Manchester United hawataanzisha chaguo la kumnunua Sofyan Amrabat lakini wako tayari kwa makubaliano tofauti na Fiorentina.
Kiungo huyo wa kati wa Morocco mwenye umri wa miaka 27 alivutia kwenye Kombe la Dunia la 2022 na akapata uhamisho wa mkopo kwa Mashetani Wekundu majira ya joto yaliyofuata, akipewa nafasi ya kufanya vizuri kwenye EPL baada ya kung’ara kimyakimya na Viola.
Pia meridianbet inatoa michezo ya kasino ya mtandaoni kama vile, Aviator, poker, Roullette, sloti na mingine kibao. Ingia meridianbet na ucheze sasa.
