Golikipa namba moja wa klabu ya Manchester City raia wa kimataifa wa Brazil Ederson Moraes ana hatihati ya kutimka ndani ya klabu hiyo mabingwa wa Uingereza. Ederson inaelezwa yupo kwenye …
Makala nyingine
Klabu ya Arsenal imethibitisha kua kinda wake Chido Obi Martin (16) ataondoka klabuni hapo na kuelekea timu nyingine baada ya kushindwa kumshawishi kubakia kwenye timu hiyo. Arsenal wanaelezwa walijitahidi kwa …
Klabu ya Manchester United na kiungo wa kimataifa wa Uruguay Manuel Ugarte ambaye anakipiga ndani ya klabu ya PSG inaelezwa ni suala la muda kwa kiungo kujiunga na Mashetani wekundu. …
Beki mpya wa klabu ya Manchester United mwenye umri wa miaka (18) Leny Yoro ambaye amesajiliwa kutoka klabu ya Lille ya nchini Ufaransa amefanikiwa kufanya mazoezi na kikosi cha timu …
Klabu ya Crystal Palace wana mpango wa kuhakikisha wanapata saini ya kiungo wa klabu ya Arsenal Emile Smith Rowe ambaye amekua hapati nafasi ya kutosha ndani ya klabu hiyo. Kiungo …
Klabu ya Chelsea inaelezwa ina mpango wa kumsajili golikipa namba mbili wa klabu ya Real Madrid Andrey Lunin kwajili ya kua golikipa namba moja ndani ya klabu hiyo msimu ujao. …
Klabu ya Manchester United sasa inatarajiwa kurudi kwa mlinzi wa klabu ya Everton raia wa kimataifa wa Uingereza Jarrad Branthwaite ambaye dili lake lilishindikana siku kadhaa nyuma. Baada ya kumsajili …
Klabu ya Manchester United baada ya kukamilisha dili beki wa kimataifa wa Ufaransa Leny Yoro mwenye umri wa miaka (18) sasa wanahamia kwa kiungo wa kimataifa wa Uruguay Manuel Ugarte. …
Klabu ya Liverpool imeongeza kocha mwingine raia wa Uholanzi kwenye benchi lao la ufundi baada ya kumchukua kocha raia wa kimataifa wa Uholanzi Arne Slot. Liverpool wamemuongeza John Heitinga kwenye …
Baada ya upinzani mkali na majadiliano ya muda mrefu hatimae klabu ya Manchester United iko mbioni kukamilisha dili la beki kinda mwenye uwezo mkubwa Leny Yoro (18) kutokea Lille ya …
Klabu ya Manchester United inaweza kupindua meza mbele ya Real Madrid kwa kumsajili kinda wa kimataifa wa Ufaransa mwenye umri (18) Leny Yoro anayekipiga ndani ya klabu ya Lille. Kinda …
Kocha wa klabu ya Manchester United Erik Ten Hag ameweka wazi kumaliza matatizo yake na winga wa klabu hiyo Jadon Sancho ambayo walikua nayo kwa kipindi cha miezi tisa nyuma. …
Aliyekua kocha wa timu ya taifa ya Uingereza Gareth Southgate ametangaza kuachana na kikosi cha timu ya taifa ya Uingereza ambacho amehudumu kwa takribani miaka nane. Southgate amefanikiwa kuiongoza timu …
Aliyekua mshambuliaji wa klabu ya Bologna ya nchini Italia Joshua Zirkzee ametambulishwa rasmi ndani ya kikosi cha Manchester United mapema leo baada ya kukamilisha taratibu zote. Joshua Zirkzee anajiunga na …
Kiungo mshambuliaji wa klabu ya Rb Leipzig ambaye anakipiga timu ya taifa ya Hispania kwasasa kwenye michuano ya Euro 2024 Dani Olmo ameingia kwenye rada za klabu ya Manchester City. …
Aliyekua beki wa klabu ya Manchester United Willy Kambwala amefanikiwa kujiunga na klabu ya Villarreal ya nchini Hispania baada ya vilabu hivyo viwili kufikia makubaliano. Willy Kambwala (19) ambaye ameanza …
Beki wa kushoto wa klabu ya Manchester United raia wa kimataifa wa Uholanzi Tyrell Malacia amefanikiwa kuanza mazoezi ndani ya klabu hiyo baada ya kukaa nje msimu mzima. Malacia ambaye …