Bondia kutoka Tanzania Hassan Mwakinyo amefungiwa mwaka mmoja kushiriki mchezo huo baada ya kugomea kupanda ulingoni katika pambano lake lililopangwa kufanyika tarehe 29 mwezi Septemba. Mwakinyo amefungiwa mwaka mmoja kutoshiriki …
Makala nyingine
Bendera ya Tanzania 🇹🇿 itapeperushwa tena usiku wa leo usiku kwenye hatua ya robo fainali mashindano ya kufuzu Olimpiki ya Paris 2024 kwa Bara la Africa ambapo mabondia 3 watapanda …
Shirikisho la Ngumi Tanzania (BFT) kwa kushirikiana na Chama cha Ngumi Mkoa wa Tanga waadhimisha siku ya kimataifa ya Ngumi Duniani (27 August) katika Jiji la Tanga. Makamu wa Raisi …
Bondia wa Tanzania ambaye alijizolea umaarufu mkubwa kabisa kwa vituko vyake, na ucheshi wake Karim Mandonga amepoteza pambano lake la 3 mfululizo. Pambano hilo lilikuwa likipigwa huko Visiwani Zanzibar …
Rais wa Shirikisho la Ngumi Tanzania BFT na mjumbe wa bodi ya wakurugenzi wa Shirikisho la Ngumi Afrika AFBC Ndg. Lukelo Willilo aitembelea na kula chakula cha mchana cha pamoja …
Bingwa wa WBF Inter-continental ni Asemahle Wellem baada ya kumpiga Twaha Kiduku kwa pointi kufuatia uamuzi wa majaji wote watatu kumpa ushindi. Tembelea duka la ubashiri-Meridianbet kutandika jamvi lako kwa …
Chimbuko la Vipaji laibua kina Mandonga wapya, huku wachezaji 137 washiriki jumla ya fainali 14 kupigwa Tandale jijini Dar es salaam. Fainali za Mashindano ya Taifa ya Ubingwa wa …
Saul ‘Canelo’ Alvarez alikuwa karibu na David Benavidez baada ya ushindi wake wa upande mmoja dhidi ya Caleb Plant siku ya jana. Benavidez alidai ushindi wa uamuzi wa pamoja …
Mabondia wanawake wanaoiwakilisha Tanzania kwa mara ya kwanza katika mashindano ya 13 ya Ubingwa wa Dunia (IBA) wameendelea na mazoezi mepesi jana jioni kujiweka sawa kwa mapambano yao. Leo …
Kila kitu kipo tayari kwa Tyson Fury kurejea uringoni huku akijiandaa kukamilisha mchezo wake wa tatu dhidi ya Derek Chisora ​​usiku wa leo. Mfalme wa Uringo ‘Gypsy King’ awali …
Bondia wa ngumi za kulipwa nchini, Karim Mandonga amefunguka kuwa hawezi na hana mpango tena wa kurejea katika kazi yake ya kupiga debe kwa kuwa Mungu amefungulia ridhiki nyengine kupitia …
Mpiganaji masumbwi uzito wa juu Deontay Wilder amesema anataka kupigana na Anthony Joshua bondia raia wa Uingereza mwenye asili ya Nigeria barani Afrika akiamini bado ni pambano namba moja. Deontay …
Anthony Joshua bondia wa uzito wa juu na bingwa wa zamani wa mikanda ya dunia kama WBA,IBF,WBO, na IBO amesema yuko tayari kupambana na Tyson Furry. Bondia huyo mwenye asili …
BONDIA namba moja nchini Hassan Mwakinyo, kesho Jumamosi Septemba anatarajia kupanda ulingoni kuzichapa na bondia Liam Smith wa Uingereza katika ukumbi wa M&S Bank Arena ndani ya jiji la Liverpool …
Chris Eubank Jr amethibitisha kuwa babake atakuwa kwenye kona yake katika pambano lake dhidi ya Conor Benn mnamo Oktoba 8. Eubank Sr atapigana na Nigel Benn katika kona nyingine, ambaye …
Liverpool na Rangers wapo kundi moja Ligi ya Mabingwa ya Uingereza hatua ya makundi; Erling Haaland kuwakabiri tena waajiri wake wa zamani Borussia Dortmund; Chelsea kukutana na Milan, Salzburg na …
Tyson Fury tayari yuko kwenye mazungumzo ya kumenyana na Oleksandr Usyk katika pambano lisilopingika la ubingwa wa uzito wa juu mwezi Desemba usiku wa kuamkia fainali ya Kombe la Dunia …