Hummels Anukia Bologna
Makala iliyopita
Juventus Wanamtaka Todibo kwa Mkopo
Makala ijayo
Fadlu Davids Awakataa Wanne
Inaelezwa klabu hiyo imejiandaa kumfanyia vipimo vya afya beki Hummels siku mbili zilizopita lakini wanasubiri beki huyo afanye maamuzi ya kujiunga na klabu hiyo, Beki huyo alitangaza kuondoka ndani ya Dortmund punde tu baada ya kumalizika kwa fainali ya ligi ya mabingwa ulaya msimu uliomalizika.