BAADA ya Imani Kajula kuweka wazi kuwa hataongeza mkataba wake utakaomalizika hivi karibuni na mkurugenzi wa zamani wa klabu Barbara Gonzalez anatarajiwa kurejea klabuni hapo kama mkurugenzi mkuu.
Jina la aliyewahi kuwa CEO wa timu hiyo Barbara Gonzalez linatajwa kuwa kwenye hesabu za wale watakaorejea kwenye kiti hicho wakati ujao.