Kocha wa Manchester City Pep Guardiola amefunguka juu ya mshambuliaji wake kinara Earling Haaland kua nahodha baada ya mshambuliaji huyo kuvaa kitambaa cha unahodha jana kwenye mchezo wa ligi kuu …
Makala nyingine
Kutoka kua mchezo wenye mvuto na ushindani mkubwa mpaka sasa umegeuka kua mchezo ambao unazikutanisha timu zilizopo kwenye nafasi za chini kwenye msimu wa ligi kuu ya Uingereza ni Manchester …
Klabu ya Arsenal imefanikiwa kuicharaza klabu ya Leicester City wakiwa katika uwanja wao wa nyumbani King Power kwa jumla ya mabao mawili kwa bila baada ya mchezo kuonekana kua mgumu …
Ligi kuu yaUingereza iliendelea hapo jana kwa michezo kadhaa lakini mchezo ambao ulikuwa ukisubiriwa ni ule wa mwenyeji Arsenal dhidi ya bingwa mtetezi Manchester City ambao ulimalizika kwa vijana wa …
Mchezaji wa kimataifa wa Italia Federico Chiesa anaripotiwa kuwaomba Liverpool wamruhusu aondoke kwa mkopo mwezi Januari ili kupata muda zaidi wa kucheza, huku Milan, Roma na Napoli wote wakimtaka. Winga …
Mohamed Salah alithibitisha thamani yake kwa Liverpool tena alipoiongoza timu kushinda 5-0 dhidi ya West Ham na kuzidi kukaa kileleni kwenye msimamo wa EPL. Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka …
Kocha wa Manchester Ruben Amorim amezungumza kuhusu kiungo wake raia wa kimataifa wa Uingereza Mason Mount kua bado hajawa fiti kurejea uwanjani kwakua bado anasumbuliwa na majeraha. Kiungo Mason Mount …
Tottenham ilifanya vyema huko pwani ya kusini ambapo James Maddison alifunga mara mbili na kumletea kocha Ange Postecoglou ushindi muhimu katika Ligi Kuu ya Uingereza, matokeo ambayo yaliongeza shinikizo kwa …
Chelsea ilijizolea pointi tatu muhimu dhidi ya Brentford kwa kushinda 2-1 katika Uwanja wa Stamford Bridge na hivyo kujitengenezea nafasi ya kuwania ubingwa wa Ligi Kuu ya England. Kocha mkuu …
Klabu ya Wolves imemfuta kazi kocha wake Gary O’neil mapema leo baada ya muendelezo mbaya wa klabu hiyo kunako ligi kuu ya Uingereza wakiwa kwenye nafasi mbaya kwenye msimamo wa …
Klabu ya Simba leo inaingia vitani kuhakikisha inapata alama zote tatu leo dhidi ya klabu ya CS Sfaxien kutoka nchini Tunisia kwenye mchezo wa kombe la shirikisho barani Afrika mchezo …
Kocha wa klabu ya Manchester City Pep Guardiola amesema hataki kuondoka ndani ya klabu hiyo ikiwa kwenye hali ambayo inapitia kwasasa kwani anaamini anaweza kuweka vitu sawa na timu hiyo …
Leo unapigwa mchezo mkali pale kwenye ligi kuu ya Uingereza ambapo unakutanisha timu mbili kutoka jiji moja yaani Manchester derby ambapo Man city watakua nyumbani kuwakaribisha majirani zao Man United. …
Vilabu vya Arsenal na Liverpool vimebanwa koo katika michezo yao ya ligi kuu ya Uingereza waliyocheza leo baada ya kujikuta wakidondosha alama katika michezo ambayo walicheza katika viwanja vyao vya …
Kocha wa klabu ya Manchester City Pep Guardiola ameweka wazi hana mpango wa kufundisha klabu nyingine yeyote baada ya kumaliza mkataba wa ndani ya klabu hiyo mabingwa watetezi wa ligi …
Staa wa klabu ya Liverpool raia wa kimataifa wa Misri Mohamed Salah amefanikiwa kutwaa tuzo ya mchezaji bora wa mwezi wa ligi kuu ya Uingereza kwa mwezi Novemba kutokana na …
Klabu ya Manchester United baada ya kuachana na mkurugenzi wake wa michezo raia wa kimataifa wa Uingereza Dan Ashowrth inaelezwa kwasasa wanamfukuzia mkurugenzi wa michezo wa Atletico Madrid ya nchini …