Makala nyingine
Makala mpya
Laporta Atoa Lawama Nzito kwa Waamuzi Baada ya Barca Kutolewa UCL
Rais wa Barcelona, Joan Laporta, amewashambulia vikali waamuzi waliochezesha mechi za robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Atlético Madrid, akidai kuwa walipoteza uadilifu wa mashindano hayo. Laporta …
Ratiba ya Robo Fainali Kombe CRDB 2025/26 Yatangazwa
Ratiba ya robo fainali ya Kombe la shirikisho la CRDB msimu wa 2025/26 imetangazwa rasmi, huku kila pambano likitarajiwa kuwa na ushindani mkubwa unaofanana na fainali. Mashabiki wa soka nchini …
Drogba Azikosoa Real Madrid, Barcelona Kuhusu Kushuka kwa Ubora Ulaya
Gwiji wa Chelsea, Didier Drogba, ametoa kauli kali kuhusu hali ya soka la Ulaya kwa sasa, akizilenga moja kwa moja klabu kubwa za Real Madrid na Barcelona. Akizungumza kuhusu Barcelona, …
Kasarani, Moi Kufungwa Kwa ajili ya Ukarabati Mkubwa Kuelekea AFCON 2027
Uwanja wa Kimataifa wa Michezo wa Moi, Kasarani, unatarajiwa kufungwa rasmi ili kupisha matengenezo makubwa kuelekea michuano ya Mataifa ya Afrika (AFCON) 2027. Hatua hiyo ni sehemu ya maandalizi ya …
Sundowns, Espérance Tiketi Zote Zauzwa Kabla ya Mchezo wa Nusu Fainali CAFCL
Mechi ya mkondo wa pili ya nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika CAFCL kati ya Mamelodi Sundowns na Espérance de Tunis imethibitishwa kuwa SOLD OUT, na mashabiki wote tayari …
Lionel Messi Anunua Klabu ya Soka UE Cornella ya Hispania
Nahodha wa Inter Miami CF, Lionel Messi, amerudi Hispania na kununua klabu ya daraja la tano ya UE Cornellà, hatua iliyothibitishwa rasmi na klabu hiyo Alhamisi. Uamuzi huo unaashiria mwanzo …
Enzo Fernandez Arejea Chelsea, Tayari Kuivaa Man United
Kocha wa Chelsea FC, Liam Rosenior, amethibitisha kuwa kiungo Enzo Fernandez amerejea kwenye mazoezi kamili na yupo tayari kuchaguliwa katika mchezo wa Ligi Kuu England dhidi ya Manchester United utakaopigwa …
Watkins Atamani Kurejea Kwenye Kikosi cha Uingereza Kuelekea Kombe la Dunia
Mshambuliaji wa Aston Villa, Ollie Watkins, amesema bado ana matumaini ya kurejea katika kikosi cha timu ya taifa ya uingereza kwa ajili ya Kombe la Dunia, licha ya kukosekana kwenye …
Je Khvicha Kvaratskhelia Kujiunga na Manchester United Msimu Ujao?
Manchester United wataanza kuelekeza macho yao kwenye dirisha la usajili la majira ya kiangazi hivi karibuni, baada ya kwanza kujikita kuhakikisha wanapata nafasi ya kushiriki Ligi ya Mabingwa chini ya …
Mbeya City Yamtimua Kocha Maxime Baada ya Kipigo cha 6-0 Dhidi ya Yanga
Klabu ya Mbeya City FC imetangaza rasmi kusitisha mkataba na kocha wake mkuu, Mecky Maxime, pamoja na benchi lake la ufundi, kufuatia makubaliano ya pande zote mbili. Uamuzi huo umetolewa …


