Makala nyingine
Makala mpya
Cirille Nje Kwa Wiki Sita Kisa Majeraha Ya Bega
Mlinzi wa kulia wa klabu ya Singida Black Stars kutoka mkoani Singida, Ande Kofie Cirille raia wa Ivory Coast, anatarajia kukaa nje ya uwanja kwa wiki takribani sita hadi kurejea …
Okello Tayari Kuanza Kazi Mapema Yanga
Kiungo mshambualiaji mpya wa klabu ya Yanga raia wa Uganda, Allan Okello, ameanza mazoezi yake ya kwanza katika klabu ya Yanga kwa ajili ya kujiandaa na michezo ijayo na mwenyewe …
Roma Wamekamilisha Usajili wa Robinio Vaz.
Roma wamethibitisha rasmi kumsajili mshambuliaji kijana mwenye kipaji kikubwa Robinio Vaz kwa uhamisho wa kudumu kutoka Marseille. Taarifa ya klabu ya Ufaransa imethibitisha maelezo ya kifedha ya dili hilo, yenye …
Eto’o Apigwa Rungu La Michezo 4 Ya Afcon Na CAF
Shirikisho la Soka barani Afrika (CAF) limechukua hatua kali dhidi ya Rais wa Shirikisho la Soka Cameroon (FECAFOOT), Samuel Eto’o, kwa kumfungia kushiriki mechi nne kufuatia tuhuma za mwenendo usiofaa …
Everton Wanatafuta Kumsajili Youssef En-Nesyri Katika Dirisha Hili la Usajili.
Wakati The Athletic wakidai kuwa “nia ya Everton kwa En-Nesyri haijafikia hatua ya juu na bado hawajatoa ofa rasmi kwa mshambuliaji huyo,” mwandishi wa masuala ya usajili Fabrizio Romano anapendekeza …
Morocco Watinga Fainali kwa Kuinyuka Nigeria Penalti
Ushindi wa Morocco dhidi ya Nigeria kwa penati 4-2 baada ya sare ya 0-0 umewaweka wenyeji hao wa Afrika Kaskazini kwenye fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika, wakiwa tayari …
Stellini: “Hatukuwa na Bahati.”
Napoli walilazimishwa sare ya kufadhaisha ya 0-0 na Parma katika Uwanja wa Stadio Diego Armando Maradona, huku kocha msaidizi Cristian Stellini akitaja kukosa bahati, uchovu na kushindwa kutumia nafasi kama …
Juventus Wamefikia Makubaliano ya Kumsajili Mingueza Bure, Lakini Wanashinikiza Uhamisho wa Januari.
Ripoti kutoka Italia zinadai kuwa Juventus wamefikia makubaliano ya kumsajili Óscar Mingueza bure mwezi Juni, lakini mkurugenzi wa Bianconeri, Marco Ottolini, ameendelea kubaki Hispania ili kujadiliana na Celta Vigo kuhusu …
Mane Avunja Ndoto za Mohamed Salah Kutwaa Afcon
Usiku wa Jumatano katika Uwanja wa Grand Stade de Tangier, Senegal imeondoka na ushindi wa mabao 1-0 dhidi ya Misri kwenye nusu-fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika (Afcon) 2025. …
Juventus Wanamuwinda Mateta wa Crystal Palace
Sky Sport Italia wanadai kuwa Juventus wamewasiliana na Crystal Palace wakitaka kumsajili Jean-Philippe Mateta, lakini ofa yao ya €35 milioni inaonekana haitakuwa ya kuridhisha. Nia hiyo ilitajwa jana na mchambuzi …


