Klabu ya Liverpool imeanza hatua za awali za kutaka kumsajili winga kijana Yan Diomande huku ikikumbana na ushindani mkubwa kutoka kwa Paris Saint-Germain inayomtaka pia nyota huyo mwenye umri wa …
Makala nyingine
Olympique de Marseille wamehakikisha wanamaliza katika nafasi ya tano kwenye Ligue 1 na kufuzu kucheza UEFA Europa League baada ya kuibuka na ushindi mnono wa mabao 3-1 dhidi ya Stade …
Rais wa klabu ya PSG, Nasser Al-Khelaifi, ameipongeza timu hiyo baada ya kutwaa ubingwa wa Ligue 1 kwa mara nyingine, ushindi ambao unaendeleza rekodi yao katika soka la Ufaransa. Taji …
PSG wameshinda ubingwa wa rekodi wa 14 wa ligi ya Ufaransa siku ya Jumatano baada ya kuifunga Lens mabao 2-0, na hivyo kutwaa taji lao la tano mfululizo la Ligue …
Mshambuliaji Pierre-Emerick Aubameyang ameondolewa kikosini na kocha Habib Beye kufuatia tuhuma za utovu mkubwa wa nidhamu uliotokea katika kituo cha mazoezi cha La Commanderie, ambapo klabu ilikuwa imewaweka wachezaji kizuizini …
Mshambuliaji wa Paris Saint-Germain, Ousmane Dembele, ametangazwa kuwa Mchezaji Bora wa Mwaka wa Ligue 1 kwa msimu wa pili mfululizo baada ya kuiongoza timu hiyo kukaribia kutwaa ubingwa wa 14 …
Desire Doue alifunga bao la ushindi mwishoni na kuipa PSG ushindi wa 1-0 dhidi ya Stade Brestois 29, matokeo yaliyowaweka kileleni kwa tofauti ya pointi sita. Luis Enrique alisema mchezo huo ulikuwa …
Mason Greenwood anaelekea kuondoka katika Olympique de Marseille msimu huu wa kiangazi kufuatia kuvunjika kwa uhusiano wake na klabu hiyo, TEAMtalk inaripoti, lakini anaonekana kuwa na uwezekano mdogo wa kurejea …
Mshambuliaji Ansu Fati ni miongoni mwa wachezaji wa FC Barcelona ambao kwa sasa wanacheza mbali na klabu hiyo, akiwa kwa mkopo katika timu ya Ligue 1 AS Monaco. Baada ya …
Leicester City imethibitishwa kushuka daraja hadi League One kwa mara ya pili mfululizo, hali inayokuja takribani muongo mmoja tangu walipotwaa ubingwa wa EPL. Matokeo hayo yanaashiria anguko kubwa kwa klabu …
Klabu ya PSG imeibuka kuwa miongoni mwa timu zinazomuwania kiungo wa Manchester City, Bernardo Silva, anayetarajiwa kuondoka mwishoni mwa msimu huu baada ya kuitumikia klabu hiyo kwa takribani miaka tisa. …
Mshambuliaji wa Paris Saint-Germain, Bradley Barcola, amerejea rasmi katika kikosi cha timu hiyo kuelekea mchezo wa marudiano wa robo fainali ya UEFA Champions League dhidi ya Liverpool FC. Taarifa iliyotolewa …
Nahodha wa Taifa Stars, Mbwana Samatta, hatimaye amefungua akaunti ya mabao akiwa na Le Havre AC baada ya kufunga katika sare ya 1-1 dhidi ya wapinzani wao kwenye mchezo wa …
Mustakabali wa kocha wa Paris Saint-Germain, Luis Enrique, umeanza kuzua mjadala mkubwa barani Ulaya huku klabu vigogo vya Ligi Kuu ya England vikitajwa kuonyesha nia ya kumtaka. Taarifa zinaeleza kuwa …
Mustakabali wa nyota wa England, Marcus Rashford, umeanza kuwa shakani huku hali ya kifedha ya FC Barcelona ikizua sintofahamu kuhusu hatma yake ya kudumu katika klabu hiyo ya Hispania. Rashford, …
Klabu ya RC Lens imekataa ombi la Paris Saint-Germain la kuahirisha mchezo wao wa ligi, uamuzi unaoongeza presha kwa PSG katika kipindi hiki chenye ratiba ngumu. PSG walikuwa wameomba mechi …
Footmercato wanadai kuwa kocha wa Kiitaliano Roberto De Zerbi ameomba aachiwe mkataba wake na Olympique Marseille kufuatia kutolewa kwao kwenye Ligi ya Mabingwa Ulaya. Timu hiyo ya Ligue 1 ilitupwa …

