Makubaliano baina ya Man United na klabu ya Girona wameshakubaliana dau la kuweza kumpata kiungo huyo wa kimataifa wa Uholanzi, Huku jambo linalosubiriwa ni maslahi binafsi baina ya mchezaji huyo na klabu ya Girona ambapo inaelezwa litajadiliwa wiki inayofuata.