Juventus Wanamtaka Todibo kwa Mkopo

Juventus wamekua wakimfukuzia Todibo kwa takribani wiki tatu sasa ikielezwa kua wameshamalizana na mchezaji huyo kwenye upande wa maslahi binafsi, Huku kilichobakia ni miamba hiyo ya soka kutoka nchini Italia kutuma ofa kwa klabu ya OGC Nice ya nchini Ufaransa.
Makala iliyopita
Maguire Asisitiza Bado Yupo Sana Man UnitedMakala ijayo
Hummels Anukia Bologna