Monday, March 13, 2023
NyumbaniFootballPremier League

Premier League

HABARI ZAIDI

Ten Hag Awataka Man Utd Kuonyesha Uthabiti Dhidi ya Southampton

0
Kocha wa Manchester United Erik Ten Hag amesema kuwa lazima timu yake iendelee kuonyesha uthabiti wao msimu unapoelekea tamati.   Kipigo cha 7-0 kutoka kwa Liverpool...

Kane Awaka Spurs Ikiua

0
Mshambuliaji wa klabu ya Tottenham Hotspurs Harry Kane ametakata katika mchezo wa ligi kuu ya Uingereza dhidi ya Nottingham Forest huku klabu yake ikipata...

Chelsea Gari Limewaka

0
Klabu ya Chelsea sasa ni kama gari limewaka baada ya kupata alama tatu muhimu katika mchezo wa leo dhidi ya klabu ya Leicester City...

Liverpool Yapigwa na Kitu Kizito

0
Klabu ya Liverpool imekumbana na wakati mgumu baada ya kutoka kwenye wikiendi nzuri baada ya kuifunga klabu ya Manchester United kwa mabao 7-0  katika...

Conte Awakosoa Mashabiki Asema Uvumilivu Umekwisha

0
Antonio Conte anaamini Tottenham wako tayari kuwa na subira naye lakini mashabiki wasio wa kweli wa Spurs hawako tayari.   Shinikizo linaongezeka kwa Conte kufuatia mwenendo...

Guardiola Awataka Wachezaji Wakubwa Wawe na Tabia Nzuri

0
Pep Guardiola anataka kumuona Kyle Walker na kila mtu katika timu yake ya Manchester City wakifanya kama watu wazima lakini akasisitiza kwamba hatakiwi kudhibiti...

Guardiola: “Haaland Anaweza Kucheza Uingereza, Ujerumani, Congo Na Kokote Kule”

0
Pep Guardiola anaamini Erling Haaland anaweza kuzoea mchezo wake kucheza katika nchi yoyote baada ya msimu wa kwanza wa kuvutia kwenye Ligi kuu ya...

Guardiola Apiga Mkwara Wachezaji Wake Baada ya Kitendo cha Walker

0
Kocha wa Klabu ya Manchester City Pep Guardiola amewaonya wachezaji wa klabu yake kua wasitarajie faragha baada ya kufanya vitendo ambavyo sio vya kinidhamu...

Klopp Alishangazwa na Maamuzi ya Firmino

0
Kocha wa Liverpool Jurgen Klopp amesema alishangazwa na kitendo cha mshambuliaji wa kimataifa wa Brazil Roberto Firmino kuamua kuondoka ndani ya klabu hiyo baada...

Eriksen Kurejea Msimu huu

0
Kiungo wa klabu ya Manchester United Christian Eriksen kurejea tena klabuni hapo ndani ya msimu huu baada ya kupata majeraha kwa mujibu wa kocha...