Makala nyingine
Makala mpya
De la Fuente amsifu Merino baada ya kuipeleka Hispania nusu fainali
Kocha wa timu ya taifa ya Hispania, Luis de la Fuente, amempongeza kiungo Mikel Merino kwa mchango wake mkubwa kama mchezaji wa akiba baada ya kufunga bao la ushindi katika …
Merino asema anaishi ndoto baada ya kuipeleka Hispania nusu fainali
Kiungo wa Hispania, Mikel Merino, amesema anahisi kama anaishi ndoto baada ya kuifungia timu yake bao la ushindi katika dakika ya 88 dhidi ya Ubelgiji na kuipeleka Hispania hatua ya …
Scaloni Aweka Wazi Falsafa ya Argentina Kabla ya Robo Fainali
Kocha wa Argentina, Lionel Scaloni, amesema anatamani kikosi chake kikumbukwe kama timu ambayo haikati tamaa kamwe, wanapojiandaa kuvaana na Uswisi katika mchezo wa robo fainali ya michuano ya Dunia 2026 …
Mshambuliaji Mitch Duke astaafu rasmi kuichezea Australia
Mshambuliaji wa Australia, Mitch Duke, ametangaza rasmi kustaafu soka la kimataifa baada ya kulitumikia taifa hilo kwa zaidi ya muongo mmoja. Duke mwenye umri wa miaka 35 anaondoka akiwa ameichezea …
PSG Inafuatilia Hali ya Ibrahim Mbaye Huku Nustakabali wa Lucas Chevalier Ukiwa Kitovu cha Mjadala.
Aston Villa ndiyo inaongoza katika mbio za kumwania winga wa Paris Saint-Germain (PSG), Ibrahim Mbaye, mwenye umri wa miaka 18. Ingawa Paris inataka kumbakiza mchezaji huyo baada ya kuonyesha kiwango …
Man United Yakumbana na Wasiwasi Kuhusu Usajili wa Ederson Huku Ikihusishwa na Beki Neco Williams.
Harakati za Manchester United za kumsajili Ederson kutoka Atalanta kwa ada ya pauni milioni 35 zimeingia mashakani baada ya kuitwa kwa dharura katika kikosi cha Brazil pamoja na taarifa za …
Real Madrid Yakumbwa na Hofu Kuhusu Jeraha la Courtois
Thibaut Courtois alipata tatizo la misuli ya paja wakati Belgium ilipopoteza kwa mabao 2-1 dhidi ya Hispania, huku Real Madrid ikiendelea kusukuma juhudi za kumaliza mazungumzo ya mkataba mpya wa …
David Beckham Atembelea Kambi ya Mazoezi ya Uingereza Kuelekea Mechi Yao Dhidi ya Norway.
Nguli wa soka wa Uingereza, David Beckham, alijiunga na kikosi cha Three Lions katika mazoezi yao mjini Miami, ambako alipokelewa kwa furaha na wachezaji pamoja na benchi la ufundi kuelekea …
Hugo Broos athibitisha kuondoka Rasmi Afrika Kusini Bafana Bafana
Kocha mkuu wa timu ya taifa ya Afrika Kusini, Hugo Broos, amethibitisha rasmi kuwa hataendelea kuinoa Bafana Bafana, akimaliza uvumi uliodumu kwa takribani wiki mbili kuhusu hatma yake baada ya …
Mpango wa Roma ni Kumsajili Garnacho Iwapo Chelsea Itakubali Mkopo Wenye Kipengele cha Kumnunua Baadaye.
Roma wanaendelea kufuatilia kwa karibu hali ya Alejandro Garnacho akiwa Chelsea, huku ripoti zikieleza kuwa anaweza kuruhusiwa kuondoka kwa mkopo au kwa uhamisho wa moja kwa moja wa kudumu. Roma …


