Zaidi.

0
KOCHA Mkuu wa Azam FC, Yusuph Dabo amesema kuwa kikubwa ambacho wachezaji wake wanatakiwa kukifanya ikiwa ni pamoja na kiungo Feisal Salum, mshambuliaji Prince Dube ni kujitoa muda wote kutafuta ushindi. Ukiwa na meridianbet odds kubwa, kasino ya mtandaoni...
simba

Baleke Aifikia Rekodi ya Feisal

0
JEAN Baleke ni nyota wa pili kufunga mabao matatu kwenye mchezo mmoja ndani ya Ligi Kuu Bara. Ukiwa na meridianbet odds kubwa, kasino ya mtandaoni na michezo ya sloti. Jina lake limesoma kwenye orodha ya mastaa wenye hat trick Bongo...
gamondi

GAMONDI ATOA ONYO KALI YANGA

0
KOCHA Mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi, raia wa Argentina, ameewaambia wachezaji wa timu hiyo akiwemo Kennedy Musonda kuwa hawana muda wa kubweteka wala kumpuuzia yeyote katika mechi zijazo. Gamondi ametoa onyo hilo baada ya Yanga kufanikiwa kuibuka na ushindi wa...
SIMBA

SIMBA YATUA KWA STAA WA POWER DYNAMOS

0
UONGOZI wa Simba umeanza mazungumzo na winga wa Power Dynamos ya Zambia, Joshua Mutale kwa ajili ya kumsajili katika dirisha dogo msimu huu. Winga huyo alikuwa mwiba katika goli la Simba walipokutana wikiendi iliyopita kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa...
YANGA

YANGA KLABU BORA YA WIKI AFRIKA

0
Klabu ya Yanga imechaguliwa kuwa timu bora ya wiki ya CAF Champions league round ya pili, Mashabiki 23,825 walipiga kura huku mabingwa wa Tanzania wakipata asilimia 63 ya kura.Upigaji kura ulifanyika kwenye Twitter (X) na Facebook.Hii imesababishwa na kiwango bora...
messi

Messi: Sifikirii Kombe la Dunia Lijalo

0
Nahodha wa timu ya taifa ya Argentina Lionel Messi ambaye anakipiga katika klabu ya Inter Miami ya nchini Marekani kwasasa amesema hafikirii kuhusu kombe la dunia lijalo mwaka 2026 kwasasa. Messi amesema kwasasa anawaza michuano ya Copa America ambayo itapigwa...
inonga

Inonga Hajapata Jeraha Kubwa

0
Taarifa njema kwa mashabiki wa Simba ni juu ya kitasa cha klabu hiyo raia wa kimataifa wa Congo Henock Inonga ambaye kwa mujibu wa taarifa kutoka Hospitali ya Temeke hajapata majeraha makubwa sana. Inonga ambaye alitolewa nje na machela katika...