HABARI ZAIDI
Bruno Fernandes Anamvutia Ten Hag
Kiungo wa klabu ya Manchester United Bruno Fernandes anamkosha kocha wa klabu hiyo Erik Ten Hag kutokana na kucheza kwa hisia anapokua uwanjani japo...
United Kutumia Maumivu ya Spurs Kumnasa Kane
Manchester United wanaripotiwa kuamini kuwa wanaweza kumsajili Harry Kane kutoka Tottenham ikiwa timu ya Antonio Conte itakosa kucheza Ligi ya Mabingwa.
United wako sokoni kumnunua...
Chelsea Wako Karibu Sana Kwenye Makubaliano ya Kumnunua Szoboszlai
Kiungo wa RB Leipzig Dominik Szoboszlai ana mabao matano na asisti 13 katika mechi 31 alizocheza msimu huu huku akihusishwa na Chelsea.
Kipaji cha mchezaji...
Osimhen Aelekeza Nguvu Zake Napoli Licha ya United Kumhitaji
Victor Osimhen anasisitiza kwamba mtazamo wake pekee uko kwa Napoli, lakini anaongeza kuwa kila mchezaji ana nia ya kucheza Ligi Kuu.
Hadithi za kutaka kumnunua...
PSG Wanajiandaa Kumnunua Salah Majira ya Kiangazi
Mshambuliaji wa Liverpool, Mohamed Salah, huenda akaondoka kwenye klabu hiyo na kwenda PSG msimu huu ikiwa watashindwa kufuzu kwa Ligi ya Mabingwa.
The Reds kwa...
City Yaanza Kumtupia Jicho Mac Allister
Kwa mujibu wa Daily Star, klabu ya Manchester City wana nia ya kumleta nyota wa Brighton Alexis Mac Allister Etihad.
Nyota huyo wa safu ya...
Klopp Anamtaka Barella Ili Aimarishe Safu ya Kiungo
Klabu ya Liverpool wamekuwa wakimtazama nyota wa Inter Milan Nicolo Barella ili kuimarisha safu yao ya kiungo msimu huu wa joto.
Jurgen Klopp anasemekana kuwa...
Arsenal Wanaongoza Mbio za Kumuwania Rice
Arsenal wanaongoza katika kinyang'anyiro cha kumnunua Declan Rice msimu huu wa joto, huku Muingereza huyo akiwa na nia ya kufanya biashara yake kwenye Ligi...
Arsenal na Real Madrid Wanamsaka Nyota wa Atalanta Hojlund
Kwa mujibu wa gazeti la La Repubblica, Arsenal na Real Madrid wanamfuatilia kwa karibu nyota wa Atalanta Rasmus Hojlund.
Hojlund mwenye umri wa miaka 20...
Gvardiol Ana Hamu ya Kuhamia Ligi Kuu ya Uingereza
Josko Gvardiol anayelengwa na Chelsea na Liverpool ana nia ya kutaka kuhamia Ligi kuu ya Uingereza.
Beki huyo wa kati mwenye umri wa miaka 21...
MAONI YA HIVI KARIBUNI
Akanji: Haaland Atafunga Magoli 50 Msimu Huu on Haaland wa 4 Kuvuta Mkwaja Mrefu Ulaya, Lakini Hamfikii Mbappe
Ubashiri wa Meridian | Simba Kuwashukuru Mashabiki Wake on Simba SC Yamuaga Rasmi Pascal Wawa.
Jabir on Kujisajili Meridianbet ni Rahisi, Hauwezi Kukwama!
Sadick on Tyson: Tukio Bora Maishani Mwangu ni Kifo cha Mama Yangu
SANGIZYO on Paul Pogba: Afungua Milango kwa Vilabu vya Uingereza