Chelsea Yashusha Mashine
Makala iliyopita
Ronaldo Kuachana na Ureno Baada ya Miaka 20
Makala ijayo
Manchester United Mbioni Kumalizana Zirkzee
Beki Renato Viega anasajiliwa baada ya matajiri hao wa London kushindwa katika dili la kumuwania beki wa kimataifa wa Italia Riccardo Calafiori ambaye mpaka sasa anaelekea klabu ya Arsenal, Beki Viega ana uwezo wa kucheza beki wa kati lakini pia ana uwezo wa kucheza kama beki wa pembeni.