Ligi kuu ya NBC iliendelea hapo jana kwa mchezo mmoja ambao ulikuwa ukiwakutanisha kati ya Azam FC dhidi ya bingwa mtetezi Yanga majira ya saa 2:30 usiku. Mchezo huo ulipigwa …
Makala nyingine
Amad Diallo alitafakari kuhusu “ndoto iliyotimia” baada ya kufunga bao la ushindi dakika za lala salama na kuwashinda Liverpool 4-3. Mchezaji huyu wa akiba Diallo mwenye miaka 21, alishinda bao …
INAAMINIKA na ipo wazi John Bocco kuwa ndiye mshambuliaji mzawa bora kwenye Ligi Kuu Bara Kwa takribani miaka 10 mfululizo akifunga zaidi ya mabao 100, Huku Wazir Junior akijaribu kufukuzia …
KIUNGO mshambuliaji wa Yanga Aziz KI kasi yake ya kucheka na nyavu imezidi kuwa bora akizipa tabbu nyavu kwenye mechi ambazo anacheza ndani ya uwanja msimu wa 2023/24. Tayari amefunga …
Liverpool wanapanga kumsajili mshambuliaji wa Bayern Munich na Ujerumani Jamal Musiala kwenye dirisha lijalo la usajili. Kiungo huyo mshambuliaji mwenye miaka 21, alitumia takriban muongo mmoja wa utoto wake katika …
Juventus wanakamilisha maelezo ya mkataba mpya wa Daniele Rugani kufuatia mkutano kati ya klabu hiyo na wakala wake Davide Torchia wiki hii. Beki huyo wa kati wa Kiitaliano mwenye umri …
Viktor Kolar, wakala wa Fikayo Tomori, alitoa onyo kwa Milan kufuatia shauku ya hivi majuzi kutoka kwa Bayern Munich, akiangazia uwezekano wa mteja wake kupiga hatua mbele. Beki huyo wa …
Machi 16 Ligi Kuu Bara inatarajiwa kuendelea ambapo kutakuwa na dakika 90 za jasho kwa wanaume kusaka pointi tatu ndani ya uwanja Singida dhidi ya Namungo. Saa 10:00 jioni, Singida …
Inaaminika na ipo wazi John Bocco kuwa ndiye mshambuliaji mzawa bora kwenye Ligi Kuu Bara Kwa takribani miaka 10 mfululizo akifunga zaidi ya mabao 100. Bocco ameweka rekodi hiyo akiwa …
Kiungo mshambuliaji wa Yanga Azizi KI kasi yake ya kucheka na nyavu imezidi kuwa bora akizipa tabbu nyavu kwenye mechi ambazo anacheza ndani ya uwanja msimu wa 2023/24. Tayari amefunga …
Nahodha wa Lazio Ciro Immobile anaripotiwa kujiandaa kuchukua hatua za kisheria baada ya yeye na familia yake kulengwa ‘kwa maneno’ nje ya shule ya mwanawe kulingana na ripoti nchini Italia. …
Napoli inafichua kuwa Victor Osimhen alifanya mazoezi kando siku ya Ijumaa kutokana na jeraha la misuli aliyopata Jumanne katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa dhidi ya Barcelona. Osimhen ana hatari …
Mshambuliaji wa Roma, Romelu Lukaku bado hafanyi mazoezi na wachezaji wengine wa kikosi cha kwanza cha Giallorissi katika maandalizi ya mechi ya kesho ya Serie A dhidi ya Sassuolo. Mchezaji …
Kocha msaidizi wa Simba Seleman Matola (Veron) ameweka wazi kuwa ligi inakwenda ukingoni jambo ambalo linaongeza nguvu kwa kila timu kupambana kupata matokeo. Timu hiyo kwenye mechi tatu zilizopita ilipata …
BAADA ya kucheza mechi 18 za Ligi Kuu Bara na kuruhusu mabao 18 benchi la ufundi la Simba limebainisha kuwa watafanyia kazi makosa yanayotokea kwenye mechi zao katika uwanja wa …
Kocha Mkuu wa Yanga Miguel Gamondi amesema wanatambua mchezo dhidi ya Azam FC utakaopigwa wikiendi hii hautakuwa mwepesi licha ya kuwa na mwendo mzuri katika mechi zilizopita. Kocha huyo amebainisha …
Kocha wa Real Madrid Carlo Ancelotti amesema hawana hofu na Manchester City baada ya kupangwa kukutana nao katika hatua ya robo fainali ya ligi ya mabingwa barani ulaya. Droo ya …
On each category you can set a Category template style, a Top post style (grids) and a module type for article listing. Also each top post style (grids) have 5 different look style. You can mix them to create a beautiful and unique category page.