Makala nyingine
Makala mpya
Lampard Amtabiria Kazi Kubwa Caleb Yirenkyi, Coventry City
Kocha wa Coventry City, Frank Lampard, amemsifu kwa kiasi kikubwa kiungo mpya wa klabu hiyo, Caleb Yirenkyi, baada ya kinda huyo kuonyesha kiwango kizuri katika mchezo wake wa kwanza usio …
Frattesi Kuhusu Kurejea Lazio: “Nilihitaji Kuhisi Kuwa Mimi Ndiye Kiini cha Mradi.”
Davide Frattesi amekamilisha uhamisho wa kwenda Lazio, hatua ambayo anaielezea kama kurejea nyumbani, akijiunga na klabu ambayo aliitumia katika miaka yake ya utotoni. Kwa mujibu wa Gianluca Di Marzio, dili …
Atletico Madrid Yamsajili Cristian Romero Kutoka Tottenham
Atletico Madrid imekamilisha usajili wa beki wa kati wa Argentina, Cristian Romero, kutoka Tottenham Hotspur kwa ada inayoripotiwa kuwa euro milioni 40, sawa na takribani pauni milioni 34.3, ikiwemo bonasi …
Barcelona Yamgeukia Luis Suárez Baada ya Kukwama kwa Dili la Álvarez
Barcelona imeanza kuweka mkakati mbadala katika harakati zake za kuimarisha safu ya ushambuliaji, huku mshambuliaji wa Colombia, Luis Suárez, akiongezwa kwenye orodha ya wachezaji wanaofuatiliwa na klabu hiyo. Barcelona bado …
Giovanni van Bronckhorst: “Ashangazwa na Uamuzi wa Xavi Kujiunga na Timu ya Taifa ya Uholanzi.”
Kocha mkuu wa Feyenoord Giovanni ameshangzwa na Shirikisho la Soka la Uholanzi (KNVB) kwa kumteua Xavi Hernández kuwa kocha mpya wa timu ya taifa ya Uholanzi, na kumfanya kuwa kocha …
Tottenham Bado Wapo Kwenye Mazungumzo ya Kumsajili Gakpo.
Cristian Romero amethibitisha kuwa anaondoka Tottenham kabla ya kuhamia Atlético Madrid katika uhamisho wenye thamani ya takribani £34.2 milioni, akihitimisha kipindi chake cha miaka mitano Spurs baada ya kusaidia klabu …
Paredes Amekataa Ofa ya Milan Ili Kubaki Boca Juniors.
Ripoti kutoka Argentina zinadai kwamba Milan iliwasiliana na Leandro Paredes kwa lengo la kumrudisha Serie A, lakini mchezaji huyo wa kimataifa wa Argentina anataka kubaki Boca Juniors. Mchezaji huyo mwenye …
AC Milan Wako Tayari Kumruhusu Christopher Nkunku Kuondoka
Nkunku kwa kushangaza amewekwa kwenye orodha ya wachezaji wanaoweza kuuzwa na AC Milan na kocha mkuu Amorim. Zikiwa zimesalia takribani wiki mbili kabla ya dirisha la usajili la majira ya …
Arsenal Yafungua Njia ya Kumsajili Victor Osimhen Mazungumzo Yaanza
Arsenal imeanza kufanya mawasiliano ya awali kuhusu uwezekano wa kumsajili mshambuliaji wa kimataifa wa Nigeria, Victor Osimhen, anayekipiga Galatasaray, huku klabu hiyo ikiendelea kutafuta nyongeza kubwa katika safu yake ya …
Fountain Gate Yatuma Ujumbe Mzito, Haina Wasiwasi Ligi Kuu Licha Yakufungiwa Kusajili
Fountain Gate FC imeingia katika msimu mpya wa Ligi Kuu Tanzania Bara ikiwa haijasajili mchezaji mpya katika dirisha kubwa kutokana na adhabu ya kufungiwa madirisha mawili ya usajili, lakini uongozi …


