NyumbaniFootballSouth America

South America

HABARI ZAIDI

Uchambuzi EPL: Arsenal vs Aston Villa

0
Arsenal watakuwa na lengo la kuendeleza rekodi yao ya kutofungwa katika michezo sita waliyocheza mpaka sasa pale watakapo wakaribisha Aston Villa katika uwanja wa...

Pele Apata Afadhali Baada ya Kufanyiwa Upasuaji

0
Gwiji wa mpira wa miguu nchini Brazil Pele anakaa katika uangalizi wa wagonjwa mahututi lakini anapata ahueni ya kuridhisha baada ya kufanyiwa upasuaji wa...

Messi: Kwanini Wasubiri Mpaka Mechi Ianze?

2
Lionel Messi alikuwa makini sana kwamba Ulimwengu ulikuwa ukifuatilia kinachoendelea kutoka katika mchezo wa Brazil vs Argentina ambao ulihairishwa pale mamlaka zilipoingilia mechi hiyo...

Cavani Kubaki Manchester Baada Uruguay Kufuta Wito Wake

0
Edinson Cavani atabaki Manchester United wakati wa mapumziko ya kimataifa baada ya Uruguay kutangaza uamuzi wao wa kufuta wito wake kwaajili ya michezo ya...

Guardiola Atamani Kufundisha Timu ya Taifa

0
Pep Guardiola ametangaza nia yake ya kuondoka Manchester City na kutafuta fursa katika kiwango cha kimataifa pindi mkataba wake utakapomalizika mwishoni mwa msimu ujao.Guardiola...

Alves Ajibu Kuhusu Onyo la Messi Kwake

0
Leo Messi alisema kwamba amedhamiria kumfikia na kumpita Dani Alves kutwaa mataji kabla ya kustaafu, wakati wa mkutano wake na waandishi wa habari kuwaaga...

Menotti: Maradona Angelia kwa Messi Kushinda Copa America

1
Hisia za ushindi wa Copa America kwa Argentina bado hazijafa na Cesar Luis Menotti anafikiria kuwa ingekuwa wakati maalum kwa marehemu Diego Maradona.Katika mahojiano...

Messi: Mungu Ametusaidia Wakati Huu

0
Lionel Messi alikuwa dimbani Jumamosi usiku kuiongoza timu ya Argentina kwani, baada ya miaka mingi ya mafanikio katika kiwango cha klabu, mwishowe aliweza kunyanyua...

Pumpido: Messi ni Bora Tu Hata Bila Kombe na Argentina

0
Mlinda mlango wa zamani wa Argentina Nery Pumpido, ambaye alishinda Kombe la Dunia la 1986 na Albiceleste, anasisitiza kuwa Lionel Messi ndiye mchezaji bora...

Neymar Awashambulia Wabrazil Watakao Ishangilia Argentina

0
Neymar amewashambulia Wabrazil ambao watakuwa wakiishangilia Argentina wakati wa fainali ya Copa America. Wakazi kadhaa watatarajia kumuona Lionel Messi akiinua kombe hilo tofauti na watu...