Manchester United Kinachofuata ni Manuel Ugarte
Makala iliyopita
Rabiot Anapatikana Bure Kabisa
Makala ijayo
YANGA HAOOO AFRIKA KUSINI
Mashetani Wekundu wamekua na mazungumzo na klabu ya PSG juu ya kiungo Ugarte na mazungumzo yanaelezwa kua chanya japo makubaliano hayajafikiwa bado, Lakini mipango ya klabu hiyo ni kuhakikisha wanamalizana na kiungo wa kimataifa wa Uruguay siku za hivi karibuni.