Maisha ya Carlos Ulberg ni hadithi ya kupanda kutoka mazingira magumu hadi kilele cha mafanikio. Akiwa mtoto, alikulia kwenye nyumba za malezi nchini New Zealand, akihama kati ya familia nyingi …
Makala nyingine
Pambano la tatu kati ya Oleksandr Usyk na Tyson Fury bado halijakatiwa tamaa, lakini sasa limewekewa masharti mazito. Baada ya kumpa Fury kipigo cha kwanza na cha pili mwaka 2024, …
Anthony Joshua alimshinda Jake Paul kwa knockout (KO) katika raundi ya sita ya pambano lililofanyika Miami, ingawa pambano hilo kwa ujumla halikuwavutia wengi. Katika mapambano hayo, Joshua alimwangusha Paul chini …
Nahodha wa kikosi cha Faru Weusi wa Ngorongoro Yusuf Changalawe amefanikiwa kutinga hatua ya nusu fainali baada ya kumchakaza mpinzani wake Abdelgawwad Orabi Salah kutoka Misri kwa points 5-0. Huu …
Matokeo ya kushangaza ya Majaji usiku wa jana yalimnyima Ushindi Nahodha wa Timu ya Taifa ya Ngumi za Ridhaa nchini Yusuf Changalawe baada ya kupoteza kwa points katika hatua ya …
Bondia Yusuf Changalawe ameanza kuipeperusha vyema bendera ya Tanzania baada ya kushinda pambano lake la kwanza dhidi ya Pereira Diego kutoka Venezuela kwa KO round ya kwanza, dakika ya 1 …
Raisi wa Shirikisho la Ngumi Tanzania (BFT) Ndg. Lukelo Willilo amewaongoza wajumbe wa kamati ya utendaji ya Shirikisho kutembelea kambi ya timu ya Taifa ya ngumi iliyopo katika kituo cha …
Wakati Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ikielekeza bondia Hassan Mwakinyo kupelekewa wito wa kufika mahakamani kupitia gazeti la Mwananchi kufuatia kesi ya madai inayomkabili. Huku ikidaiwa kuwa bondia Mwakinyo akishindwa …
Bondia kutoka Tanzania Hassan Mwakinyo amefungiwa mwaka mmoja kushiriki mchezo huo baada ya kugomea kupanda ulingoni katika pambano lake lililopangwa kufanyika tarehe 29 mwezi Septemba. Mwakinyo amefungiwa mwaka mmoja kutoshiriki …
Bendera ya Tanzania 🇹🇿 itapeperushwa tena usiku wa leo usiku kwenye hatua ya robo fainali mashindano ya kufuzu Olimpiki ya Paris 2024 kwa Bara la Africa ambapo mabondia 3 watapanda …
Shirikisho la Ngumi Tanzania (BFT) kwa kushirikiana na Chama cha Ngumi Mkoa wa Tanga waadhimisha siku ya kimataifa ya Ngumi Duniani (27 August) katika Jiji la Tanga. Makamu wa Raisi …
Bondia wa Tanzania ambaye alijizolea umaarufu mkubwa kabisa kwa vituko vyake, na ucheshi wake Karim Mandonga amepoteza pambano lake la 3 mfululizo. Pambano hilo lilikuwa likipigwa huko Visiwani Zanzibar …
Rais wa Shirikisho la Ngumi Tanzania BFT na mjumbe wa bodi ya wakurugenzi wa Shirikisho la Ngumi Afrika AFBC Ndg. Lukelo Willilo aitembelea na kula chakula cha mchana cha pamoja …
Bingwa wa WBF Inter-continental ni Asemahle Wellem baada ya kumpiga Twaha Kiduku kwa pointi kufuatia uamuzi wa majaji wote watatu kumpa ushindi. Tembelea duka la ubashiri-Meridianbet kutandika jamvi lako kwa …
Chimbuko la Vipaji laibua kina Mandonga wapya, huku wachezaji 137 washiriki jumla ya fainali 14 kupigwa Tandale jijini Dar es salaam. Fainali za Mashindano ya Taifa ya Ubingwa wa …
Saul ‘Canelo’ Alvarez alikuwa karibu na David Benavidez baada ya ushindi wake wa upande mmoja dhidi ya Caleb Plant siku ya jana. Benavidez alidai ushindi wa uamuzi wa pamoja …
Mabondia wanawake wanaoiwakilisha Tanzania kwa mara ya kwanza katika mashindano ya 13 ya Ubingwa wa Dunia (IBA) wameendelea na mazoezi mepesi jana jioni kujiweka sawa kwa mapambano yao. Leo …

