Inter Milan Yamsajili Zielinski
Makala iliyopita
Manchester United Mbioni Kumalizana Zirkzee
Makala ijayo
Van De Beek Kutimkia Girona
Mchezaji huyo baada ya kudumu ndani ya klabu ya Napoli kwa takribani miaka tisa amemua kutimka kwenye timu hiyo na kwenda kutafuta changamoto sehemu nyingine, Kiungo huyo ambaye ameitumikia Napoli tangu mwaka 2016 akitokea klabu ya Udinese hakusaini mkataba mpya ndani ya Napoli na kufanikiwa kuondoka kwa uhamisho huru.