Kocha wa Manchester Ruben Amorim amezungumza kuhusu kiungo wake raia wa kimataifa wa Uingereza Mason Mount kua bado hajawa fiti kurejea uwanjani kwakua bado anasumbuliwa na majeraha. Kiungo Mason Mount …
Makala nyingine
Tottenham ilifanya vyema huko pwani ya kusini ambapo James Maddison alifunga mara mbili na kumletea kocha Ange Postecoglou ushindi muhimu katika Ligi Kuu ya Uingereza, matokeo ambayo yaliongeza shinikizo kwa …
Chelsea ilijizolea pointi tatu muhimu dhidi ya Brentford kwa kushinda 2-1 katika Uwanja wa Stamford Bridge na hivyo kujitengenezea nafasi ya kuwania ubingwa wa Ligi Kuu ya England. Kocha mkuu …
Klabu ya Wolves imemfuta kazi kocha wake Gary O’neil mapema leo baada ya muendelezo mbaya wa klabu hiyo kunako ligi kuu ya Uingereza wakiwa kwenye nafasi mbaya kwenye msimamo wa …
Klabu ya Simba leo inaingia vitani kuhakikisha inapata alama zote tatu leo dhidi ya klabu ya CS Sfaxien kutoka nchini Tunisia kwenye mchezo wa kombe la shirikisho barani Afrika mchezo …
Kocha wa klabu ya Manchester City Pep Guardiola amesema hataki kuondoka ndani ya klabu hiyo ikiwa kwenye hali ambayo inapitia kwasasa kwani anaamini anaweza kuweka vitu sawa na timu hiyo …
Leo unapigwa mchezo mkali pale kwenye ligi kuu ya Uingereza ambapo unakutanisha timu mbili kutoka jiji moja yaani Manchester derby ambapo Man city watakua nyumbani kuwakaribisha majirani zao Man United. …
Vilabu vya Arsenal na Liverpool vimebanwa koo katika michezo yao ya ligi kuu ya Uingereza waliyocheza leo baada ya kujikuta wakidondosha alama katika michezo ambayo walicheza katika viwanja vyao vya …
Kocha wa klabu ya Manchester City Pep Guardiola ameweka wazi hana mpango wa kufundisha klabu nyingine yeyote baada ya kumaliza mkataba wa ndani ya klabu hiyo mabingwa watetezi wa ligi …
Staa wa klabu ya Liverpool raia wa kimataifa wa Misri Mohamed Salah amefanikiwa kutwaa tuzo ya mchezaji bora wa mwezi wa ligi kuu ya Uingereza kwa mwezi Novemba kutokana na …
Klabu ya Manchester United baada ya kuachana na mkurugenzi wake wa michezo raia wa kimataifa wa Uingereza Dan Ashowrth inaelezwa kwasasa wanamfukuzia mkurugenzi wa michezo wa Atletico Madrid ya nchini …
Kocha wa Manchester City Pep Guardiola amesema kitu pekee anakifanya kwasasa ni kuhakikisha anawapa ushirikiano wachezaji wake kwa kuwapa moyo kutokana na kipindi kigumu ambacho wanapitia klabu hiyo mabingwa watetezi …
Tottenham ilipoteza nafasi zaidi kwenye Ligi Kuu baada ya kutoka sare ya 1-1 nyumbani dhidi ya Fulham. Baada ya kipindi cha kwanza kilichokuwa cha usawa, Spurs walipata goli la kuongoza …
Chelsea iliendelea kuonyesha kiwango kizuri chini ya kocha mkuu Enzo Maresca baada ya kuwafunga Aston Villa kwa 3-0 uwanjani Stamford Bridge, na hivyo kuendelea kwa mfululizo wa mechi nane za …
Liverpool waliongeza alama tisa mbele kileleni mwa Ligi Kuu ya England baada ya ushindi wa 2-0 dhidi ya Manchester City, timu iliyojaa machafuko. Hilo kwamba timu ya Pep Guardiola sasa …
Huu ni mwaka wa shetani kwa klabu ya Manchester City na kocha Pep Guardiola kwani leo tena mbele ya klabu ya Liverpool wamekubali kichapo cha mabao mawili kwa bila katika …
Manchester United ya asali na maziwa imerejea ndio kauli pekee unaweza kuitumia kwasasa ambapo klabu hiyo leo imetimiza mchezo wake saba bila kupoteza kwenye michuano yote baada ya kuibamiza Everton …