LATEST NEWS
Eddie Howe: Tuwe Wavumilivu kwa Tonali
Kocha wa klabu ya Newcastle United Eddie Howe amewataka mashabiki wa klabu hiyo kua wavumilivu kwa kiungo mpya aliyesajiliwa klabuni hapo dirisha kubwa lililopita...
Ten Hag Akanusha Kuwepo kwa Tofauti ndani ya Timu
Kocha wa klabu ya Manchester United Erik Ten Hag amekanusha taarifa zinazoeleza kuwepo na tofauti katika vyumba vya kubadilishia ngo vya klabu hiyo kama...
ENGLISH PREMIER LEAGUE
Eddie Howe: Tuwe Wavumilivu kwa Tonali
Kocha wa klabu ya Newcastle United Eddie Howe amewataka mashabiki wa klabu hiyo kua wavumilivu...
Ten Hag Akanusha Kuwepo kwa Tofauti ndani ya Timu
Kocha wa klabu ya Manchester United Erik Ten Hag amekanusha taarifa zinazoeleza kuwepo na tofauti...
De Gea Kustaafu Akikosa Timu
Aliyekua golikipa wa klabu ya Manchester United David De Gea huenda akastaafu soka endapo atakosa...
SPORT NEWS
ALL NEWS
Ten Hag Akanusha Kuwepo kwa Tofauti ndani ya Timu
Kocha wa klabu ya Manchester United Erik Ten Hag amekanusha taarifa zinazoeleza kuwepo na tofauti katika vyumba vya kubadilishia ngo vya klabu hiyo kama...
De Gea Kustaafu Akikosa Timu
Aliyekua golikipa wa klabu ya Manchester United David De Gea huenda akastaafu soka endapo atakosa timu ya kucheza kama golikipa namba moja katika klabu...
Yusuf Dabo: Awataja Feisal na Prince Dube Azam FC Ikijiandaa Kukusanya Alama Zaidi.
KOCHA Mkuu wa Azam FC, Yusuph Dabo amesema kuwa kikubwa ambacho wachezaji wake wanatakiwa kukifanya ikiwa ni pamoja na kiungo Feisal Salum, mshambuliaji Prince...
Baleke Aifikia Rekodi ya Feisal
JEAN Baleke ni nyota wa pili kufunga mabao matatu kwenye mchezo mmoja ndani ya Ligi Kuu Bara. Ukiwa na meridianbet odds kubwa, kasino ya...
GAMONDI ATOA ONYO KALI YANGA
KOCHA Mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi, raia wa Argentina, ameewaambia wachezaji wa timu hiyo akiwemo Kennedy Musonda kuwa hawana muda wa kubweteka wala kumpuuzia...
SERIE A
Dybala Amkaribisha Lukaku AS Roma Asema “Hakuna Ubinafsi Hapa”
Paulo Dybala anahisi Roma inahitajika kutuma ujumbe kwa kuichapa Empoli mabao 7-0 na kukaribisha bao la kwanza la Romelu Lukaku akisema "Hakuna ubinafsi hapa."
Giallorossi...
Dia Anarudi Salernitana Baada ya Soko Kuyumba
Boulaye Dia hakurejea Salernitana baada ya mapumziko ya kimataifa katika soko lililoonekana kuyumba baada ya uhamisho, lakini mshambuliaji huyo sasa amerejea Campania.
Mshambuliaji huyo wa...
MAKALA MPYA
Eddie Howe: Tuwe Wavumilivu kwa Tonali
Kocha wa klabu ya Newcastle United Eddie Howe amewataka mashabiki wa klabu hiyo kua wavumilivu kwa kiungo mpya aliyesajiliwa klabuni hapo dirisha kubwa lililopita Sandro Tonali raia wa kimataifa wa Italia.
Kocha Eddie Howe anaamini kwenye ubora wa Sandro Tonali...
Ten Hag Akanusha Kuwepo kwa Tofauti ndani ya Timu
Kocha wa klabu ya Manchester United Erik Ten Hag amekanusha taarifa zinazoeleza kuwepo na tofauti katika vyumba vya kubadilishia ngo vya klabu hiyo kama ambavyo vyanzo mbalimbali vinaeleza.
Ten Hag ameweka wazi kua hakuna chochote kinachoendelea tofauti ndani ya vyumba...
De Gea Kustaafu Akikosa Timu
Aliyekua golikipa wa klabu ya Manchester United David De Gea huenda akastaafu soka endapo atakosa timu ya kucheza kama golikipa namba moja katika klabu ya daraja la juu.
De Gea ambaye mkataba wake ulimalizika ndani ya Man United mwezi Juni...
Yusuf Dabo: Awataja Feisal na Prince Dube Azam FC Ikijiandaa Kukusanya Alama Zaidi.
KOCHA Mkuu wa Azam FC, Yusuph Dabo amesema kuwa kikubwa ambacho wachezaji wake wanatakiwa kukifanya ikiwa ni pamoja na kiungo Feisal Salum, mshambuliaji Prince Dube ni kujitoa muda wote kutafuta ushindi. Ukiwa na meridianbet odds kubwa, kasino ya mtandaoni...
Baleke Aifikia Rekodi ya Feisal
JEAN Baleke ni nyota wa pili kufunga mabao matatu kwenye mchezo mmoja ndani ya Ligi Kuu Bara. Ukiwa na meridianbet odds kubwa, kasino ya mtandaoni na michezo ya sloti.
Jina lake limesoma kwenye orodha ya mastaa wenye hat trick Bongo...
GAMONDI ATOA ONYO KALI YANGA
KOCHA Mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi, raia wa Argentina, ameewaambia wachezaji wa timu hiyo akiwemo Kennedy Musonda kuwa hawana muda wa kubweteka wala kumpuuzia yeyote katika mechi zijazo.
Gamondi ametoa onyo hilo baada ya Yanga kufanikiwa kuibuka na ushindi wa...
SIMBA YATUA KWA STAA WA POWER DYNAMOS
UONGOZI wa Simba umeanza mazungumzo na winga wa Power Dynamos ya Zambia, Joshua Mutale kwa ajili ya kumsajili katika dirisha dogo msimu huu.
Winga huyo alikuwa mwiba katika goli la Simba walipokutana wikiendi iliyopita kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa...
YANGA KLABU BORA YA WIKI AFRIKA
Klabu ya Yanga imechaguliwa kuwa timu bora ya wiki ya CAF Champions league round ya pili,
Mashabiki 23,825 walipiga kura huku mabingwa wa Tanzania wakipata asilimia 63 ya kura.Upigaji kura ulifanyika kwenye Twitter (X) na Facebook.Hii imesababishwa na kiwango bora...
Messi: Sifikirii Kombe la Dunia Lijalo
Nahodha wa timu ya taifa ya Argentina Lionel Messi ambaye anakipiga katika klabu ya Inter Miami ya nchini Marekani kwasasa amesema hafikirii kuhusu kombe la dunia lijalo mwaka 2026 kwasasa.
Messi amesema kwasasa anawaza michuano ya Copa America ambayo itapigwa...
Inonga Hajapata Jeraha Kubwa
Taarifa njema kwa mashabiki wa Simba ni juu ya kitasa cha klabu hiyo raia wa kimataifa wa Congo Henock Inonga ambaye kwa mujibu wa taarifa kutoka Hospitali ya Temeke hajapata majeraha makubwa sana.
Inonga ambaye alitolewa nje na machela katika...