Liverpool Yaongeza Mholanzi Benchi la Ufundi
Makala iliyopita
Todibo Anaitaka Juventus
Makala ijayo
BARBARA KURUDI SIMBA NI SUALA LA MUDA
John Heitinga atakua kocha msaidizi wa klabu ya Liverpool chini ya kocha Arne Slot ambapo amepitishwa na kocha huyo mkuu wa klabu hiyo, Huku akiamini anaweza kufanya nae kazi kwa karibu lakini pia uzoefu wake ndani ya ligi kuu ya Uingereza ni moja ya sababu zilizopelekea uteuzi wake.