Juventus Yamueka Chiesa Sokoni
Makala iliyopita
Bellingham Kukipiga dhidi ya Uswisi Licha ya Kufungiwa
Makala ijayo
Zaniolo Ajiunga na Atalanta
Federico Chiesa amekua historia ya kupata majeraha mara kwa mara ndani ya klabu hiyo tangu mwaka 2022, Jambo ambalo limewafanya vibibi vizee vya Turin kuona ni wakati sahihi wa kuachana na winga huyo kwakua amekua akipatikana mara chache sana kiwanjani.