Ferlan Mendy Yupo Sana Madrid
Makala iliyopita
Inter Wamtambua Beki Mchanga wa Ligue 1 Kama Mbadala wa Kiwior
Makala ijayo
Juventus Bado Wanataka Kumuuza Chiesa
Beki huyo raia wa kimataifa wa Ufaransa amekua akihusishwa kutimka klabuni hapo baada ya Real Madrid kuhusishwa na beki wa klabu ya Bayern Munich Alphonso Davies, Lakini mpaka sasa inaonekana mchezaji huyo ataendelea kusalia ndani ya mabingwa hao wa ulaya.