Makala nyingine

Winga wa klabu ya Manchester United Mason Greenwood ambaye alikua anakipiga klabu ya Getafe ya nchini Hispania amekaribia kujiunga na klabu ya Olympique Marseille ya nchini Ufaransa. Olympique Marseille ambayo …

Klabu ya PSG inamfukuzia kiungo fundi wa klabu ya Olympique Lyon raia wa kimataifa wa Ufaransa Rayan Cherki ambaye amekua moja ya wachezaji wanaomvutia kocha Luis Enrique. Kocha wa klabu …

Klabu ya PSG mabingwa wa soka nchini Ufaransa nao wameingia kwenye mbio za kumuwinda kiungo wa klabu ya Benfica raia wa kimataifa wa Ureno Joao Neves ambaye anawinda na vilabu …

Aliyekua kocha wa klabu ya Brighton Hove and Albion Roberto De Zerbi raia wa kimataifa wa Italia anakaribia kutua kwenye klabu ya Olympique Marseille inayoshiriki ligi kuu ya Ufaransa maarufu …

Klabu ya PSG inaelezwa ina mipango mikubwa na kiungo wake fundi raia wa kimataifa wa Uholanzi Xavi Simons ambaye anakipiga katika klabu ya Rb Leipzig kwasasa kwa mkopo. PSG wanaelezwa …

Kiungo wa zamani wa Milan na Italia Gennaro Gattuso ametimuliwa na klabu ya Marseille. Vyanzo vingi, ikiwa ni pamoja na L’Equipe na Fabrizio Romano, vinadai bodi ya Olympique Marseille imemfahamisha Gattuso …

Mshambuliaji wa klabu ya PSG Kylian Mbappe inaelezwa mapema asubuhi ya leo amewaaga wachezaji wenzake na kuwaeleza ataondoka ndani ya klabu hiyo mwishoni mwa msimu huu. Mwanzoni mwa wiki hii …

Klabu ya Olympique Lyon imemtimua kocha wake Fabio Grosso baada ya matokeo mabaya ambayo yanaendelea kutokea ndani ya klabu hiyo kwenye michuano mbalimbali. Klabu ya Olympique lyon imefukuza makocha takribani …

Ripoti kutoka Ufaransa zinasema kuwa Fabio Grosso huenda akafutwa kazi na Olympique Lyon hivi karibuni baada ya matokeo kushindwa kuimarika.   Kocha huyo wa Kiitaliano mwenye umri wa miaka 46 …

Kocha wa klabu ya PSG Luis Enrique amesema kua winga wake raia wa kimataifa wa Ufaransa Ousmane Dembele atarejea kwenye kiwango chake bora, Hii ni kutokana na maneno ambayo anatupiwa …

Nuno Mendes Majanga PSG

Beki wa klabu ya PSG na timu ya taifa ya Ureno Nuno Mendes anatarajiwa kua nje ya uwanja kwa kipindi cha miezi minne kutokana na majeraha ambayo ameyapata katika goti …

Kocha wa klabu ya PSG Luis Enrique amezungumza na kumsifia winga wa klabu hiyo kua ni mchezaji mzuri na kusema kua kama angekua shabiki wa timu nyingine angelipa tiketi kwajili …

1 2 3 4 38 39 40