Manchester United Hatimae Yakamilisha Dili Lake la Kwanza
Makala iliyopita
Mokwena Aibukia Wydad Casablanca
Makala ijayo
AZAM FC TIZI LINAENDELEA ZANZIBAR
Mashetani wekundu wamekataa kulipa kiasi cha €40 milioni ambacho kilikua kimewekwa kwenye mkataba wa mchezaji huyo kwa klabu yeyote itakayomuhitaji itapaswa kulipa kiasi hicho, Badala yake wamekubali kulipa kiasi cha €42 milioni kidogo kidogo kwa muda wa miaka mitatu.
Mshambuliaji Joshua Zirkzee atasafiri kuelekea Uingereza leo na kesho anatarajiwa kufanya vipimo vya afya baada ya hapo ni kusaini kandarasi ambayo itamueka ndani ya Manchester United mpaka mwaka 2029, Mshambuliaji huyo anatarajiwa kupewa mapumziko mafupi ndio ujiunge na wenzake kwenye mazoezi ya kujiandaa na msimu.