Real Madrid walifunga mabao mawili katika kipindi cha pili na kuwashinda Borussia Dortmund kwenye Uwanja wa Wembley na kufikisha taji la 15 la Ligi ya Mabingwa. Timu iliyofanikiwa zaidi katika …
Makala nyingine
Carlo Ancelotti anaendelea kuandika historia na rekodi yake ya kutwaa taji la tano la Ligi ya Mabingwa akiwa kama kocha, ikiwa ni taji la tatu akiwa Real Madrid baada ya …
Leo inapigwa nusu fainali ya pili ya ligi ya mabingwa barani ulaya pale kwenye dimba la Santiago Bernabeu kati ya mabingwa wa ligi kuu ya Hispania klabu ya Real Madrid …
Mshambuliaji wa klabu ya Bayern Munich na timu ya taifa ya Uingereza Harry Kane ameonekana kuikamia Arsenal kuelekea mchezo wa robo fainali ya ligi ya mabingwa ulaya utakaopigwa kesho katika …
Kocha wa Klabu ya Real Madrid Carlo Ancelotti ameandaa mipango mitatu kujaribu kuiondoa Manchester City katika Ligi ya Mabingwa mwezi ujao mchezo wa kuwania kufuzu nusu fainali. Jisajili na Meridianbet …
Kocha wa Real Madrid Carlo Ancelotti amesema hawana hofu na Manchester City baada ya kupangwa kukutana nao katika hatua ya robo fainali ya ligi ya mabingwa barani ulaya. Droo ya …
Droo ya ligi ya mabingwa ulaya imechezeshwa na moja ya timu zitakazokutana katika hatua ya robo fainali ya ligi ya mabingwa ulaya, Huku moja ya michezo ni kati ya Real …
Usiempenda ndio kauli ambayo unaweza kusema baada ya droo ya michuano ya ligi ya mabingwa ulaya kuchezeshwa na moja ya mechi za robo fainali itakutanisha vilabu vya Arsenal dhidi ya …
Winga wa klabu ya Manchester United aliye kwa mkopo kwenye klabu ya Borussia Dortmund Jadon Sancho ameendelea kua na mwendelezo mzuri wa kiwango ndani ya Borussia Dortmund. Jadon Sancho amekua …
Usiku wa leo kutakua na mchezo mkali wa kukata na shoka wa ligi ya mabingwa ulaya ambapo klabu ya Inter Milan itakua nyumbani kuikaribisha miamba ya soka kutoka nchini Hispania …
Inter na Atletico Madrid wameungana kwa ajili ya mpango wa kupinga ubaguzi wa rangi We Love Football kabla ya mechi yao ya Ligi ya Mabingwa na ujumbe kutoka kwa Marcus …
Klabu ya Manchester United leo itashuka dimbani kumenyana na klabu ya Fc Bayern Munich katika mchezo wa ligi ya mabingwa barani ulaya ambao ukakwenda kuamua hatma ya klabu hiyo kwenye …
Simone Inzaghi anaeleza ingekuwa rahisi kubadilisha wachezaji wanne au watano wakati wa mapumziko lakini badala yake aliwapa wachezaji hao wa Inter nafasi ya kujikomboa katika mchezo wa kusisimua dhidi ya …
Kocha wa Real Madrid Carlo Ancelotti amemlinganisha kiungo Jude Bellingham na Galactico Zinedine Zidane wa zamani. Bellingham alifunga bao la pili la Madrid dhidi ya Napoli huku vijana wa …
Kocha wa klabu ya Real Madrid raia wa kimataifa wa Italia Carlo Ancelotti amefanikiwa kupindua rekodi ya kocha Sir Alex Ferguson na kua kocha aliyeshinda michezo mingi kwenye ligi ya …
Mashabiki wa Ac Milan wanajipanga kumzodoa aliyekua golikipa wa klabu hiyo Gigi Donnarumma ambaye anakipiga ndani ya klabu ya PSG kwasasa kwa kumtupia pesa uwanjani. Mashabiki wa klabu ya Ac …
Kiungo wa klabu ya PSG ambaye yupo kwa mkopo klabu ya Rb Leipzig inayoshiriki ligi kuu ya Ujerumani Xavi Simons ameendelea kuwasha moto ndani ya klabu hiyo. Xavi Simons amefanikiwa …