Simba Yarudi kwa Elia Mpanzu
Makala iliyopita
Inter Milan na Man United kubadilishana Wachezaji
Makala ijayo
West Ham Wanamtaka Duran
Elia Mpanzu yupo kwenye orodha ya juu ya wachezaji ambao wamekua wanahitajika na klabu hiyo kuelekea msimu wa 2024/25 lakini hawakufanikiwa kutokana na ofa yao kutofika ofa ambayo wanaitaka As Vita, Lakini inaelezwa wametuma ofa ya mwisho ambayo ni dola za kimarekani laki mbili ambayo ni sawa kiasi cha shilingi milioni mia tano na zaidi za Kitanzania.