Ac Milan Kumuhitaji Abraham

Makala iliyopita
Sancho Arejea Mazoezini UnitedMakala ijayo
Bayern Munich Kuulamba Dili la Zirkzee
Mshambuliaji Tammy Abraham inaelezwa yuko tayari kujiunga na Rosonneri kuelekea msimu ujao na kinachosubiriwa ni majadiliano ya vilabu viwili, Ambapo makubaliano ya timu hizo yakifikiwa ni wazi mshambuliaji huyo anakua na nafasi kubwa ya kujiunga na Ac Milan.