Manchester United Mbioni Kumalizana Zirkzee
Makala iliyopita
Chelsea Yashusha Mashine
Makala ijayo
Inter Milan Yamsajili Zielinski
Mashetani wekundu wao hawana tatizo na kulipa kiasi cha pesa ambacho klabu ya Bologna inakihitaji ambacho ni kiasi cha €40 milioni, Huku ikielezwa makubaliano yamebaki baina ya klabu ya Man United na wakala wa mchezaji Joshua Zirkzee anayefahamika kama Kia Joarbachian ambaye kulipwa kiasi fulani cha pesa.