Makala nyingine

Golikipa namba moja wa klabu ya Manchester City raia wa kimataifa wa Brazil Ederson Moraes ana hatihati ya kutimka ndani ya klabu hiyo mabingwa wa Uingereza. Ederson inaelezwa yupo kwenye …

Klabu ya Arsenal imethibitisha kua kinda wake Chido Obi Martin (16) ataondoka klabuni hapo na kuelekea timu nyingine baada ya kushindwa kumshawishi kubakia kwenye timu hiyo. Arsenal wanaelezwa walijitahidi kwa …

Klabu ya Chelsea inaelezwa ina mpango wa kumsajili golikipa namba mbili wa klabu ya Real Madrid Andrey Lunin kwajili ya kua golikipa namba moja ndani ya klabu hiyo msimu ujao. …

Aliyekua kocha wa timu ya taifa ya Uingereza Gareth Southgate ametangaza kuachana na kikosi cha timu ya taifa ya Uingereza ambacho amehudumu kwa takribani miaka nane. Southgate amefanikiwa kuiongoza timu …

Aliyekua mshambuliaji wa klabu ya Bologna ya nchini Italia Joshua Zirkzee ametambulishwa rasmi ndani ya kikosi cha Manchester United mapema leo baada ya kukamilisha taratibu zote. Joshua Zirkzee anajiunga na …

Kiungo mshambuliaji wa klabu ya Rb Leipzig ambaye anakipiga timu ya taifa ya Hispania kwasasa kwenye michuano ya Euro 2024 Dani Olmo ameingia kwenye rada za klabu ya Manchester City. …

Aliyekua beki wa klabu ya Manchester United Willy Kambwala amefanikiwa kujiunga na klabu ya Villarreal ya nchini Hispania baada ya vilabu hivyo viwili kufikia makubaliano. Willy Kambwala (19) ambaye ameanza …

Beki wa kushoto wa klabu ya Manchester United raia wa kimataifa wa Uholanzi Tyrell Malacia amefanikiwa kuanza mazoezi ndani ya klabu hiyo baada ya kukaa nje msimu mzima. Malacia ambaye …

1 2 3 4 342 343 344