NyumbaniFootballTransfer Centre

Transfer Centre

HABARI ZAIDI

Neves Aikubali Newcastle Lakini Kuhamia Haiwezekani

0
Ruben Neves amekataa uwezekano wa kuhamia Newcastle Januari, akifichua kuwa "anataka kubaki" Al-Hilal.  Neves ambaye ni raia wa Ureno alijiunga na timu ya Saudi Pro...

Roma, Milan, Man Utd na Newcastle Wanamtupia Macho Guirassy

0
Roma, Milan, Newcastle United na Manchester United wanaripotiwa kuonyesha nia ya kutaka kumnunua mshambuliaji wa VfB Stuttgart Serhou Guirassy.  Kulingana na Footmercato, kumekuwa na mbinu...

Vilabu Vyaibuka Kumsajili Nicolussi Caviglia wa Juventus

0
Baada ya kuanza kwake bila kutarajiwa katika Derby d’Italia, Hans Nicolussi-Caviglia ni moja ya mada motomoto kwenye Serie A na vilabu vingi vina nia...

Milan Wanamtazama Badiashile wa Chelsea Wakati wa Majeruhi

0
Milan wapo katika hali ya majeruhi na wana nia ya kumchukua beki wa Chelsea Benoit Badiashile mwezi Januari.  Kocha wa Rossoneri Stefano Pioli alilazimika kumtumia...

Bentancur Azuia Ombi la Juventus kwa Kiungo wa Tottenham Hojbjerg

0
Kiungo wa kati wa zamani wa Juventus Rodrigo Bentancur amepata jeraha lingine baya, jambo linalomaanisha kuwa Tottenham Hotspur wana uwezekano mdogo wa kumuuza Pierre-Emil...

Chelsea Kumfanya Osimhen Kuwa Chaguo Lao Namba 1 Januari

0
Chelsea wanajipanga kumfanya Victor Osimhen kuwa mlengwa wao nambari 1 kwenye dirisha la usajili la Januari.  Chelsea walihusishwa na kutaka kumnunua mshambuliaji huyo wa Napoli...

Wolves Yamuibukia Ramsdale

0
Aaron Ramsdale hivi karibuni anaweza kucheza soka la kawaida tena huku Wolves wakitafakari ofa.  Kipa huyo mwenye umri wa miaka 25 alicheza mechi yake ya...

Bologna Wanamuulizia Azmoun wa Roma

0
Sardar Azmoun hajashiriki katika kikosi cha Roma tangu alipowasili kwa mkopo kutoka Bayer Leverkusen, kwa hivyo kuna ripoti kwamba anaweza kupelekwa tena Bologna Januari.  Mchezaji...

Juventus Wapo Tayri Kutuma Ofa Kwaajili ya Sancho

0
Juventus ni miongoni mwa vilabu vinavyomtaka winga wa Manchester United Jadon Sancho na Bianconeri wanaripotiwa kuwa tayari kuwasilisha ofa ya ufunguzi kwa mchezaji huyo...

Gattuso Ahusishwa na Kuchukua Nafasi ya Juric Huko Torino

0
Kulingana na Tuttosport, Gennaro Gattuso ni mmoja wa wagombea wa Torino kuchukua nafasi ya Ivan Juric mwishoni mwa msimu.  Granata wamevuna pointi 16 katika mechi...