Monday, March 20, 2023
NyumbaniSport Today

Sport Today

HABARI ZAIDI

Inzaghi Akasirika Baada ya VAR Kuamua Ushindi Wenye Utata

0
Kocha mkuu wa Inter Simone Inzaghi anahisi kuwa timu yake walionyesha "kutokuwa na heshima" baada ya ukaguzi wa VAR kuamua kuruhusu ushindi wa utata...

Tomiyasu Anaweza Asirudi Msimu Huu Lakini Arteta Ana Matumaini Makubwa Juu...

0
Kocha mkuu wa Arsenal Mikel Arteta hana uhakika kama Takehiro Tomiyasu atarejea kutoka kwa jeraha msimu huu, ingawa ana matumaini The Gunners watapokea habari...

Yanga Yatinga Robo Fainali Kibabe na Kuongoza Kundi D

0
Klabu ya Yanga imetinga hatua ya robo fainali hapo jana kwenye michuano ya Kombe la Shirikisho baada ya kuipasua US Monastir kwa mabao 2-0...

Haller Afurahia Kurejea Uwanjani na Kupachika Mabao

0
Sebastien Haller anasema kurejea uwanjani na kuifungia Borussia Dortmund mabao "yote ni bonasi" baada ya kupona saratani.   Mchezaji huyo wa kimataifa wa Ivory Coast alifunga...

Pioli: “Milan Walianza Vibaya na Kumaliza Vibaya Zaidi”

0
Kocha mkuu wa AC Milan Stefano Pioli anasema Milan watafanya kile kinachohitajika ili kugundua upya kiwango chao, lakini alikiri timu yake "ilianza vibaya na...

Guardiola Ametania Kuwa Kumtoa Haaland Ilikuwa Kuhifadhi Rekodi ya Messi

0
Pep Guardiola alitania kwamba alimtoa Erling Haaland dhidi ya Burnley ili kuhifadhi rekodi ya Lionel Messi.   Mchezaji huyo wa kimataifa wa Norway alifunga hat-trick yake...

Conte Atema Nyongo Spurs

0
Kocha wa klabu ya Tottenham Hotspurs raia wa kimataifa wa Italia Antonio Conte ameamua kutema nyongo baada ya klabu ya Tottenham kutoka sare ya...

Ronaldo Aliipatia Ari Al Nassr Baada ya Kufunga Bao la Kusawazisha

0
Al Nassr walitiwa moyo na mkwaju mzuri wa faulo wa Cristiano Ronaldo walipopambana na kuwashinda Abha kwa mabao 2-1.   Ronaldo alifunga mkwaju wa faulo kutoka...

Arsenal Yaonyesha Nia ya Kumsajili Moussa Diaby

0
Vinara wa Ligi kuu ya Uingereza Arsenal kwa mara nyingine wameonyesha nia yao ya kutaka kumsajili winga wa Bayer Leverkusen Moussa Diaby lakini itabidi...

Ibrahimovic ‘Anajivunia’ Kuwa Mfungaji Bora Mwenye Umri Mkubwa Zaidi wa Serie...

0
Zlatan Ibrahimovic "amejivunia" kuwa mfungaji bora wa Serie A mwenye umri mkubwa, lakini haikuwa faraja baada ya Milan kuchapwa 3-1 na Udinese.   Akiwa na umri...