Klabu ya Juventus bado imeshikilia msimamo wake wa kutaka kumuuza winga wake matata ndani ya klabu hiyo raia wa kimataifa wa Italia Federico Chiesa. Kocha wa klabu ya Juventus Thiago …
Makala nyingine
Antonio Conte anaeleza ni wapi Napoli wanahitaji kuimarika na mambo ambayo alivutiwa nayo baada ya ushindi wa jana wa mabao 3-0 dhidi ya Mantova. ‘Sitaki timu inayokaa na kusubiri hama …
Aliyekua kiungo wa klabu ya Juventus Andrien Rabiot ameondoka ndani ya klabu ya Juventus baada ya mkataba wake kumalizika na hii imethibitishwa na miamba hiyo ya soka nchini Italia. Rabiot …
Beki wa klabu ya OGC Nice raia wa kimataifa wa Ufaransa Jean Clair Todibo ameweka wazi kwa klabu yake ya Nice kua anataka kujiunga na wababe wa soka la Italia …
Inter watafanya duru mpya ya mazungumzo na Denzel Dumfries katika siku zijazo huku wakitarajia kuweka kandarasi mpya kwa beki wa kulia wa Aston Villa. Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka …
Milan wanatarajia kuingia tena kwenye mazungumzo ya kandarasi na beki wa pembeni Theo Hernandez mara tu atakaporejea kikamilifu kikosini baada ya Ufaransa kuondolewa kwenye EURO 2024 wiki iliyopita. Mchezaji huyo …
Maandalizi ya Lazio ya kujiandaa na msimu mpya yamekumbwa na jeraha, huku beki Mario Gila akivunjika kidole cha mguu. Mazoezi yameanza wiki hii tu na tayari kulikuwa na kikwazo kwa …
Klabu ya Ac Milan inaelezwa ipo kwenye mipango ya kumsajili mshambuliaji wa zamani wa klabu ya Chelsea Tammy Abraham ambaye kwasasa anakipiga ndani ya klabu ya As Roma. Ac Milan …
Kocha Simeone Inzaghi ataendelea kuwepo ndani ya viunga vya San Siro mpaka mwezi Juni 2026 baada ya kufanikiwa kuongeza mkataba wa kuendelea kuwepo klabuni hapo. Simeone Inzaghi amekubali kuongeza mkataba …
Kocha mpya wa Juventus Thiago Motta aliwasili J Medical na wafanyakazi wake Jumatatu asubuhi, na kukutana na mashabiki wa Bianconeri kwa mara ya kwanza. Utawala wa Thiago Motta ndani ya …
Mchezaji mpya wa Inter Milan Piotr Zielinski hawezi kusubiri kuanza baada ya kuondoka Napoli kama mchezaji huru. ‘Ni heshima kuwa katika mojawapo ya klabu bora zaidi duniani.’ Kiungo huyo wa …
Klabu ya Inter Milan mabingwa wa ligi kuu nchini Italia maarufu kama Serie A wamefanikiwa kumsajili kiungo wa zamani wa klabu ya Napoli Piotr Zielinski. Inter Milan katika kuhakikisha wanakiboresha …
Mshambuliaji wa kimataifa wa Italia ambaye alikua anakipiga ndani ya klabu ya Aston Villa Nicolo Zaniolo amefanikiwa kujiunga na klabu ya Atalanta kwa mkopo wa mwaka mmoja. Zaniolo amejiunga kwa …
Klabu ya Juventus imemueka sokoni winga wake matata raia wa kimataifa wa Italia Federico Chiesa kuonesha nia yao ya dhati ya kutaka kumuuza winga huyo. Federico anamaliza mkataba wake mwezi …
Inter imewaaga wachezaji kadhaa baada ya kumalizika kwa mikataba yao, wakiwemo Alexis Sanchez, Juan Cuadrado, Davy Klaassen na Emil Audero. Sasa ni Julai 2, kwa hivyo kandarasi za msimu wa …
Piotr Zielinski ameaga rasmi Napoli baada ya miaka nane na barua ya wazi kwa mashabiki, huku akiondoka kama mchezaji huru na kujiunga na Inter. Mchezaji huyo wa kimataifa wa Poland …
Napoli wanasisitiza kuwa wamepiga hatua chanya kuelekea kuongezwa kwa mkataba wa Khvicha Kvaratskhelia, lakini vyanzo kadhaa nchini Italia vinadai nyota huyo wa Georgia alikataa ofa ya ufunguzi kutoka kwa Partenopei. …