Todibo Anaitaka Juventus
Makala iliyopita
Modric Yupo Madrid mpaka 2025
Makala ijayo
Liverpool Yaongeza Mholanzi Benchi la Ufundi
Dili hili mpaka sasa lina utata kwakua klabu ya Nice inavutiwa na ofa ambayo wameiweka mezani klabu ya West Ham kutoka nchini Uingereza ikiwa kubwa kuliko ya Juventus, Lakini klabu inatambua mchezaji anataka kucheza klabu ya Juventus msimu ujao na wameshakubaliana maslahi binafsi.