MAKALA MPYA

gamondi

GAMONDI KUWABADILISHIA MBINU MEDEAMA

0
KOCHA Miguel Gamondi wa Yanga unaweza kusema amejipata baada ya kubadilisha mfumo wake kutoka kutumia mabeki wa kati wawili na kuanza kutumia mabeki watatu wa kati jambo ambalo limeanza kuzaa matunda ndani ya timu hiyo. Kitendo hiko kilionekana katika mchezo...
Yanga

YANGA TUNATAKA ROBO FAINALI

0
UONGOZI wa Yanga umeweka wazi licha ya sare ambayo waliipata dhidi ya Al Ahly lakini bado wanajiona wakiwa na nguvu ya kusonga mbele kwenye kundi lao na kutinga hatua ya robo fainali. Yanga katika mchezo wa juzi Jumamosi walilazimishwa sare...
Yanga

YANGA KUSHUSHA VYUMA JANUARI

0
TAARIFA ziwafike mashabiki wa Yanga kuwa kunamashine tatu za maana zitashushwa ndani ya Yanga kupitia dirisha dogo la usajili linatorajiwa kufunguliwa hivi karibuni huku kipaumbele kikubwa kwa Yanga kikiwa ni kwaajili ya michuano ya kimataifa. Yanga kwa sasa wanashiriki makundi...
guardiola

Guardiola: Tunaweza Kutetea Taji Letu

0
Kocha wa klabu ya Manchester City Pep Guardiola ameongea na waandishi wa habari na kuwajibu swali walilouliza kama anaweza kutetea taji la ligi kuu ya Uingereza na kocha huyo alijibu bila kusita kua wanaweza kutetea taji hilo. Kocha huyo amewaeleza...
Pochettino

Pochettino: Nkunku Hatokuepo Dhidi ya United Kesho

0
Kocha wa klabu ya Chelsea Mauricio Pochettino ameweka wazi kua mshambuliaji wa klabu hiyo Christopher Nkunku hatokuepo kwenye mchezo wa kesho dhidi ya Man United. Christopher Nkunku ambaye ameshaanza mazoezi mepesi na klabu hiyo baada ya kua kwenye majeraha ya...
ten hag

Ten Hag: Wachezaji Wananisapoti

0
Kocha wa klabu ya Manchester United Erik Ten Hag amesema wachezaji wa klabu hiyo wanamsapoti na wapo nyuma yake na sio kama ambavyo inaelezwa wachezaji hawamkubali tena. Kocha Ten Hag akiongea na waandishi wa habari leo kuelekea mchezo wa ligi...
yanga

YANGA YAWAFUATA MEDEAMA KIBABE

0
KIKOSI cha Yanga kinachonolewa na Kocha Mkuu, Miguel Gamondi, leo Desemba 5 alfajiri kimeanza safari kuelekea Ghana kwa ajili ya kupambania kupata pointi tatu muhimu. Baada ya kucheza mechi mbili ambazo ni dakika 180 imekusanya pointi moja pekee. Yanga inapeperusha bendera...
simba

SIMBA, YANGA ZITAPATA FURAHA KIMATAIFA

0
HUZUNI kwa mashabiki wa vilabu vya Simba na Yanga kushindwa kupata kicheko kwenye mechi za kimataifa inapaswa kuondolewa na wachezaji uwanjani. Hali haijawa nzuri kwenye mechi za kimataifa ambapo ni timu mbili kutoka ardhi ya Tanzania zinafanya kazi yake. Yanga...
lomalisa

LOMALISA KUIKOSA MEDEAMA

0
Kutokana na Jeraha alilolipata Mlinzi wa kushoto wa klabu ya Yanga kwenye mchezo wao dhidi ya Al Ahly Joyce Lomalisa ameshindwa kusafiri na timu kwenda Ghana kuwavaa MEDEAMA Kwa mujibu wa Afisa habari wa klabu ya Yanga Ali kamwe ni...
manchester United

Manchester United Yawapiga Pini Waandishi

0
Klabu ya Manchester United imeeleza kua imewapiga marufuku baadhi ya waandishi na vyombo vya habari nchini Uingereza kutokana na kuchapisha habari bila kuwasiliana na klabu. Manchester United imeweka wazi kua hawajapiga marufuku vyombo vya habari kutokana na kuchapisha habari ambazo...