NyumbaniBoxing

Boxing

HABARI ZAIDI

Tanzania Yasherekea Siku ya Ngumi Duniani Tanga

0
Shirikisho la Ngumi Tanzania (BFT) kwa kushirikiana na Chama cha Ngumi Mkoa wa Tanga waadhimisha siku ya kimataifa ya Ngumi Duniani (27 August) katika...

Mandonga Apoteza Pambano la 3 Mfululizo

0
Bondia wa Tanzania ambaye alijizolea umaarufu mkubwa kabisa kwa vituko vyake, na ucheshi wake Karim Mandonga amepoteza pambano lake la 3 mfululizo.  Pambano hilo lilikuwa...

RAIS BFT AITEMBELEA KAMBI YA TIMU YA TAIFA CAMEROON

0
Rais wa Shirikisho la Ngumi Tanzania BFT na mjumbe wa bodi ya wakurugenzi wa Shirikisho la Ngumi Afrika AFBC Ndg. Lukelo Willilo aitembelea na...

Twaha Kiduku Aomba Radhi, Mandonga Akalishwa kwa TKO

0
Bingwa wa WBF Inter-continental ni Asemahle Wellem baada ya kumpiga Twaha Kiduku kwa pointi kufuatia uamuzi wa majaji wote watatu kumpa ushindi. Tembelea duka...

Fainali Ubingwa wa Wazi wa Taifa Kufanyika Leo

0
Chimbuko la Vipaji laibua kina Mandonga wapya, huku wachezaji 137 washiriki jumla ya fainali 14 kupigwa Tandale jijini Dar es salaam.  Fainali za Mashindano ya...

Benavidez Analenga Pambano la Canelo Baada ya Kumshinda Plant

0
Saul 'Canelo' Alvarez alikuwa karibu na David Benavidez baada ya ushindi wake wa upande mmoja dhidi ya Caleb Plant siku ya jana.  Benavidez alidai ushindi...

Beatrice na Rahma Waendelea na Mazoezi Mepesi

0
Mabondia wanawake wanaoiwakilisha Tanzania kwa mara ya kwanza katika mashindano ya 13 ya Ubingwa wa Dunia (IBA) wameendelea na mazoezi mepesi jana jioni kujiweka...

Pambano la Tyson Fury vs Chisora Leo| Rekodi Zao Zipo Hivi

0
Kila kitu kipo tayari kwa Tyson Fury kurejea uringoni huku akijiandaa kukamilisha mchezo wake wa tatu dhidi ya Derek Chisora ​​usiku wa leo.  Mfalme wa...

Mandonga Akataa Kupiga Debe Tena Msavu

0
Bondia wa ngumi za kulipwa nchini, Karim Mandonga amefunguka kuwa hawezi na hana mpango tena wa kurejea katika kazi yake ya kupiga debe kwa...

Deontay Wilder: Anataka Kupigana na Anthony Joshua.

0
Mpiganaji masumbwi uzito wa juu Deontay Wilder amesema anataka kupigana na Anthony Joshua bondia raia wa Uingereza mwenye asili ya Nigeria barani Afrika akiamini...