Ligue 1

HABARI ZAIDI

Nasser Al Khelaifi: PSG ipo kwenye njia nzuri

0
Rais wa klabu ya PSG Nasser Al Khelafi amesema kua klabu hiyo ipo kwenye muenendo mzuri licha ya kuanza vibaya mashindano yao mbalimbali msimu...

Luis Enrique: Dembele Atafanya Vizuri

0
Kocha wa klabu ya PSG Luis Enrique amesema kua winga wake raia wa kimataifa wa Ufaransa Ousmane Dembele atarejea kwenye kiwango chake bora, Hii...

Nuno Mendes Majanga PSG

0
Beki wa klabu ya PSG na timu ya taifa ya Ureno Nuno Mendes anatarajiwa kua nje ya uwanja kwa kipindi cha miezi minne kutokana...

Enrique Aondoa Hofu ya Kylian Mbappe Kuumia Hapo Jana

0
  Kocha mkuu wa Paris Saint-Germain, Luis Enrique aliondoa wasiwasi wa Kylian Mbappe wa jeraha baada ya mshambuliaji huyo wa Ufaransa kubadilishwa katika ushindi wao...

Luis Enrique Amsifia Dembele

0
Kocha wa klabu ya PSG Luis Enrique amezungumza na kumsifia winga wa klabu hiyo kua ni mchezaji mzuri na kusema kua kama angekua shabiki...

Grosso Akubali Kuwa Kocha Mpya wa Olympique Lyonnais

0
  Vyombo vingi vinaripoti kuwa Fabio Grosso ametia saini rasmi nyaraka zote muhimu za kuchukua nafasi ya kocha mpya wa klabu ya Ligue 1 Olympique...

PSG Yapoteza Mchezo Wake wa Kwanza Jana

0
  Kule Ligi ya Ufaransa klabu ya PSG walipoteza mchezo wao wa kwanza chini ya meneja mpya Luis Enrique walipochapwa 3-2 na Nice licha ya...

Olympique Lyon Wamtimua Blanc

0
Klabu ya Olympique Lyon imetangaza kumfuta kazi aliyekua kocha wake Laurent Blanc baada ya klabu hiyo kutokua na matokeo mazuri katika michezo yake ya...

Lyon Inamchukulia Gattuso Kama Mbadala wa Blanc

0
  Kulingana na ripoti kutoka Ufaransa, Olympique Lyonnais wanamtazama mchezaji wa zamani wa kimataifa wa Italia na kocha wa zamani wa Milan na Napoli Gennaro...

Mbappé Ashangazwa na Ubora wa Mchezaji wa Italia Cher Ndour

0
Kiungo wa kati wa Italia Cher Ndour alicheza mechi yake ya kwanza ya PSG kwa mara ya kwanza Jumapili na kupongezwa na supastaa Kylian...