Simone Inzaghi ampongeza Alessandro Bastoni kama ‘mchezaji wa kiwango cha dunia’ baada ya Inter kushinda 2-0 dhidi ya Feyenoord katika raundi ya 16 ya Ligi ya Mabingwa, akihakikishiwa kwamba hakukuwa …
Makala nyingine
Klabu ya Real Madrid leo wanacheza mchezo wao wa sita kwenye ligi ya mabingwa ulaya dhidi ya klabu ya Atalanta mchezo utakaopigwa nchini Italia ambapo mabingwa hao watetezi wa ulaya …
Winga wa kimataifa wa Argentina na klabu ya Benfica Angel Di Maria anaitafuta rekodi ya Cristiano Ronaldo ya kua mchezaji ambaye amepiga pasi nyingi za mabao kwenye michuano ya ligi …
Kiungo wa klabu ya Real Madrid na timu ya taifa ya Ufaransa Eduardo Camavinga anatarajia kufanyiwa vipimo leo kutokana na majeraha ya msuli aliyoyapata katika mchezo wa jana dhidi ya …
Paulo Fonseca anasisitiza kuwa mechi ya leo ya Ligi ya Mabingwa ugenini dhidi ya Real Madrid itatoa fursa nzuri kwa Milan kuthibitisha uwezo wao dhidi ya baadhi ya wachezaji bora …
Juventus wamethibitisha kuwa Gleison Bremer alipata jeraha la goti dhidi ya RB Leipzig, hivyo atafanyiwa upasuaji siku zijazo. “Leo asubuhi, Gleison Bremer na Nico Gonzalez walifanyiwa vipimo vya uchunguzi katika …
Klabu ya Real Madrid leo itashuka dimbani kukipiga na klabu ya Atalanta katika mchezo wa Uefa Super Cup ambao unakutanisha bingwa wa ligi ya mabingwa ulaya dhidi ya bingwa kombe …
Kiungo wa klabu Real Madrid Jude Bellingham ameingia kwenye rekodi ya wachezaji wa Real Madrid kushinda taji kwenye ardhi yake ya nyumbani baada ya jana kushinda taji la mabingwa ulaya …
Wachezaji watatu wa klabu ya Real Madrid Luca Modric, Nacho Fernandez na Dani Carvajal wameandika historia ndani ya klabu hiyo baada ya kutwaa taji la ligi ya mabingwa barani ulaya …
Gwiji wa Italia Alessandro Del Piero anaeleza kwa nini anaamini kuwa nyota wa Real Madrid, Jude Bellingham anafaa kushinda tuzo ya Ballon d’Or. ‘Cristiano Ronaldo na Lionel Messi hawakustahili tuzo …
Real Madrid walifunga mabao mawili katika kipindi cha pili na kuwashinda Borussia Dortmund kwenye Uwanja wa Wembley na kufikisha taji la 15 la Ligi ya Mabingwa. Timu iliyofanikiwa zaidi katika …
Carlo Ancelotti anaendelea kuandika historia na rekodi yake ya kutwaa taji la tano la Ligi ya Mabingwa akiwa kama kocha, ikiwa ni taji la tatu akiwa Real Madrid baada ya …
Leo inapigwa nusu fainali ya pili ya ligi ya mabingwa barani ulaya pale kwenye dimba la Santiago Bernabeu kati ya mabingwa wa ligi kuu ya Hispania klabu ya Real Madrid …
Mshambuliaji wa klabu ya Bayern Munich na timu ya taifa ya Uingereza Harry Kane ameonekana kuikamia Arsenal kuelekea mchezo wa robo fainali ya ligi ya mabingwa ulaya utakaopigwa kesho katika …
Kocha wa Klabu ya Real Madrid Carlo Ancelotti ameandaa mipango mitatu kujaribu kuiondoa Manchester City katika Ligi ya Mabingwa mwezi ujao mchezo wa kuwania kufuzu nusu fainali. Jisajili na Meridianbet …
Kocha wa Real Madrid Carlo Ancelotti amesema hawana hofu na Manchester City baada ya kupangwa kukutana nao katika hatua ya robo fainali ya ligi ya mabingwa barani ulaya. Droo ya …
Droo ya ligi ya mabingwa ulaya imechezeshwa na moja ya timu zitakazokutana katika hatua ya robo fainali ya ligi ya mabingwa ulaya, Huku moja ya michezo ni kati ya Real …