Thursday, June 8, 2023
NyumbaniFootballChampions League

Champions League

HABARI ZAIDI

Ac Milan Kupindua Meza Leo?

0
Klabu ya Ac Milan leo itashuka uwanjani kumenyana na mahasimu zao klabu ya Inter Milan katika mchezo wa marudiano wa nusu fainali ya ligi...

Gazeti la Italia Laionya Milan ‘Leao sio Messi’ Kabla ya Nusu...

0
Rafael Leao ataanza hii leo kwenye mechi ya Milan dhidi ya Inter leo usiku, lakini Gazzetta linaonya kwamba Mreno huyo ‘sio Leo Messi’, hivyo...

Simeone Inzaghi Awaonya Vijana Wake Baada ya Ushindi

0
Kocha wa klabu ya Inter Milan Simeone Inzaghi amewaonya wachezaji baada ya ushindi wa mabao mawili kwa bila katika mchezo wa nusu fainali wa...

Inter Milan Yatawala Timu Bora ya Wiki Uefa

0
Klabu ya Inter Milan imetawala timu bora ya wiki ya michuano ya ligi ya mabingwa barani ulaya yaani Uefa Champions League baada ya michezo...

Bennacer Anahitaji Upasuaji wa Goti Baada ya Kuumia Huko San Siro

0
Ripoti za hivi punde zinaonyesha kuwa Ismael Bennacer atahitaji kufanyiwa upasuaji ili kutatua jeraha la goti alilopata katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Ulaya...

Inzaghi Aionya Inter Kuwa Kazi Bado Haijaisha

0
Simone Inzaghi amesisitiza kuwa Inter Milan bado wana kazi ya kufanya ili kutinga fainali ya Ligi ya Mabingwa licha ya ushindi wa 2-0 wa...

Giroud: “Milan ni Klabu Kubwa na Inastahili Kucheza Fainali ya Ligi...

0
Olivier Giroud anafurahia matarajio ya kucheza katika nusu fainali nyingine ya Ligi ya Mabingwa, na anatumai kuwa Milan wanaweza kufikia mambo makubwa watakapomenyana na...

Inzaghi: “Inter Haina Wasiwasi na Leao na Haitaikwepa Milan Kwenye Ligi...

0
Simone Inzaghi amesisitiza kuwa Inter haitaonyesha hofu yoyote dhidi ya Milan katika mchezo wa nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya, utakaofanyika kwenye Uwanja...

Toure Anaamini Kuwa ni Suala la Muda tu City Kushinda Ligi...

0
Beki wa zamani wa City Kolo Toure ambaye aliichezea City kati ya 2009 na 2013, amesema kuwa ni suala la muda tu hadi Manchester...

Guardiola: City Haina Motisha ya Kulipiza Kisasi Katika Mechi ya Leo...

0
Pep Guardiola amesisitiza kulipiza kisasi sio motisha yake wakati akiitayarisha Manchester City kwa mechi yao ya mkondo wa kwanza ya nusu fainali ya Ligi...