Klabu ya Manchester United ipo kwenye mazungumzo ya kumpa mkataba mpya kinda wake kiungo Kobbie Mainoo ambapo mpaka sasa mazungumzo yanaendelea baina ya pande zote mbili. Manchester United inaelezwa inapanga …
Makala nyingine
Vita ya nafasi nne za juu ligi kuu ya Uingereza inaendelea kupamba moto vibaya sana ambapo klabu ya Tottenham Hotspurs imefanikiwa kuisambaratisha klabu ya Aston Villa leo kwa mabao manne …
Kiungo wa klabu ya Manchester United Mason Mount ambaye amekua akisumbuliwa na majeraha msimu huu inaelezwa atarejea ndani ya timu hiyo baada ya mapumziko ya michezo ya kimataifa. Mason Mount …
Klabu ya Manchester United imetakata kwenye tuzo za mwezi za ligi kuu ya Uingereza ambapo wamefanikiwa kutwaa tuzo mbili kwenye tuzo za mwezi Febuari. Wachezaji wawili wa klabu ya Manchester …
Klabu ya Chelsea imeendelea kuandamwa na majeraha katika kikosi chao haswa katika wachezaji ambao wanaunda kikosi cha kwanza cha klabu hiyo. Beki wa kushoto wa klabu hiyo ambaye ni nahodha …
Klabu ya Chelsea imeingia mawindoni kumtafuta winga wa klabu ya Athletic Club ya nchini Hispania mwenye asili ya Ghana Nico Williams ambaye anafanya vizuri klabuni hapo kwasasa. Winga huyo inaelezwa …
Kocha Pep Guardiola wa Manchester City, Erik Ten Hag wa Man United na Mikel Arteta wa Arsenal kuwania tuzo ya kocha bora wa mwezi Febuari kunako ligi kuu ya Uingereza. …
Taarifa zinaeleza kua kocha wa zamani wa klabu ya Real Madrid Zinedine Zidane ameingia kwenye orodha ya juu ya makocha wanaotarajiwa kuchukua nafasi ya kocha Erik Ten Hag ndani ya …
Kocha wa klabu ya Manchester United Erik Ten Hag bado ameendelea kuamini kua mchezaji wake Antony Santos raia wa kimataifa wa Brazil anaweza kurejesha makali yake ambayo alikua nayo. Winga …
Mshambuliaji wa klabu ya Chelsea raia wa kimataifa wa Ufaransa Christopher Nkunku amepata majeraha tena ambayo inaelezwa yanaweza kumuweka nje ya uwanja kwa wiki tatu mpaka nne. Ikumbukwe Nkunku hana …
Klabu ya Manchester United inaelezwa ina mpango wa kuachana na wachezaji wasiopungua kumi kuelekea dirisha kubwa la mwezi Juni, Katika kuhakikisha wanajenga timu mpya. Uongozi mpya wa klabu ya Manchester …
Winga wa Manchester City Oscar Bobb ameongeza mkataba wake na klabu hiyo hadi 2029 kuitumikia klabu hiyo. Mchezaji huyo wa kimataifa wa Norway, mwenye miaka 20, amecheza mechi 16 hadi …
Jarrod Bowen alionyesha furaha yake kwa kufunga hat-trick ya kwanza katika maisha yake ya soka katika ushindi wa 4-2 wa West Ham nyumbani dhidi ya Brentford. Mshambuliaji huyo wa Uingereza …
Mkufunzi wa Manchester United Erik ten Hag alilaumu makosa makubwa baada ya Fulham kupata ushindi wa dakika za lala salama katika uwanja wa Old Trafford na kuwafanya wageni kunyakua pointi …
Mshambulaiji wa klabu ya Manchester United ambaye amekua tegemezi sana klabuni hapo hivi karibuni Rasmus Hojlund amepata maejara ya misuli ambayo yanakadiriwa yatamuekea nje ya uwanja kwa takribani wiki mbili …
Klabu ya Liverpool imeendelea kuandamwa na wimbi la majeraha kwa wachezaji wake baada ya kocha wa klabu hiyo Jurgen Klopp kuweka wazi idadi ya wachezaji wenye majeraha klabuni hapo. Kocha …
Roy Hodgson amejiuzulu wadhifa wake kama mkufunzi wa Crystal Palace huku klabu hiyo ikiwa juu kwa pointi tano tu kutoka eneo la kushuka daraja la EPL. Huku kukiwa na uvumi …