Thursday, June 8, 2023

Ligue 1

HABARI ZAIDI

Alonso Anawindwa na PSG

0
Kocha wa klabu ya Bayern Leverkusen na gwiji wa zamani wa vilabu vya Real Madrid, Liverpool, na Bayern Munich Xabi Alonso amekua kwenye rada...

PSG Anahitaji Ushindi Pekee Mechi Ijayo Kuwa Bingwa Ligue 1

0
PSG wanakimbilia kutwaa taji lingine la Ligue 1 baada ya kushinda jana mabao 2-1 dhidi ya Auxerre, huku mabao hayo yakitoka kwa Kylian Mbappe.  Nyota...

Lyon Yaongeza Nafasi ya Kucheza Uropa Msimu Ujao

0
Lyon imeongeza nafasi yake ya kupata nafasi ya kucheza Uropa msimu ujao kwa kutoka nyuma na kuambulia ushindi wa 3-1 wa Ligue 1 dhidi...

Messi Kurejea Kesho Dhidi ya Ajaccio

0
Staa wa klabu ya PSG ya nchini Ufaransa na mchezaji bora wa dunia mara saba Lionel Messi kurejea kesho kwenye mchezo wa ligi kuu...

Messi Arejea Mazoezini PSG Baada ya Kwenda Saudi Arabia Bila Ruhusa

0
Lionel Messi amerejea mazoezini na klabu ya Paris St Germain kufuatia kusimamishwa kwake kwa safari isiyoidhinishwa ya kwenda Saudi Arabia.  Klabu hiyo ya Ligue 1...

PSG Yawalaani Mashabiki Wanaoimba Nje ya Nyumba ya Neymar

0
PSG  wamelaani vitendo vya mashbiki wanaodaiwa kukusanyika nje ya nyumba ya Neymar na kuimba nyimbo za kumtaka aondoke katika klabu hiyo.  Imekuwa wiki ya msukosuko...

Messi Kutimka PSG Mwishoni mwa Msimu Huu

0
Staa wa klabu ya PSG Lionel Messi taarifa zinaeleza ataondoka ndani ya klabu hiyo mwishoni mwa msimu huu huku akihushwa na kurejea ndani yake...

PSG Yapoteza Nyumbani, Achraf Alamba Umeme

0
Klabu ya PSG wamepokea kichapo cha mabao 3-1 dhidi ya Lorient hapo jana ambapo baada ya Achraf Hakimi kutolewa nje kwa kadi nyekundu walibaki...

Galtier Alalimikia Nafasi Walizokosa PSG Licha ya Kupata Ushindi

0
Kocha mkuu wa PSG, Christophe Galtier alihisi timu yake wangeweza kupata ushindi mkubwa zaidi baada ya Kylian Mbappe kuweka historia ya Ligue 1 katika...

Mbappe: Mimi ni Mfaransa na Ninataka Kushinda Ligi ya Mabingwa Huko...

0
Kylian Mbappe alikanusha uwezekano wa kuachana mapema na kandarasi yake ya Paris Saint-Germain kwa kutangaza kuwa bado anataka kushinda Ligi ya Mabingwa akiwa na...