Modric Yupo Madrid mpaka 2025

Makala iliyopita
Leny Yoro na Man United Mambo SafiMakala ijayo
Todibo Anaitaka Juventus
Kiungo huyo wa kimataifa wa Croatia ambaye alijiunga na klabu hiyo mwaka 2013 chini ya kocha Jose Mourinho ameshafanikiwa kuitumikia klabu hiyo kwa miaka 11 mpaka sasa, Huku akiwa ndio mchezaji pekee ambaye ameitumikia klabu hiyo kwa muda mrefu zaidi klabuni hapo kwasasa.