This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.
Makala nyingine
Makala mpya
SIMBA IMEPIGWA BAO HAPA NA YANGA
Kwenye vita ya kuwania ubingwa ndani ya ligi kuu bara inayodhaminiwa na NBC ngoma bado ni mbichi huku Simba ikipigwa bao mazima na Yanga kwenye eneo la kucheka na nyavu. …
WAKALI WAKUCHEKA NA NYAVU YANGA
Katika suala la kucheka na nyavu ndani ya Ligi Kuu Tanzania Bara ambayo ni ligi namba nne kwa ubora Afrika, Yanga hawana utani wakiwa ni namba moja kwenye eneo hili …
Chiesa Afunga Goli, Lakini Tonali Ashinda Kombe la EFL Akiwa na Newcastle
Federico Chiesa aliifungia Liverpool, lakini Newcastle ya Sandro Tonali ilishinda Kombe la EFL kwenye Uwanja wa Wembley, na kupata ushindi wa 2-1 dhidi ya Reds. Mchezaji wa kimataifa wa Italia …
Thiago Motta Agoma Kujiuzulu
Thiago Motta anathibitisha kuwa hatajiuzulu baada ya Juventus kupoteza 3-0 dhidi ya Fiorentina akisema kuwa ‘itakuwa rahisi sana.’ Bianconeri walipata kipigo cha pili mfululizo kwenye Uwanja wa Stadio Franchi siku …
Gasperini Alia na Refa
Gian Piero Gasperini anasisitiza kuwa Atalanta “haijapungua kiwango” kwa kipigo cha 2-0 kutoka kwa Inter, akidai kuwa wao ni moja ya timu bora barani Ulaya, lakini anaelekeza lawama kwa waamuzi …
Inzaghi Awachakaza Atalanta Kwao
Simone Inzaghi alijibu kwa wanaoishuku Inter baada ya ushindi wa 2-0 ugenini dhidi ya Atalanta, akirejelea mara kwa mara mijadala kwenye televisheni na vyombo vya habari. Nerazzurri wamekuwa na changamoto …
KIBU DENIS AZINDUKA TOKA KUZIMU, SIMBA IKITAKATA MWENGE
Ni Kama kazinduka kutoka kuzimu nyota Simba Kibu Denis ambaye jana alifunga kwa mara ya kwanza ndani ya ligi kuu baada ya kumaliza siku takribani 380 bila kuona bao. Lakini …
AZİZİ KI KUONDOKA YANGA
Inatajwa kuwa kiungo wa kazi ndani ya kikosi cha Yanga Azizi Ki huenda akasepa baada ya msimu wa 2024/25 kugota mwisho kwa kuwa amepata timu ambayo inahitaji huduma yake kutokana …
ALI KAMWE AWAPA NENO COASTAL UNION
Ali Kamwe, Ofisa Habari wa Yanga amesema kuwa wapinzani wao Coastal Union wanahitaji pongezi kwa kuwa sio jambo rahisi kupeleka timu kukabiliana na Yanga. Ujumbe huo ni kama dongo kimtindo …
KAPOMBE AFUNGUKA ISHU YA KUWATOA TMA
Shomari Kapombe beki wa Simba amesema kuwa walikutana na ushindani mkubwa kutoka kwa wapinzani wao TMA Stars katika mchezo wa hatua ya 32 bora CRDB Federation Cup uliochezwa Uwanja wa …