Makala nyingine

Brazil waliondolewa kwenye robo fainali ya Copa America na kumshuhudia mchezaji mpya wa Juventus, Douglas Luiz akikosa mkwaju wa penalti, huku mchezaji wa zamani wa Cagliari, Nahitan Nández akitolewa nje …

Kwa mujibu wa Sky Sport Italia, Nicolò Zaniolo ameichagua Atalanta badala ya Fiorentina, hivyo klabu hiyo inajitahidi kukubaliana na Galatasaray. Mchezaji huyo wa kimataifa wa Italia alitumia msimu huu kwa …

Klabu ya Manchester United ipo kwenye mkakati wa kuboresha benchi la ufundi la klabu hivo kwasasa wako kwenye mpango wa kuongeza makocha wawili kwenye benchi lao. Klabu hiyo ipo kwenye …

Wakala wa Lautaro Martinez anahakikishia kuwa hazungumzi na vilabu vingine vyovyote na kuwaambia mashabiki nahodha wao anaipenda Inter, kwa hivyo hakuna haja ya kuwa na wasiwasi kuhusu kuongezwa kwa mkataba …

Kocha wa klabu ya Interzionale Milan Simeone Inzaghi bado yupo sana ndani ya klabu hiyo vinara wa ligi kuu ya Italia kutokana na kauli aliyoitoa leo mbele ya waandishi wa …

KIUNGO mshambuliaji wa Yanga, Stephane Aziz KI baada ya timu yake kutolewa kwenye mashindano ya Ligi ya Mabingwa Afrika na Mamelodi Sundowns kwa mikwaju ya penati hatua ya robo fainali, …

Kocha wa klabu ya Fc Bayern Munich Thomas Tuchel amesema wachezaji wake watano kwenye kikosi hicho kuelekea mchezo wa kesho wa ligi kuu ya Ujerumani maarufu kama Bundesliga. Wachezaji kama …

Jana mchezo wa ligi ya mabingwa mwingine umepigwa katika dimba la Benjamin mkapa ambapo Yanga walikuwa wenyeji wa Mamelodi Sundowns majira ya saa 3:00 usiku na kumalizika kwa suluhu. Yanga …

1 2 3 4 111 112 113