Makala nyingine

Nahodha wa kikosi cha Faru Weusi wa Ngorongoro Yusuf Changalawe amefanikiwa kutinga hatua ya nusu fainali baada ya kumchakaza mpinzani wake Abdelgawwad Orabi Salah kutoka Misri kwa points 5-0. Huu …

Bondia Yusuf Changalawe ameanza kuipeperusha vyema bendera ya Tanzania baada ya kushinda pambano lake la kwanza dhidi ya Pereira Diego kutoka Venezuela kwa KO round ya kwanza, dakika ya 1 …

Raisi wa Shirikisho la Ngumi Tanzania (BFT) Ndg. Lukelo Willilo amewaongoza wajumbe wa kamati ya utendaji ya Shirikisho kutembelea kambi ya timu ya Taifa ya ngumi iliyopo katika kituo cha …

Wakati Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ikielekeza bondia Hassan Mwakinyo kupelekewa wito wa kufika mahakamani kupitia gazeti la Mwananchi kufuatia kesi ya madai inayomkabili. Huku ikidaiwa kuwa bondia Mwakinyo akishindwa …

Bondia kutoka Tanzania Hassan Mwakinyo amefungiwa mwaka mmoja kushiriki mchezo huo baada ya kugomea kupanda ulingoni katika pambano lake lililopangwa kufanyika tarehe 29 mwezi Septemba. Mwakinyo amefungiwa mwaka mmoja kutoshiriki …

Bondia wa Tanzania ambaye alijizolea umaarufu mkubwa kabisa kwa vituko vyake, na ucheshi wake Karim Mandonga amepoteza pambano lake la 3 mfululizo.   Pambano hilo lilikuwa likipigwa huko Visiwani Zanzibar …

1 2 3 4 13 14 15
Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.