NyumbaniFootballPremier League

Premier League

HABARI ZAIDI

Manchester United Yawapiga Pini Waandishi

0
Klabu ya Manchester United imeeleza kua imewapiga marufuku baadhi ya waandishi na vyombo vya habari nchini Uingereza kutokana na kuchapisha habari bila kuwasiliana na...

Newcastle Kuingia Sokoni Kutafuta Golikipa

0
Klabu ya Newcastle United watalazimika kuingia sokoni kwenye dirisha dogo la mwezi Januari kwajili ya kusajili golikpa mpya atakaevaa viatu vya Nick Pope aliyepata...

Ten Hag Yupo Kikaangoni

0
Kocha wa klabu ya Manchester United Erik Ten Hag anaelezwa yupo kwenye kikaango ndani ya klabu hiyo kutokana na mwendendo wa timu hiyo kwasasa. Ten...

Wolves Kukiwasha Dhidi ya Burnley

0
Mechi nyingine ya Ligi kuu ya Uingereza EPL, ambayo inatarajiwa kupigwa hii leo ni ile ambayo inawakutanisha Wolves dhidi ya Burnley majira ya saa...

Arsenal Ugenini Leo Dhidi ya Luton Town

0
Ligi kuu ya Uingereza, EPL inatarajiwa kuendelea hii leo ambapo vinara wa ligi hiyo Arsenal baada ya kushinda mchezo wao uliopita, leo hii watakuwa...

Pochettino Awasifu Wachezaji Kwa Ushindi Dhidi ya Brighton

0
Mauricio Pochettino alikiri kuwa timu yake iliachwa na uchovu baada ya ushindi wa 3-2 dhidi ya Brighton kwenye Ligi ya kuu ya EPL.  Wenyeji walianza...

Iraola Ajutia Kukosa Nafasi Katika Sare Dhidi ya Villa

0
Andoni Iraola alijutia kukosa nafasi kwa timu yake ya Bournemouth walipotoka sare ya 2-2 na Aston Villa.  The Cherries walisalimu amri kwa kikosi cha Unai...

Guardiola Akataa Kutoa Maoni Juu ya Arteta Baada ya Kutoa Sare...

0
Pep Guardiola anasisitiza kuwa hatatoa neno juu ya Mikel Arteta baada ya uamuzi tata wa mwamuzi katika sare ya 3-3 na Manchester City dhidi...

Ten Hag Aendelea Kumkingia Kifua Rashford

0
Kocha wa klabu ya Manchester United Erik Ten Hag ameendelea kumkingia kifua mshambuliaji wa kimataifa wa Uingereza ambaye amekua chini ya kiwango msimu huu. Ten...

Manchester United Majanga Matupu

0
Baada ya kuambulia suluhu katika mchezo wa ligi ya mabingwa ulaya dhidi ya Galatasaray,  Jana Manchester United wameendelea walipoishia kwani wamepoteza mchezo wa ligi...